Call / WhatsApp +255673378129

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania
Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa!
Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za Tanzania TBC1 na STAR TV zinasumbua kwenye futi sita,angalau STAR TV wakati mwengine inatulia,ila hii kwenye futi nane haipo,kama utatumia dish futi nane channel zote za Tanzania zitaonyesha vema

 Hapa naingiza frequency
Nikafanya ya kufanya kama ilivyo ada yangu na mwisho wa siku nikaacha watanzania wanatawala kama kawa ingawaje TBC iligoma kabisa ila STARTV ilikuwepo imejaa tele!
Pia kwenye futi 6 kuna CITIZEN pia.

Share:

Jul 12, 2013

EMANUEL TV channels zaidi ya 50 BURE!!


Inatumia dish ndogo lugha ya kitaalamu inaitwa KU,unapata kuona channel zifuatazo ila nyingi zikiwa za gospel.Vifaa vinavyokamilisha set hii ni:-lnb KU,Receiver,Dish KU,Cable,F connectors.
Channel ZN
CNTV
ACNN
My tv promo
Celebration TV
Bethesda TV
CVV
Omega
ACBN
Chosen TV
HO TV
Champions TV
ITVN
Prophetic Channel
3ABN
Viewsat Promo
Sprit World
Blessing TV
Hosanna
Ahlulbayt TV
MFM TV 
New frontiers TV
RAK TV
Success TV
Charis TV
Mercy TV
ADBN
KICC TV 
ABN
Angel TV Africa
Olive TV
BETV
Spare slot
Muvi TV Africa un
Messiah
Oracle TV
Miracle TV
Madani chnl
Inspiration TV
Praise TV
JCC TV
Dunamis TV
God TV
Evangel TV
Spare_slot 4
Dove vision
El Shaddai
Channel 44
i Film
WRS
Love World
Starcross TV
Emanuel TV
Christian
KLN TV

Share:

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!


Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI:
+255659161111

 Ilipo Dish Setting zikiendelea!

 Bahari Beach Lodge Mapokezi

 Kupumzika imoo!!

 Hapa hakuna signal hivyo haiwezi kuscan!

 Baada signal kuingia!

 Hapa imeanza kuscan!
Share:

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!
Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!
Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels zaidi ya 50 jamaa akabaki anacheka cheka tu!
Nikakinga nikakunja na kuachapa mwendo!
Maeneo ya msasani pale haya waungwana x nyngne tena!
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!


TRANSIT MOTEL AIRPORT 

Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n hata anapotoa pesa yake anajua inatoka kwa mahitaji gani!
Binafsi huwa najisikia furaha kuona namfanyia kazi mtu na mwisho wa siku yeye anapata kile alichokitegemea ama zaidi,kicheko chake mwanya mwengine kwangu!
Nikachukua vyangu na kuaga huku nikikaribishwa tena wakati mwengine!

TRANSIT MOTEL UKONGA
Share:

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa Dar,hivyo sina la kupinga zaidi ya kulichukua na kutembea nalo kama hivi!

 HAPA NAUNGA UNGA

UNGA UNGA INAENDELEA
Hapa nilitakiwa kuwahamisha waarabu walipo na kuwaleta hapa,jambo hilo kwangu halikuwa gumu kihivyo... nami nikafanya fanya yangu kwa kuunga unga Dish na nikawavuta waarabu wakajaa tele!
Baada ya hapo nikachukua vilivyo vyangu na kuchapa mwendo!
0714973797 kiufundi zaidi!
Share:

Jan 6, 2013

CHANNEL ZA DIGITEK

Hii ni orodha ya baadhi ya channel zilizopo kwenye king'amuzi cha Digitek, ambacho hakina malipo ya mwezi unafurahia tu hizi channels:-

Always Connected
Kwa Maelezo zaidi
PIGA +255789476655
Share:

Jan 2, 2013

DSTV TANZANIA

Kujua bei ya sasa Bofya hapa
SO MUCH MORE..!
Kwa sasa kuna Offer ambapo kwa Tsh 149,000/= Full Installations
Unapata Dish ndogo,lnb,Decoder,Cable mt20 na Kufungiwa!
Baada ya hapo unachagua Package uipendayo kati ya zifuatazo:-
DStv Access Tsh 16,500 - $10
DStv Family Tsh 33,000 - $20
DStv Compact Tsh 53,000 - $32
DStv Compact Plus Tsh 85,000 - $52
DStv Premium Tsh 135,000 - $82
CHANNEL MAALUM
Portuguese-5 Channels
Asian-4 Channels
German-1 Channel
French-4 Channels
China-7 Channels
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa
HUDUMA NYENGINE ZA DSTV:-
DStv Extra View
n.k.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu
Morogoro rd,Magomeni Mapipa opp DTB
Office: +255789476655
Mobile: +255659161111
Wakala wa DStv aliyeidhinishwa.
Tunafunga na kuuza vifaa vyote vinavyohusiana na DStv.
Pia tunauza na kufunga Dish aina zote.
Kwenye Hotel,Apartment,Office na Nyumbani.
Share:

Dec 5, 2012

FLAT SCREEN INAZIDI FANYA VIZURI!

 NISHAFANYA YANGU
Kiukweli ntaona ajabu sana kama unataka kununua TV na ukaenda kununua zile analogue badala ya flat screen kitu cha bapa!
Naanza kuzisahau TV za chogo maana kile niendapo nakutana na flat,jambo zuri na kupendeza maana hata ufungaji wake tv inakuwa self.
Ilikuwa ni kwenye Office moja hivi,nilifunga dish ya DSTV then nikafunga flat zipatazo mbili baada ya hapo wapi kilicho changu na kuchapa mwendo nikiwaacha watu wakicheka cheka tuu na office yao!!

YA KUPENDEZA
Share:

Oct 10, 2012

MAWASILIANO

East Africa,Tanzania.
Dar es salaam.
Magomeni.
Office: +255789476655
Cell: +255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com
Instagram
Facebook
Twitter

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita