Call / WhatsApp +255673378129

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa Dar,hivyo sina la kupinga zaidi ya kulichukua na kutembea nalo kama hivi!

 HAPA NAUNGA UNGA

UNGA UNGA INAENDELEA
Hapa nilitakiwa kuwahamisha waarabu walipo na kuwaleta hapa,jambo hilo kwangu halikuwa gumu kihivyo... nami nikafanya fanya yangu kwa kuunga unga Dish na nikawavuta waarabu wakajaa tele!
Baada ya hapo nikachukua vilivyo vyangu na kuchapa mwendo!
0714973797 kiufundi zaidi!
Share:

Jan 6, 2013

CHANNEL ZA DIGITEK

Hii ni orodha ya baadhi ya channel zilizopo kwenye king'amuzi cha Digitek, ambacho hakina malipo ya mwezi unafurahia tu hizi channels:-

Always Connected
Kwa Maelezo zaidi
PIGA +255789476655
Share:

Jan 2, 2013

DSTV TANZANIA

Kujua bei ya sasa Bofya hapa
SO MUCH MORE..!
Kwa sasa kuna Offer ambapo kwa Tsh 149,000/= Full Installations
Unapata Dish ndogo,lnb,Decoder,Cable mt20 na Kufungiwa!
Baada ya hapo unachagua Package uipendayo kati ya zifuatazo:-
DStv Access Tsh 16,500 - $10
DStv Family Tsh 33,000 - $20
DStv Compact Tsh 53,000 - $32
DStv Compact Plus Tsh 85,000 - $52
DStv Premium Tsh 135,000 - $82
CHANNEL MAALUM
Portuguese-5 Channels
Asian-4 Channels
German-1 Channel
French-4 Channels
China-7 Channels
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa
HUDUMA NYENGINE ZA DSTV:-
DStv Extra View
n.k.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu
Morogoro rd,Magomeni Mapipa opp DTB
Office: +255789476655
Mobile: +255659161111
Wakala wa DStv aliyeidhinishwa.
Tunafunga na kuuza vifaa vyote vinavyohusiana na DStv.
Pia tunauza na kufunga Dish aina zote.
Kwenye Hotel,Apartment,Office na Nyumbani.
Share:

Dec 5, 2012

FLAT SCREEN INAZIDI FANYA VIZURI!

 NISHAFANYA YANGU
Kiukweli ntaona ajabu sana kama unataka kununua TV na ukaenda kununua zile analogue badala ya flat screen kitu cha bapa!
Naanza kuzisahau TV za chogo maana kile niendapo nakutana na flat,jambo zuri na kupendeza maana hata ufungaji wake tv inakuwa self.
Ilikuwa ni kwenye Office moja hivi,nilifunga dish ya DSTV then nikafunga flat zipatazo mbili baada ya hapo wapi kilicho changu na kuchapa mwendo nikiwaacha watu wakicheka cheka tuu na office yao!!

YA KUPENDEZA
Share:

Oct 10, 2012

MAWASILIANO

East Africa,Tanzania.
Dar es salaam.
Magomeni.
Office: +255789476655
Cell: +255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com
Instagram
Facebook
Twitter

Share:

Sep 26, 2012

DSTV IMENIFANYA NIIJUE IKWIRIRI!!

DSTV bado inafanya vizuri na ukizingatia haina mipaka ndani ya Tanzania na ndo sababu ya kukufanya popote ulipo unaweza kufunga na ukaona kila ambacho unapaswa kuona kutokana na Package uliyoilipia!!
Kwa mantiki hiyo ikafanya watu watoke sehemu moja inaitwa IKWIRIRI na kutaka nikawafungie DSTV ili wacheck mipira na mengine ya kupendeza ila kubwa likiwa mipira,nami si nipo kwa ajili ya kufurahisha wengine huku mkono ukienda kinywani nikasababisha kama ambavyo unaona mwanaume hasifiwi sura!!





Hapa kazi tu!!
 Safari ilikuwa ni ya siku moja tu,nimetoka Dar mchana nikafika kule jioni nikapumzika kisha siku inayofuata asubuhi nikafanya kilichonipeleka nilipomaliza nikatembea tembea kidogo kuona IKWIRIRI ilivyo maana ndo mara ya kwanza kufika ila ambacho naweza kusema pazuri banaa nimepapenda kiasi kwamba hata kuweka kambi naweza kwasababu ni mjini na mji ndo unakua!!
Nnachofurahi kwangu safari moja huanzisha nyengine na ndo kilichotokea Mungu akipenda ntakuwepo tena next week,umuhimu wangu umeonekana hivyo nnahitajika kurudi!!
Share:

Sep 19, 2012

MBIO ZA ABUDHAB!!


ABUDHAB INSTALLATIONS!!
Napata maswali yenu mengi sana  kwamba mnataka kujua mnawezaje kupata Decoder za Abudhab!?,kiukweli kwa Tanzania sijui sehemu maalum ya wakala wa hawa jamaa na kama wapo tunaweza kufanya mawasiliano ili kwa wanaotaka niwaelekeze kwao kwasababu mimi ambacho nafanya ni Installations pamoja na vifaa vyengine kasoro Decoder tu.
Ugumu wa kupata Decoder ni jinsi ya kuagiza kutokana na ukweli kwamba hawa jamaa wapo Arabuni,hivyo hakuna jinsi zaidi ya kuagiza kwa kumtumia mtu ama kuagiza mwenyewe!
Unaweza ukanunua then ambacho mimi nitakusaidia ni kuhusu vifaa vyengine kama dish,cable na Installations ila kwa kuongezea tu unaponunua ni vizuri ukanunua card mbili,namaanisha na ya Aljazeera!!














Hapa nikiwa katika kufanikisha watu waone channels zilizomo baada ya kununua Decoder waliponunua then wakanitafuta nikawapelekea Dish na vifaa vyote vilivyohitajika na kuwafungia kisha nikachapa mwendo maana wengine pia walikuwa wananihitaji!!!
Share:

Sep 1, 2012

UZURI WA FLAT SCREEN KWA UKUTA!!

Kwanza inapendeza asikwambie mtu,ipo salama pia na haichukui nafasi kubwa,zaidi ya yote unakuwa wa kisasa zaidi na ambaye unakwenda na wakati,kama bado upo nyuma huyu ameshakuacha!!
Si kama nauza TV flat laa ila ambacho nafanya ni kufunga tu kama hivi,hii ni office ila nilianzia nyumbani kwa moja ya wafanyakazi wa hii Office baada ya kufanya vizuri ndipo nikatakiwa nifanye Installations ya Office nami ndo nikafanya haya ya kupendeza!!

Hapa ni kudrill mwanzo mwisho!

Ili niweze kufunga kishika TV!!

..........

 Nikiweka TV baada ya kfunga tv bracket!!!

 Inapendezaje!!

 Hapa nje nikiset Dish ya DSTV!

 Lazima umalize hivi kuweka muonekano mzuri na kazi saafi!!!!
Hapa nimefanya Installations ya DSTV na Local Channels.
Share:

Aug 23, 2012

MWENDO NDO ULE ULE!!

Wenye kujua wataendelea kujua na wasiojua sitaacha kuwajuza!
Hiki ni chumba cha kulala,matakwa ya mteja ndivyo nilivyoyatimia!
Kwa kufunga Flat screen hapo ilipo na DSTV!!
 Unaonaje kulivyopendeza!!
 Mimi je!!
 Ng'aa!!
Nikachukua kilicho changu na kuchapa mwendo!!
Share:

Aug 11, 2012

OFFER KWA WATEJA WANGU WOTE!!

Kwa wale wateja wapya na wa zamani nafasi yako hii!!
DISH MPYA YA LOCAL CHANNELS Tsh 280,000/=!!
Inajumuisha vifaa vyote pamoja na ufungaji!!
Unapata channel za Tanzania na nyenginezo za nje,ambapo inajumuisha zaidi ya Channels zaidi ya 50 bure!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita