Call / WhatsApp +255673378129

Apr 17, 2018

MAFUNDI WA DSTV

 Unapata ujumbe wa E48 kwenye kisimbuzi chako cha DStv!?
Hilo ni tatizo la signal na jinsi la kulitatua, cha kwanza angalia cable inayotoka kwenye dish na kuingia kwenye dish sehemu iliyoandikwa LNB IN ipo sawa haijachomoka!? Kama ipo sawa shida itakuwa kwenye dish hivyo tunapaswa kuja hapo kukutengenezea!
Kutokana na ukweli kwamba ujaji wa mfumo wa Digital kumekuwa na ongezeko kubwa la ajira kwa vijana kwa kuendana na wakati uliopo, mojawapo ya ajira hizo ni Ufundi wa kufunga Ving'amuzi. Mafundi wamekuwa wengi ambao wapo wenye sifa na wapo wasio na sifa..
Tuzungumzie mafundi wa DStv ieleweke kwamba kuna ofisi za Multichoice  ( DStv ) baadhi ya mikoa Tanzania isipokuwa kuna mawakala karibia nchi nzima.. Wapo mafundi wa Multichoice na wapo mafundi wa mawakala pia kuna mafundi wa kujitegemea.. 
Mafundi wanaweza kukufanya wewe mteja either ufurahie huduma za DStv ama uzichukie kutokana na namna ya ufundi wake atakaokufanyia kwako!
Fundi wa DStv anapaswa kuwa na vifaa vifatavyo:-
  • Satellite Finder ( kwa ajili ya kutafuta signal )
  • Drill Machine ( kwa ajili ya kutobolea )
  • Spana zote muhimu ( kwa ajili ya kufunga )
  • Nyundo
Ukiachilia vifaa hivyo pia anapaswa kutumia vifaa vyote vitakavyokuwepo kwenye Dish katika ufungaji kwani kila kilichomo kina kazi yake na endapo kikiachwa hata kimojawapo yapo madhara ambayo yatakusababishia mteja wa DStv gharama zisizo za lazima na kupata ukakasi na huduma za DStv kutokana na picha kukatakata mara kwa mara, kuganda n.k
 FUNDI WA DSTV ATAKUFUNGIA HIVI:-


Kwenye LNB kipokea Signal toka kwenye Satellite na Kupeleka kwenye Decoder ya DStv, Coaxial cable itafungwa vizuri..

kisha Coaxial cable itafunikwa na kifuniko maalumu cha kuzuia maji maji kuingia kwenye cable, maji ambayo yakiingia yanaweza kuleta madhara, kama kupoteza signal, kuunguza LNB n.k....

 Kwa ufanisi huu hakuna sababu ya kopo, hapa hata kunguru hawezi kuharibu chochote, hata mvua ikinyesha hakuna madhara yatakayotokea, hata muonekano ni wa kuvutia...

 Kuna mengi kwenye ufundi, je wewe una tatizo gani kwenye upande wa ufundi kwenye!?
  • Unataka mafundi wa kukuhamisha kwenye nyumba mpya unayohamia
  • Unataka mafundi huoni picha hata namba 100
  • Unahitaji mafundi kwa ajili ya Extra view
  • Mafundi kwa ajili ya Explora
  • Unahitaji mafundi kwa ajili ya kufunga kwenye
  1. > Hotel
  2. > Lodge
  3. > Bar
  4. > Office
  5. > Apartment
Ushauri na yote yanayohusu mambo ya kiufundi DStv Piga +255784378129
Whatsapp +255658046655
Ukitaka kununua DStv bofya hapa
Insta @mustaphamadish

Share:

Apr 5, 2018

DSTV Tsh 79,000/= | KIFURUSHI BURE | TUNAKULETEA BURE


Baada ya ile Offer kubwa iliyodumu kwa muda mrefu kumalizika..!! Bado Multichoice Tanzania imeona kuna kila sababu ya kuangalia namna ya kuwatafutia punguzo lengine ili muweze kufurahia huduma za DStv na sasa ni hii hapa kwa Tsh 79,000 tu unapata vifaa vyote pamoja na kufungiwa Tsh 20,000.. hii imerahisishwa zaidi kwa maana kuna maeneo ambayo mteja unafatwa mpaka ulipo ni wewe tu kupiga simu +255789476655 au Whatsapp+255784378129
Bei ya Tsh 79,000/= Vifaa vyote!
Kufungiwa Tsh 20,000/= na ili uweze kuona unachagua kifurushi na kulipia bofya link hapo chini:-
Kwa maelezo zaidi kama upo Instagram natumia @Mustaphamadish
Share:

Mar 30, 2018

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM



Habari mdau wa Digital tv kiujumla!
Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati naomba tusameheane kwa kuwa majukumu nayo yamekuwa meengi na sio muda wote napitia hii blog, hivyo naomba niwape njia nyepesi ambayo nitakuwa naona maoni yenu kwa wakati na kuyajibu kwa yanayotakiwa majibu.
Iwe mtumiaji yeyote wa Azamtv, Continental, DStv, Digitek, Startimes, Ting na Zuku.
Kwa walio INSTAGRAM natumia @Mustaphamadish nifollow kisha uliza chochote kuhusu king'amuzi chochote na utajibiwa kwa wakati!

Share:

Mar 28, 2018

STARTIMES CHANNEL 5 BURE HATA USIPOLIPIA


Startimes ni moja kati ya ving'amuzi ambavyo vinapaswa kuacha channels za Tanzania uzione bure hata kama malipo yako yameisha.. Hii ni kwa Startimes ya Dish na Antanna..!
Je wewe ni mtumiaji wa Startimes na je unapata channel za tanzania bure hata usipolipia!?
Kwa maelezo zaidi kama upo Instagram natumia 
 
Share:

Mar 12, 2018

OFFER MPYA YA DSTV INAKUFATA ULIPO!


Popote ulipo kwa Dar es salaam ikiwa unahitaji kisimbuzi ( Decoder ) ya dstv unachopaswa kufanya ni kupiga tu simu namba 0789476655 kisha kwa Tsh 79,000 tu unaletewa mpaka ulipo na kufungiwa!
- Utapata vifaa vyote kama:-
Dish
LNB
Decoder HD
HDMI cable
AV cable
Adapter
Remote + betri
Coaxial cable
- Fundi akikufungia ikiharibika ndani ya miezi mitatu anakuja kufanya repair BURE!
- Unapata kifurushi cha Compact kwa mwezi mmoja ( Tsh 44,000 )
- Unaletewa mpaka ulipo BURE!
Piga sasa ama tuma ujumbe mfupi ama Whatsapp+255784378129
Share:

Feb 22, 2018

CHANNEL ZA TANZANIA NI BURE KWENYE VING'AMUZI

Imekuwa kuna kuulizwa kila siku na watumiaji wa ving'amuzi ni kwanini local channel hazibaki kwenye ving'amuzi baada ya kifurushi alicholipia kuisha, wakati huo huo ving'amuzi vyengine channels za local zinabaki!
Ni kwamba channels zinazotakiwa kubaki hata kama kifurushi chako kimeisha ni sita ambazo ni:-
  1. TBC 1
  2. ITV
  3. Start tv
  4. Clouds tv
  5. Channel 10
  6. EATV
Kwa ving'amuzi vinne tu ambavyo ni:-
  • Continental
  • Digitek
  • Startimes
  • Ting 
Ikiwa kuna tofauti yeyote unayoipata inayopingana na taarifa hii unapaswa kutoa taarifa kwa mamlaka husika kwa kufata utaratibu huu:-
 Kama una swali lolote piga
+255789476655
Kuanzia saa 2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku
Share:

Feb 15, 2018

Follow page yetu Instagram @mustaphamadish


Follow @mustaphamadish
Kwa habari zote za ving'amuzi ( Visimbuzi ) vya Tanzania kama:-
  • Azamtv 
  • Continental 
  • DStv 
  • Digitek 
  • Startimes 
  • Zukutv 
  • Ting n.k vya bure na kulipia..
Kujua:-
  • Bei
  • Offer zilizopo
  • Vifurushi
  • Msaada kiufundi
  • Kununua
  • Ushauri na mengineyo yote
  • Kama upo Instagram page ni moja tu @mustaphamadish 
 Kwa maelezo zaidi Call/Text/Whatsapp +255789476655
Share:

KING'AMUZI KITAKACHOONYESHA AFCON 2019 MECHI ZOTE


Ikiwa tunaelekea kwenye mashindano ya mataifa ya Africa AFCON kuna jambo la muhimu ambalo unapaswa kulijua ni king'amuzi gani kitaonyesha mechi zote live kutoka Egypt...!!??
King'amuzi kilicho na idhini ya kuonyesha mechi zote ni kimoja tu DStv!
Kama tayari unacho ni kulipia tu kuanzia kifurushi cha Tsh 19,000/= ama kama hauna ni kupiga simu namba 0637985436 na unaletewa mpaka ulipo!!
 Bei ilekezi ni kama ifatavyo:-
Vifaa Tsh 99,000
Ndani yake unapata kifurushi cha Tsh 69,000 COMPACT!
Kufungiwa ni Tsh 20,000 tu!
Ukiwa na 119,000/= Unapiga tu simu fundi anakuja na kila kitu!
Share:

Jan 21, 2018

STARTIMES KUWEKA CHANNEL ZA DSTV NA AZAM TV


Niliwahi kupata swali kama hili na nilishawahi kuona matangazo sehemu kadhaa mitandaoni ya kuwa kama unatumia king'amuzi cha Startimes tunaingiza channel za Azam tv na DStv na tangazo lengine kama unatumia king'amuzi cha azam tv unaingiziwa channel za DStv na Startimes pia....
Matangazo ni ya wengine lakini huwa nafatwa mimi ili kuthibitisha hili kwakuwa najua uthibitisho wangu ni msaada wa watanzania na wasio watanzania wengi sana..
Licha ya kuwa matangazo wanatoa wengine na namba zao ni nyengine tofauti na namba zangu, wanaotaka kuwahudumia wakiwabana zaidi kwa maswali ama ikitokea tofauti yeyote wanawaelekeza wapitie blog hii kwakuwa ndiye muhusika huyo huyo..
Huko nyuma niliwahi kulalamikiwa hili kwa wahusika kunihusisha na jambo hili ila kuna issue ilikuwa imenibana sana hivyo nikakosa muda wa kuandaa post na mwishowe nikawa kama nimekaa kimya ila nashukuru hivi karibuni kuna jamaa mmoja ambaye ni Fundi MaDish yeye anapatikana kawe, mambo ya ufundi kuzidiana ni jambo la kawaida sana na yeye alijua amezidiwa hivyo akataka kupata kitu ambacho yeye hakifahamu lakini katika kumbana bana ndipo jamaa akamuelekeza apitia kwenye blog hii ili apate ufafanuzi zaidi kwakuwa ndiye yeye maana yake ndiye mimi...
Kwa bahati baada ya kupitia humu akaona kuna utofauti mmoja wapo ni namba ya simu ndipo alipoona bora kunipigia kuendeleza yale maongezi lakini ikawa kama tunaanza upya hivi... ndipo akanieleza yoote..
UKWELI NI:-  Sihusiki na chochote kuhusu huduma hii ya kuingiza channel za Azam tv na DStv kwenye king'amuzi cha Startimes wala kuingiza channel za king'amuzi DStv kwenye Azam tv..
Hakuna huduma hii kama ambavyo wanatoa matangazo wahusika, asilimia 100 unaibiwa, ukituma pesa UMEIBIWA.
Wizi - Ikitokea imegundulika na DStv, Azam tv ama StarTimes unakamatwa wewe uliyewekewa ama unataka kuwekewa na yule muwekaji wa hizo channel. Wahusika wanaojitangaza wanatoa huduma hizi wanajua na ndo maana hawasemi wanapatikana wapi badala yake wanajifanya kumaliza kila kitu kwenye simu..



+255789476655
Insta @mustaphamadish
Share:

Jan 7, 2018

CHEAP CCTV CAMERAS INSTALLATION

Dunia imebadilika siku hizi ukiachilia umuhimu wa cctv cameras ni kupata ulinzi pia inakujuza kwa urahisi kinachoendelea muda ambapo wewe haupo na zuri zaidi unaweza ukapata kuona kinachoendea hata ukiwa nje ya nchi..
Tupo dar es salaam isipokuwa popote ulipo tanzania tunafanyakazi..
bei zetu ni nafuu sana..
wasiliana nasi kwa  Whatsapp+255784378129 / Call +255789476655
Insta @mustaphamadish


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita