East Africa,Tanzania.
Dar es salaam.
Magomeni.
Office: +255789476655
Cell: +255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com
Instagram
Facebook
Twitte...
Oct 10, 2012
Sep 26, 2012
DSTV IMENIFANYA NIIJUE IKWIRIRI!!

DSTV bado inafanya vizuri na ukizingatia haina mipaka ndani ya Tanzania
na ndo sababu ya kukufanya popote ulipo unaweza kufunga na ukaona kila
ambacho unapaswa kuona kutokana na Package uliyoilipia!!
Kwa mantiki hiyo ikafanya watu watoke sehemu moja inaitwa IKWIRIRI na kutaka...
Sep 19, 2012
Sep 1, 2012
UZURI WA FLAT SCREEN KWA UKUTA!!

Kwanza inapendeza asikwambie mtu,ipo salama pia na haichukui nafasi kubwa,zaidi ya yote unakuwa wa kisasa zaidi na ambaye unakwenda na wakati,kama bado upo nyuma huyu ameshakuacha!!
Si kama nauza TV flat laa ila ambacho nafanya ni kufunga tu kama hivi,hii ni office ila nilianzia...
Aug 23, 2012
MWENDO NDO ULE ULE!!

Wenye kujua wataendelea kujua na wasiojua sitaacha kuwajuza!
Hiki ni chumba cha kulala,matakwa ya mteja ndivyo nilivyoyatimia!Kwa kufunga Flat screen hapo ilipo na DSTV!!
Unaonaje kulivyopendeza!!
Mimi je!!
Ng'aa!!
Nikachukua kilicho changu na...
Aug 11, 2012
OFFER KWA WATEJA WANGU WOTE!!
Kwa wale wateja wapya na wa zamani nafasi yako hii!!
DISH MPYA YA LOCAL CHANNELS Tsh 280,000/=!!
Inajumuisha vifaa vyote pamoja na ufungaji!!
Unapata channel za Tanzania na nyenginezo za nje,ambapo inajumuisha zaidi ya Channels zaidi ya 50 bure...
Jul 29, 2012
INSTALLATIONS YA TV ZAIDI YA 1!!
Hakuna sababu ya kufunga Dish zaidi ya moja ya aina moja kwa nyumba moja kwasababu tu una TV zaidi ya moja na unahitaji channels zipatikane kwa TV zote!
Hii inatumika kama kwenye Hotel au Lodge lakini pia inaweza ikatumika hata maofisini ama hata nyumba binafsi!!Ambacho unapaswa kufanya ni kujua channel gani unataka na je ni za bure ama za kulipia...
Jul 28, 2012
CHANNELS ZA BURE!!

Wengi wanapenda kupata channel ambazo hazina malipo ya mwezi,ambazo ukifunga inakuwa ndo umefunga labda iharibike dish na ahitajike fundi afanye ufundi wake!!
Channels zipo nyingi sana ambazo hazina malipo ya mwezi ila ambacho huwezi zile channels zilizo hotest za...
Jul 20, 2012
Dish yako inasumbua!!??

Dish c Antenna za tube ukasema ikileta mushkeri ushike bomba na kuzungusha!!Dish inahitaji ufundi na mafundi wake kama sisi!!Swali je dish yako inasumbua!!??Kama kupoteza signal!Picha kukata kata!Unataka kuhama!Umenunua uliponunua lakini huna mafundi wa kukufunga!Na...
Jul 1, 2012
DSTV OFFER!!!!149,000/=

Kwa Tsha 149,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!!
Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:-
Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.Kwa offer unalipia 4 miezi.
Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.Kwa...