Call / WhatsApp +255673378129

Sep 19, 2012

MBIO ZA ABUDHAB!!


ABUDHAB INSTALLATIONS!!
Napata maswali yenu mengi sana  kwamba mnataka kujua mnawezaje kupata Decoder za Abudhab!?,kiukweli kwa Tanzania sijui sehemu maalum ya wakala wa hawa jamaa na kama wapo tunaweza kufanya mawasiliano ili kwa wanaotaka niwaelekeze kwao kwasababu mimi ambacho nafanya ni Installations pamoja na vifaa vyengine kasoro Decoder tu.
Ugumu wa kupata Decoder ni jinsi ya kuagiza kutokana na ukweli kwamba hawa jamaa wapo Arabuni,hivyo hakuna jinsi zaidi ya kuagiza kwa kumtumia mtu ama kuagiza mwenyewe!
Unaweza ukanunua then ambacho mimi nitakusaidia ni kuhusu vifaa vyengine kama dish,cable na Installations ila kwa kuongezea tu unaponunua ni vizuri ukanunua card mbili,namaanisha na ya Aljazeera!!














Hapa nikiwa katika kufanikisha watu waone channels zilizomo baada ya kununua Decoder waliponunua then wakanitafuta nikawapelekea Dish na vifaa vyote vilivyohitajika na kuwafungia kisha nikachapa mwendo maana wengine pia walikuwa wananihitaji!!!
Share:

Sep 1, 2012

UZURI WA FLAT SCREEN KWA UKUTA!!

Kwanza inapendeza asikwambie mtu,ipo salama pia na haichukui nafasi kubwa,zaidi ya yote unakuwa wa kisasa zaidi na ambaye unakwenda na wakati,kama bado upo nyuma huyu ameshakuacha!!
Si kama nauza TV flat laa ila ambacho nafanya ni kufunga tu kama hivi,hii ni office ila nilianzia nyumbani kwa moja ya wafanyakazi wa hii Office baada ya kufanya vizuri ndipo nikatakiwa nifanye Installations ya Office nami ndo nikafanya haya ya kupendeza!!

Hapa ni kudrill mwanzo mwisho!

Ili niweze kufunga kishika TV!!

..........

 Nikiweka TV baada ya kfunga tv bracket!!!

 Inapendezaje!!

 Hapa nje nikiset Dish ya DSTV!

 Lazima umalize hivi kuweka muonekano mzuri na kazi saafi!!!!
Hapa nimefanya Installations ya DSTV na Local Channels.
Share:

Aug 23, 2012

MWENDO NDO ULE ULE!!

Wenye kujua wataendelea kujua na wasiojua sitaacha kuwajuza!
Hiki ni chumba cha kulala,matakwa ya mteja ndivyo nilivyoyatimia!
Kwa kufunga Flat screen hapo ilipo na DSTV!!
 Unaonaje kulivyopendeza!!
 Mimi je!!
 Ng'aa!!
Nikachukua kilicho changu na kuchapa mwendo!!
Share:

Aug 11, 2012

OFFER KWA WATEJA WANGU WOTE!!

Kwa wale wateja wapya na wa zamani nafasi yako hii!!
DISH MPYA YA LOCAL CHANNELS Tsh 280,000/=!!
Inajumuisha vifaa vyote pamoja na ufungaji!!
Unapata channel za Tanzania na nyenginezo za nje,ambapo inajumuisha zaidi ya Channels zaidi ya 50 bure!!
Share:

Jul 29, 2012

INSTALLATIONS YA TV ZAIDI YA 1!!

Hakuna sababu ya kufunga Dish zaidi ya moja ya aina moja kwa nyumba moja kwasababu tu una TV zaidi ya moja na unahitaji channels zipatikane kwa TV zote!
Hii inatumika kama kwenye Hotel au Lodge lakini pia inaweza ikatumika hata maofisini ama hata nyumba binafsi!!
Ambacho unapaswa kufanya ni kujua channel gani unataka na je ni za bure ama za kulipia kisha unapata mchanganua kutokana na matakwa yako na utakapoafiki kazi inaanza ilihali unalolikusudia ndilo utakalo liona ontime!!
Huduma hii inawezaekana kwa channel aina zote za bure na kulipia!!
Share:

Jul 28, 2012

CHANNELS ZA BURE!!


 Wengi wanapenda kupata channel ambazo hazina malipo ya mwezi,ambazo ukifunga inakuwa ndo umefunga labda iharibike dish na ahitajike fundi afanye ufundi wake!!
Channels zipo nyingi sana ambazo hazina malipo ya mwezi ila ambacho huwezi zile channels zilizo hotest za kulipia ukazipata bure ijapokuwa baadhi zipo bureee!!
Kupitia Dish ndigi kwa kubwa kuna channels nyingi za bure ila yategemea na wewe mapenzi yako wapendelea channels za namna gani!!
Unaweza kuuliza wala usisite na ukapata ufafanuzi ulio sahihi kabla ya kufunga channels utakazo!!
Channels hizo unaweza ukafunga nyumbani,Hotelini,Ofisini,n.k!!
+255 716 899 155
Share:

Jul 20, 2012

Dish yako inasumbua!!??


 
Dish c Antenna za tube ukasema ikileta mushkeri ushike bomba na kuzungusha!!
Dish inahitaji ufundi na mafundi wake kama sisi!!
Swali je dish yako inasumbua!!??
Kama kupoteza signal!
Picha kukata kata!
Unataka kuhama!
Umenunua uliponunua lakini huna mafundi wa kukufunga!
Na mengineyo kama hayo kwa msaada kiufundi zaidi unaweza wasiliana nasi:
Iwe unatatizo nyumbani kwako,Hotelini kwa wale wamiliki hotel,iwe bar,kwenye lodge,kwa office n.k.
Huduma ni zaidi ya malipo ulipayo!!
Share:

Jul 1, 2012

DSTV OFFER!!!!149,000/=


Kwa Tsha 149,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!!
Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:-
Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.Kwa offer unalipia 4 miezi.
Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.Kwa offer unalipia 3 miezi.
Compact $30 - Channels 60. Kama Tsh 48,000.Kwa offer unalipia 2 miezi.
Compact plus $50 - Channels 70. Kama Tsh 80,000.Utakavyo.
Premiur $80 - Channels 100. Kama Tsh 128,000.Utakavyo.
Unaweza ukapanda na kushuka kutokana na chaguo lako ila kwa offer ni lazima ilipwe kwa utaratibu huu!
Pata huduma fasta na inakufuata mpaka ulipo!!
Piga +255 789476655
Offer ni mpaka kuisha kwa bidhaa!!
KUPATA BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

Share:

Jun 21, 2012

DSTV KWENYE RECEIVER IMEKUFA!!


 Hii ni Receiver
Zamani ilikuwa unaweza ukanunua Receiver yeyote ambayo inasoma card then unaenda DSTV wanakuuzia smart card kisha wanalink baada ya hapo unakuwa mteja bila kununua Decoder hii ilikuwa inamfanya mteja kuweza kupata Channels za DSTV na zile za bure kama Local kiasi kwamba hata usipolipia DSTV utaendelea kuona zile za bure!!
Lakini huduma hii kwa sasa wamesitisha ili kupata huduma za DSTV ni lazima upate Decoder za DSTV!!
Hii inakuwa huduma ya pili kufungwa ya kwanza ikiwa ile ya kupata DSTV kwa kutumia C BAND na wale wenye Decoder za zamani kwa sasa pia hazifanyi kazi
 Decoder hii ya zamani

 Hii nayo ya zamani lakini unapata DSTV

 Zifuatazo ndizo mpya single view Decoder:







Share:

Jun 6, 2012

KARIBUNI WAPENDWA!!

Tarehe 10.06.2012 jumapili,40 ya baba yangu marehemu ESMAILY O.HANYA hivyo kama utapata chance karibu sana,inafanyika nyumbani kwake Magomeni Mapipa,Idrisa street no.27,karibu na delux bar/chipolopolo bar/kwezi dispensary,itakuwa saa 7 mchana!!
Nawakaribisha wote ndugu jamaa na marafiki wa ukweli!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita