Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI: