Call / WhatsApp +255755949413

Jun 26, 2015

AZAM TV BEI MPYA TSH 135,000/= BILA UFUNDI!

Ingawaje mikoani na sehemu nyingi tu bado wanauza bei wanazojua wao ila bei elekezi ni tsh 135,000 tu,hii inakuwa bila kifurushi wala ufundi! Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000 tu,ambao itakulinda kwa muda wa miezi mitatu na ikitokea ikasumbua fundi atakuja kumaliza...
Share:

Jun 19, 2015

RAMADHANI KAREEM

Tumeanza mwezi,mwezi ambao kwetu sisi waislamu una maana kubwa sana kwa haraka haraka tu huu ndio mwezi ambao quraan tukufu ndio ilishushwa mwezi huu na kwa uchache zaidi ndio mwezi ambao mwenyezi mungu anatusamehe dhambi zetu tulizonazo na tutakazokuwa nazo,ni mwezi ambao...
Share:

Jun 18, 2015

LOADING...

Nilichogundua karibu ving'amuzi vyote vina mapungufu na hii inatokana na kujisahau,wafanyakazi kufanyakazi bila juhudi binafsi wanafanya ile bora liende mwisho wa mwezi tukinge,pia makampuni yenyewe husika hayajajipanga katika baadhi ya mambo ili kukabiliana na ushindani...
Share:

Jun 16, 2015

BEI MPYA YA MALIPO YA MWEZI AZAM TV

Burudani kwa wote.. Kwa mujibu wa Azam tv bei za vifurushi zimepanda kutokana na ungezeko la kodi, hivyo kile kifurushi cha tsh 10,000/= kimekuwa tsh 12,000/= kifurushi cha 15,000/= kimekuwa tsh 20,000/= na kifurushi cha 20,000/= kimekuwa tsh 30,000/= Pia siku za usoni...
Share:

Jun 10, 2015

VIFURUSHI VYA TING | TING PACKAGES

Hivi ndivyo vifurushi vilivyopo na bei zake kwenye king'amuzi cha Ting kwenye Antenna na kwenye Dish! 1.REGULAR PACKAGE Inachannel 12+ safi Malipo ni Tsh 11,000/= Kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki! Package hii ni kwenye Antenna tu! 2.CLASSIC PACKAGE Ina...
Share:

Jun 9, 2015

KUNUNUA KING'AMUZI CHA ZUKU TV TANZANIA

Remote ya Zuku Ili kutoa fulsa ya kila mtu aweze kununua kinga'amuzi cha Zuku Tv imeonelea kushusha bei,ambapo sasa ili kununua zuku itakulazimu kulipia Tsh 88,000 tu,badala ya Tsh 95,000/= ila hii inakuwa bila ufundi. Ili ufungiwe itakulazimu kulipia Tsh 30,000 tu,pesa...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645294

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413