Call / WhatsApp +255673378129

Nov 2, 2010

MULTI SWITCH........!!!!

Ni kifaa ambacho kinaunganisha Receiver/Decoder zaidi ya moja kwa kutumia Dish moja.
Multi switch zipo aina mbili ambazo zinatumia umeme na zisizotumia umeme.

Share:

FAKE'S NOT CHEAP....!!

Siku zote napenda kuona naongeza idadi ya wateja,hii inategemea na huduma nitoazo kwa wateja zetu ambao ndo wanakuwa wajumbe wazuri kwa kuwashawishi wengine kuja kwetu.
Kuna wateja ambao ukiwapa bei ya kifaa Original hafikirii x2 hutoa bila wasi wasi wowote kutokana na either mtu aliyemuelekeza ama imani yake kwetu na maelezo aliyoyapata awali.
Wapo ambao unawapa bei ya Original wao wanataka bei ya Fake,kitu ambacho kinatuwia vigumu kufanya biashara.
Share:

Nov 1, 2010

EAST TV TANZANIA

 Easy TV Tanzania ni kampuni ambayo si ngeni sana Tanzania ila kiukweli nimegundua watu wengi hawaifahamu kutokana na ukweli kwamba hawajajitangaza kikamilifu huku wengine wakidhani kama hawako serious na kazi,ila ukweli ni kwamba hawa jamaa wapo serious na wanaendelea kufanya vizuri maana wana miaka kadhaa Tanzania wakiendelea kutoa huduma.
Zaidi kwa mahitaji ya channel za Tanzania ambazo zilizopo kwenye satellite na zile zilizopo kwenye transmeter unazipata,hii inamaana ni zote kama zitakosekana na 2 ama 1,kiasi kwamba mpaka TVZ unaipata na CLOUDS TV.
Ukiachilia hizo pia kuna za mataifa mengine ya Africa,Movie,Michezo,Documetary,Music,News na nyenginezo.








Hii ni moja kati ya Easy TV nilizowahi kuinstall,ni maeneo ya sinza A pale kwa jamaa mmoja wakujiita Kisanga.
Share:

Dish cable

 
Kuna ambacho wengi hawakijui kama si kuchanganya,cable ya antenna ya kawaida na cable ya dish ni sawa kwa macho na kazi ila ni tofauti kwa quality,ambapo cable ya dish ipo high quality kutokana na mzigo unaobeba tofauti na cable ya antenna ambayo ipo low quality kwasababu kinachobeba ni cha kawaida sana.
Cable ya antenna ukiiweka kwenye dish si kwamba haitaonyesha itaonyesha ila itapoteza signal kadhaa njiani na kutokaa muda mrefu zaidi ya yote kuunguza either LNB ama kipokea ( Decoder/Receiver )
Share:

Oct 19, 2010

MAFUNDI DISH AINA ZOTE

UNAHITAJI MAFUNDI WA KUFUNGA DISH KWA CHANNEL ZA BURE AMA KULIPIA!?
Upo mkoa gani,swali la kwanza la mimi kutaka kujua!
Kama upo Dar es salaam utapata fulsa ya kuhudumiwa nami ama moja ya wataalam wangu ila kama upo nje ya Dar es salaam nitakuunganisha na mafundi wenzetu walio katika mikoa hiyo na utapata huduma kanakwamba umehudumiwa na Mustapha MaDish!
Cha kufanya piga namba: +255 714973797
KARIBU!
Share:

Oct 10, 2010

Sanaa Mapenzi Yangu!!

Sifanyi sababu fulani anafanya ingelikuwa hivyo kitaambo ningelikuwa miongoni mwao,ila mapenzi yangu toka ku moyo zaidi ya yote Vipaji nilivyojaaliwa nataka kuvitendea haki.
Kimbia ukimbiavyo lakini mi nanyata so kama huna pumzi ntakukuta na kukuacha njiani,ntafika nikikungoja kukukaribisha lakini kamwe huwezi kuiba kipaji cha mtu!!
Share:

GERAFFE VIEW HOTEL - DAR

Kwenye ukumbi ambao upo baharini wanapaita JET 1,kilichotakiwa hapa ni kufunga Flat Screen na Dstv,nami bila hiyana kama kawaida ile mikono salama ukafanya yake!
* Geraffe View Hotel (DSTV)


 Katika ukumbi huu wa JET 0ne As usually.





 Nafunga Dish sasa!! 

 

 Hapa natafuta signal baada ya kufunga Dish.

  Ni DSTV kama inavyoonekana katika FLAT SCREEN hii. 

+255784378129| Technical Support
Share:

Easy TV

Kwa Tsh 200,000/=
Unapata na miezi mitatu bure!!
Inajumuisha Decoder,Antenna,Cable na Installations!
Kwa mwezi unalipia 9000/= unapata jumla ya Channels zote!
EASY TV ina jumla ya channels 32 ila zinazoonyesha ni 30 tu.
Movie 1
Movie 2
Movie3
Movie Arabic
Aljazeerah
CNN
BBC
CCTV4
UBC
Citizen
TBC 1
Star TV
Channel 10
Capital
EATV
TVZ
ITV
Clouds TV
EWTN/TV Tumaini
Mliman TV
Emmanuel TV
Peace TV
Channel V
Xing kong
Ph'x China
JSC document
JSC sport
MTV
Child
Share:

LOCAL CHANNELS

FULL INSTALLATIONS
 In Hotel.Apartment.Office.Home
Materials:
              1.Receiver
              2.Satellite Dish Antenna c band
              3.Cable
              4.LNB c band
              5.F connectors.
+ Installations
= 6 Total Local Channels.
As: TBC1,ITV,CAPITAL,EATV,CHANNEL 10,STAR TV.
Pia unapata MOZAMBIQUE (Channels 3)

Satellite Dish Antenna for Local Channels.
REPAIRING:
            * Bad signal
            * Move from 1 place to another
            * More Channels through Local S.D.Antenna.

MATERIALS:


Share:

Oct 9, 2010

DSTV EXTRA VIEW

Ni huduma ambayo haina muda mrefu sana ambayo naweza nikasema ni mpya toka DSTV inakuwezesha kuona channel 2 tofauti kwa wakati mmoja kwa kutumia decoder mbili ila a/c moja kinachozidi ni $10 tu ya malipo ya mwezi,pia unatumia dish moja ila LNB inakuwa ya njia 2 maana kila decoder inakuwa na signal yake.Hii kama utatumia decoder zote za single view lakini pia Extra view inapatikana kwenye HD pia ila decoder ya pili lazima iwe single view na ukitumia HD,LNB yake inakuwa zaidi ya njia 4.
Hii ni HD decoder na single view decoder kwa pamoja unapata Extra view service
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita