ABUDHAB
INSTALLATIONS!!
Napata maswali yenu mengi sana kwamba mnataka kujua mnawezaje kupata Decoder za Abudhab!?,kiukweli kwa Tanzania sijui sehemu maalum ya wakala wa hawa jamaa na kama wapo tunaweza kufanya mawasiliano ili kwa wanaotaka niwaelekeze kwao kwasababu mimi ambacho nafanya ni Installations pamoja na vifaa vyengine kasoro Decoder tu.
Napata maswali yenu mengi sana kwamba mnataka kujua mnawezaje kupata Decoder za Abudhab!?,kiukweli kwa Tanzania sijui sehemu maalum ya wakala wa hawa jamaa na kama wapo tunaweza kufanya mawasiliano ili kwa wanaotaka niwaelekeze kwao kwasababu mimi ambacho nafanya ni Installations pamoja na vifaa vyengine kasoro Decoder tu.
Ugumu wa kupata Decoder ni jinsi ya kuagiza
kutokana na ukweli kwamba hawa jamaa wapo Arabuni,hivyo hakuna jinsi zaidi ya
kuagiza kwa kumtumia mtu ama kuagiza mwenyewe!
Unaweza ukanunua then ambacho mimi nitakusaidia ni kuhusu vifaa vyengine kama dish,cable na Installations ila kwa kuongezea tu unaponunua ni vizuri ukanunua card mbili,namaanisha na ya Aljazeera!!
Unaweza ukanunua then ambacho mimi nitakusaidia ni kuhusu vifaa vyengine kama dish,cable na Installations ila kwa kuongezea tu unaponunua ni vizuri ukanunua card mbili,namaanisha na ya Aljazeera!!
Hapa nikiwa katika kufanikisha watu waone channels zilizomo baada ya kununua Decoder waliponunua then wakanitafuta nikawapelekea Dish na vifaa vyote vilivyohitajika na kuwafungia kisha nikachapa mwendo maana wengine pia walikuwa wananihitaji!!!