Call / WhatsApp +255673378129

Oct 6, 2016

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI ZUKU TV

Wateja wengi wa Zuku tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue Vifurushi vya Zuku tv kwa Kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi cha Zuku Smart Pack Tsh 8,999 na mwezi umeshaisha unataka kulipia kifurushi cha Zuku Classic Tsh 18,000 unaweza kufanya hivyo kwa kufata utaratibi huu:-
 Lipia kwanza Tsh 18,000 kisha chukua simu yako piga namba +255768984200 atakayepokea mwambie umelipia Tsh 18,000 kwa lengo la kutaka kuhama kifurushi hivyo akuhamishe.
Zoezi hili uhakikishe king'amuzi chako umekiwasha kisha ndipo unafanya zoezi hili na inachukua dk 5 mpaka 30 kubadilik!
Kwa uchache huu nadhani nimekusaidia kitu!
+255789476655
Share:

2 Unasemaje..??:

Unknown said...

Sasa nikihitaji kutazama zodiak TV name times TV nalipia bei gani?

Unknown said...

Haraf kwa nn tusitumie kwenye sim hili zowez lakubairisha kifurushi

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita