Call / WhatsApp +255673378129

Jul 1, 2015

DSTV IMESHUKA TSH 79,000= BILA UFUNDI!


Kwa wateja wapya hii inawahusu sana,muda ambao mamlaka ya mapato tanzania imepandisha bei ya kodi kwenye $,jambo lililopelekea pia kupanda kwa gharama za malipo ya mwezi ya vifushi vya ving'amuzi vyote.
Kwa kulizingatia hilo Multichoice Tanzania imeonelea ipunguze gharama za kununua king'amuzi,kwa tsh 79,000 tu unapata Vifaa vyote ikiwa kama Dish,Decoder,cable,n.k. bei hii inakuwa haina ufundi wala kifurushi.
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000,pesa hiyo licha ya kufungiwa pia itakulinda kwa muda wa miezi mitatu kama litatokea lolote la kiufundi,fundi atakuja kwako kuangalia tatizo bila malipo yeyote.
Baada ya hapo unachagua vifurushi kati ya vifuatavyo kisha unalipia ili uweze kupata channel zilizo bora kabisa!

1-DSTV BOMBA PACKAGE
Ina channel 65+ bora
Bei mpya ni Tsh 19,950
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-DSTV FAMILY PACKAGE
Ina channel 70+ bora
Bei mpya ni Tsh 42,900
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-DSTV COMPACT PACKAGE
Ina channel 85+ bora
Bei mpya ni Tsh 82,250
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-DSTV COMPACT PLUS PACKAGE
Ina channel 90+ bora
Bei mpya ni Tsh 122,500
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-DSTV PREMIUM PACKAGE
Ina channel 120+ bora
Bei mpya ni Tsh 184,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

KAMA UNA TATIZO LA KIUFUNDI AMA HUDUMA KWA WATEJA Bofya hapa

ZINGATIA:Muda wa kupiga simu ni saa 08:00 asubuhi - 20:00 usiku.

PIGA SIMU +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com


Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita