Call / WhatsApp +255755949413

Dec 3, 2010

Mfumuko wa VING'AMUZI Tanzania....!!

Watanzia tulizoea ili picha ya TV ionekane clear na uweze kupata channel za nyumbani na za nje kwa kutumia Decoder/Receiver sambamba na Satellite Dish Antenna,ila sasa ni tofauti maana unaweza ukatumia Decoder na Antenna ukapata channel clear kabisa.
Ilianza EASY TV ijapokuwa hawajajitangaza vema ila kiukweli wamekuja vizuri na bado wanafanya vizuri maana unapata local channel karibu zote yaani zile zilizo kwenye transmeter na zilizo kwenye satellite,pia unapata channel nyengine za mataifa ya nje yakiwemo habari.( hawa ni wachina )
Hata mwaka bado toka tutamburishwe STAR TIMES nayo ina channel za local ambazo hazifiki hata tano,pia channel za mataifa ya nje yakiwemo habari.( hawa ni wachina na TBC )
Tena imekuja ATN nao wana vinga'amuzi vyao ambao wapo sana kidini.
Hii inaonyesha kwamba kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo ongezeko la ving'amuzi linakuwa kubwa kutahamaki ukitaka TBC ununue king'amuzi,ATN ununue king'amuzi,STAR TV ununue king'amuzi,ITV ununue king'amuzi na nyenginezo......!!
Share:

UFUNDI si uchafu bali ni tabia ya mtu.....!!!

Hii inatokana na ukweli kwamba mshangao umekuwa mkubwa sana mtu nikimwambia mimi fundi.....!! 
hata nikimwambia habari ya kuhusu madish anadhani ya kuwa labda mimi ni sales yaani nitaongea nae then wafungaji wataenda wengine mwisho wa siku inakuwa tofauti na adhaniavyo...!!
wananikuta ni mimi nikiwa na team yangu eneo la tukio tukisababisha,nimegundua kwamba ni kutokana na muonekano wangu,umri na mengineyo ila kikubwa ni kazi.
Napenda kuwaambia mafundi wenzangu kwamba hatuna tofauti na madaktari,hivyo hatuna budi kujithamini ili wengine watuthamini na kuwa katika hali ya usafi muda wote.
Share:

CRDB bank na pita pita zangu....!!!

Katika mwaka huu banaa nimepata wasaa ya kupita pita katika matawi kadhaa ya CRDB bank,nilianzia pale Mliman city branch,nikaja pale Azikiwe branch na leo nipo hapa Mikocheni branch.
Hili bana ni tawi jipya,hapa ilifungwa DSTV ila ikawa kesi kubwa ni kupoteza signal,katika kutafuta 7bu nikagundua ya kuwa ilipofungwa ilikuwa si sehemu sahihi kutokana na kuwa na movement nyingi eneo hilo la mafundi wa AC.Hivyo nikaona solution ni kulihamisha kutoka chini na kuliweka juu na ilikuwa kama ifuatavyo:-

Hii inaonekana imekaa vema ila tatizo likawa inaguswa guswa,mfano tulikuta ngazi ya mafundi wa AC na ndo ambao walifanya tuitwe baada ya kuigonga na ngazi yao hiyo ya mabomba bomba.



 Ili tatizo liishe nikaona ni vema kuihamisha na kuiweka juu ambapo ni ukutani.




Hapa wafanyakazi pamoja na wateja wanasafisha macho kwenye hii flat.
nami kipindi hicho nakusanya kilicho changu na kuchapa mwendo.....!!

Share:

Nov 25, 2010

CNZA 2MEREJEA TENA....!!!

Leo nipo pande za cnza karibu kabisa na nilipozaliwa naamaanisha nyumbani,hapa nili install DSTV miezi kadhaa iliyopita ila leo nimerejea tena kuinstall FTA kwa ajili ya local channel na channel za gospel na mambo yalikuwa as usually:-







Share:

Nov 24, 2010

Offer ya DSTV sawa na bure.....!!!

Huu ndo wakati wa kwenda level 7bu tu wote 2na tambaa na DSTV,ni offer ya ukweli sana kama mzunguko wa money upo...!!
Ambacho unatakiwa kufanya kama wewe ni mpenzi wa Movie hapa ndo maana pake picha mpya ambazo hata unaweza ukatafuta CD zake ukazikosa 7bu ya upya lakini hapa ukaona tena channel zadi ya 4.
Sport hasa wale wapenzi wa mpira hivi ni nani ambaye anakufanya wewe unaona mechi LIVE kama c DSTV.
Na mengineyo meengi huu ndo wakati mzuri kwako,itumie offer hii....!!
Wengi wanataka kujua offer inaisha lini ila ukweli ni kwamba strock ikiisha ndo mwisho wa offer hivyo isije ikakukuta ile ya ningejua...!!
Ukitoa 90,000/= unapata satellite Dish,cable mt20,ku lnb pamoja na installation baada ya hapo itakulazimu uchague package za air time uipendayo then utalipia kila mwezi kadri utumiavyo.
Sharti la offer hii ni lazima malipo ya mwezi either ulipie package ya premiur mwezi 1,Compact miezi miwili,Family miezi mitatu na access miezi minne.
 Ukipitia hapa tunakuja mpaka mlangoni hata pesa unaweza ukalipa baada ya kufungiwa.
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

PIGA +255 789 476 655
Share:

GREEN ACRES BULDING ILIVYOKUWA....!!

 Hapa c mahali pa geni kwa wakazi wa Dar es salaam ijapokuwa jengo hili halina muda mrefu sana toka kujengwa,hapa kuna office tofauti tofauti na ambacho kimetokea nilitakiwa ku7babisha watu waangalie TV kwani kuna fundi alikuwa ameinstall Satellite Dish,ambayo ni c band kwa ajili ya local channel ila kilichotokea picha zikawa zinakatakata sana, nilichokifanya kama kawaida yangu na kuacha wa2 wanafurahi na nyoyo zao:-










 Ambacho nimekiacha kinaendelea kuonekana ni za gospel na za Tanzania kwa kutumia single solution cable kama macho yako yanavyoangaza hapo.....!!
Share:

MAGOMENI MAPIPA ILIKUWA MKAZUZU...!!

Najisikia vizuri pale ninapofanya mazuri ninapokuwa viwanja vya nyumbani ama kufanya kazi na watu ambao still ndo wanaonizunguka daily.....!!
Leo wadau nimeibukia pande za kitaa,hapa nili install GTV enzi za uhai wake na baada ya kufa nikabadili na kuwa channel za free za mbc,hiyo ikawa haijitoshelezi kihivyo 7bu wadau ni wapenzi saana wa soka na ndipo leo nikaitwa ku7bisha DSTV ipatikane nami nili install kama ifuatavyo kwa macho:-

Share:

Nov 23, 2010

GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL...!!


Ilikuwa ijumaa tulivu sana na kwa siku hii nilianzia hapa Giraffe hotel katika sehemu iitwayo jety 1, hapa nili install DSTV na mambo kuwa mazuri..!!
Kwa wale wasiopajua hapa ni Dar maeneo ya mbezi beach Africana katika hotel iitwayo giraffe kuna ukumbi ambao upo baharini unaitwa jety 1,kiukweli pazuri na panavutia kwa ujumla na baada ya kuinstall DSTV ndo dah mvuto umezidi mara dufu.....!!
Mambo yalikuwa hivi katika mapichapicha:- 
                                                           
















Share:

IN KIBAMBA.......!!!

Hapa bana ni hostel kama ulikuwa hujui ila inaonekana ni za mtu binafsi kaamua kujenga na kuwapangisha wanafunzi,hizi hostel hazipo mbali sana na chuo ambacho huyu jamaa anasoma,aliona itakuwa vizuri zaidi akiwa anacheck na DSTV kipindi anachokuwa anabukua:-

Share:

Nov 21, 2010

C Band Single Solution Cable!!


 Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!!
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:

Hii ni C Band Single Solution Cable

Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413

Post zilizokupita