Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!
Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-
- Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
- Umehama jengo unataka kufungiwa
- Inasumbua unataka kufanyiwa repair
- Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
- Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
- Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
- Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu
Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!
Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!
Piga +255784378129 WhatsApp +255658046655
Tanesco HQ - Ubungo D'salaam.
Opp. Ocean road hospital - D'salaam
Opp. Ocean road hospital - D'salaam
Dar city view hotel - D'salaam
Tanesco HQ - D'salaam
Lodge - Dodoma
Settings zikiendelea kwenye Hotel ili kufanya rooms zote ziweze kuwa na channels zilizo clear!
Settings kwenye Apartment ( hapa tunasambaza Cable kwenye jengo lenye point ( tvs ) zaidi ya 100
Tunahakiki baada ya kufunga dish n kuweka signal!
Control room ambayo ni ya kawaida tuu lakini nzuri na safi!
Tunafanya kwenye ubora zaidi!
Satellite dish aina ya C band nazo tunafunga!
Settings zikiendelea kukamilisha control room
Signal imeshafika, kinachofata hapa ni kufunga tv tu!
0 Unasemaje..??:
Post a Comment