Call / WhatsApp +255673378129

Nov 12, 2010

OFFER Tsh 90,000/= DSTV INSTALLATIONS................!!

Hii ni ngumu kuamini ila ni kweli Multi choice Tanzania DSTV wametoa offer kwa wale wote watakao kujiunga.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Share:

Nov 2, 2010

OUR SERVICE'S MORE THAN YOUR PAYMENTS....!!

Tunakuhakikishia ubora na ndo maana tunathubutu kusema huduma zetu ni zaidi ya malipo yako....!!
Share:

Popote ulipo tunakuja na popote utakapo tunafunga.

Haijarishi wapi ulipo ila ukituhitaji tunakuja na kukufungia ama kukurekebisha,....!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!
Share:

FLAT SCREEN INSTALLATIONS

Share:

DISEQC SWITCH......!!


Kifaa ambacho kinaunganisha LNB ama Dish zaidi ya moja,kuingiza channel kwenye Receiver moja
Share:

MULTI SWITCH........!!!!

Ni kifaa ambacho kinaunganisha Receiver/Decoder zaidi ya moja kwa kutumia Dish moja.
Multi switch zipo aina mbili ambazo zinatumia umeme na zisizotumia umeme.

Share:

FAKE'S NOT CHEAP....!!

Siku zote napenda kuona naongeza idadi ya wateja,hii inategemea na huduma nitoazo kwa wateja zetu ambao ndo wanakuwa wajumbe wazuri kwa kuwashawishi wengine kuja kwetu.
Kuna wateja ambao ukiwapa bei ya kifaa Original hafikirii x2 hutoa bila wasi wasi wowote kutokana na either mtu aliyemuelekeza ama imani yake kwetu na maelezo aliyoyapata awali.
Wapo ambao unawapa bei ya Original wao wanataka bei ya Fake,kitu ambacho kinatuwia vigumu kufanya biashara.
Share:

Nov 1, 2010

EAST TV TANZANIA

 Easy TV Tanzania ni kampuni ambayo si ngeni sana Tanzania ila kiukweli nimegundua watu wengi hawaifahamu kutokana na ukweli kwamba hawajajitangaza kikamilifu huku wengine wakidhani kama hawako serious na kazi,ila ukweli ni kwamba hawa jamaa wapo serious na wanaendelea kufanya vizuri maana wana miaka kadhaa Tanzania wakiendelea kutoa huduma.
Zaidi kwa mahitaji ya channel za Tanzania ambazo zilizopo kwenye satellite na zile zilizopo kwenye transmeter unazipata,hii inamaana ni zote kama zitakosekana na 2 ama 1,kiasi kwamba mpaka TVZ unaipata na CLOUDS TV.
Ukiachilia hizo pia kuna za mataifa mengine ya Africa,Movie,Michezo,Documetary,Music,News na nyenginezo.








Hii ni moja kati ya Easy TV nilizowahi kuinstall,ni maeneo ya sinza A pale kwa jamaa mmoja wakujiita Kisanga.
Share:

Dish cable

 
Kuna ambacho wengi hawakijui kama si kuchanganya,cable ya antenna ya kawaida na cable ya dish ni sawa kwa macho na kazi ila ni tofauti kwa quality,ambapo cable ya dish ipo high quality kutokana na mzigo unaobeba tofauti na cable ya antenna ambayo ipo low quality kwasababu kinachobeba ni cha kawaida sana.
Cable ya antenna ukiiweka kwenye dish si kwamba haitaonyesha itaonyesha ila itapoteza signal kadhaa njiani na kutokaa muda mrefu zaidi ya yote kuunguza either LNB ama kipokea ( Decoder/Receiver )
Share:

Oct 19, 2010

MAFUNDI DISH AINA ZOTE

UNAHITAJI MAFUNDI WA KUFUNGA DISH KWA CHANNEL ZA BURE AMA KULIPIA!?
Upo mkoa gani,swali la kwanza la mimi kutaka kujua!
Kama upo Dar es salaam utapata fulsa ya kuhudumiwa nami ama moja ya wataalam wangu ila kama upo nje ya Dar es salaam nitakuunganisha na mafundi wenzetu walio katika mikoa hiyo na utapata huduma kanakwamba umehudumiwa na Mustapha MaDish!
Cha kufanya piga namba: +255 714973797
KARIBU!
Share:

Oct 10, 2010

Sanaa Mapenzi Yangu!!

Sifanyi sababu fulani anafanya ingelikuwa hivyo kitaambo ningelikuwa miongoni mwao,ila mapenzi yangu toka ku moyo zaidi ya yote Vipaji nilivyojaaliwa nataka kuvitendea haki.
Kimbia ukimbiavyo lakini mi nanyata so kama huna pumzi ntakukuta na kukuacha njiani,ntafika nikikungoja kukukaribisha lakini kamwe huwezi kuiba kipaji cha mtu!!
Share:

GERAFFE VIEW HOTEL - DAR

Kwenye ukumbi ambao upo baharini wanapaita JET 1,kilichotakiwa hapa ni kufunga Flat Screen na Dstv,nami bila hiyana kama kawaida ile mikono salama ukafanya yake!
* Geraffe View Hotel (DSTV)


 Katika ukumbi huu wa JET 0ne As usually.





 Nafunga Dish sasa!! 

 

 Hapa natafuta signal baada ya kufunga Dish.

  Ni DSTV kama inavyoonekana katika FLAT SCREEN hii. 

+255784378129| Technical Support
Share:

Easy TV

Kwa Tsh 200,000/=
Unapata na miezi mitatu bure!!
Inajumuisha Decoder,Antenna,Cable na Installations!
Kwa mwezi unalipia 9000/= unapata jumla ya Channels zote!
EASY TV ina jumla ya channels 32 ila zinazoonyesha ni 30 tu.
Movie 1
Movie 2
Movie3
Movie Arabic
Aljazeerah
CNN
BBC
CCTV4
UBC
Citizen
TBC 1
Star TV
Channel 10
Capital
EATV
TVZ
ITV
Clouds TV
EWTN/TV Tumaini
Mliman TV
Emmanuel TV
Peace TV
Channel V
Xing kong
Ph'x China
JSC document
JSC sport
MTV
Child
Share:

LOCAL CHANNELS

FULL INSTALLATIONS
 In Hotel.Apartment.Office.Home
Materials:
              1.Receiver
              2.Satellite Dish Antenna c band
              3.Cable
              4.LNB c band
              5.F connectors.
+ Installations
= 6 Total Local Channels.
As: TBC1,ITV,CAPITAL,EATV,CHANNEL 10,STAR TV.
Pia unapata MOZAMBIQUE (Channels 3)

Satellite Dish Antenna for Local Channels.
REPAIRING:
            * Bad signal
            * Move from 1 place to another
            * More Channels through Local S.D.Antenna.

MATERIALS:


Share:

Oct 9, 2010

DSTV EXTRA VIEW

Ni huduma ambayo haina muda mrefu sana ambayo naweza nikasema ni mpya toka DSTV inakuwezesha kuona channel 2 tofauti kwa wakati mmoja kwa kutumia decoder mbili ila a/c moja kinachozidi ni $10 tu ya malipo ya mwezi,pia unatumia dish moja ila LNB inakuwa ya njia 2 maana kila decoder inakuwa na signal yake.Hii kama utatumia decoder zote za single view lakini pia Extra view inapatikana kwenye HD pia ila decoder ya pili lazima iwe single view na ukitumia HD,LNB yake inakuwa zaidi ya njia 4.
Hii ni HD decoder na single view decoder kwa pamoja unapata Extra view service
Share:

Oct 7, 2010

HOTEL INSTALLATIONS

Tunachofanya ni kukubaliana na muhusika channel zipi anahitaji kutokana na mapenzi ya wateja,nikimaanisha channel pendwa,baada ya hapo tunainstall channel idadi iliyotakiwa then tunatengeneza master chumba maalumu,tukiwezesha vyumba vyote vya hotel kuingia channel zote zilizohitajika na kufanya kila mteja aliye chumba alichopanga kujibadilishia channel apendavyo kwa kutumia remote ya TV chumbani kwake,huku channel zikiwa na quality ya digital pasipo chembe ya chenga.
Share:

APARTMENT INSTALLATIONS

Wengi wanapenda kufunga DSTV huku local na channel nyengine zikiachwa kwa wapangaji wenyewe kama wanahitaji kutokana na ukweli kwamba wapangaji wengi wa Apartment si wenyeji wa Tanzania hivyo hawaoni umuhimu wa kuangalia channel za nyumbani wakiamini TBC inawatosha ambayo inapatikana kwenye DSTV.Ambacho kinafanyika tunainstall Dish 1 ama 2 mbili kwa apartment nzima,nikimaanisha nyumba zote za wapangaji wa humo kutakuwa na connection ya DSTV ambacho yeye anafanya ni kukunua DSTV decoder tu ambayo hata akihama anaweza kuhama nayo.Hii pia inafanya mazingira ya apartment husika kuwa nadhifu na muonekano mzuri kwa kupunguza wingi wa madish,njia hii inawezekana kwa channel za local ama nyengine pia inategemea na wapangaji husika ama mmiliki wa apartment.
Share:

C BAND SINGLE SOLUTION CABLE

Hiki ni kifaa ambacho kinauwezo wa kukabiliana na interfierence sehemu zilizo na minara mitambo mitambo nk.Pia kuna channel ambazo hazipatikani mpaka utumie Single solution cable c band LNB haijarishi kama kuna interfierence ama laa.
Share:

TOFAUTI YA RECEIVER NA DECODER

Decoder ni kifaa kinachopokea Channel ambazo zipo fixed kwa mfano DSTV,ni lazima ziwe zinalipiwa na kampuni husika,hii inamaana huwezi kupata bure labda wenyewe waamue hivyo ama upite wizi.
 Receiver ni kifaa kinachopokea channel zote zilizopo kwenye satellite,haijarishi kama ni fixed ama zipo zipo tu,ila hii inategemea na muelekeo na setting husika ikizingatiwa freequence.Haina maana kwamba hata zile za kulipia utazipata bure,zipo ambazo utazipata kutokana na ukubwa wa dish na muelekeo na huwa sio zote.
Pia kuna Receiver zinazotumia smart card hivyo unaweza ukapata channel zote za kulipia mf: channel za DSTV unaweza ukapata bila kutumia decoder zao,kitakachokulazimu ni kununua smart card yao.
Share:

Baada kufa GTV...!!

Ni wazi kwamba ni watanzania wengi wameathirika na uyeyukaji wa GTV wamejikuta wamebakia na Decoder wasijue wazifanyie nini huku wengine wakijipa imani ya kuwa ipo siku watarejea....!!
Decoder ya GTV unaweza ukaitumia kwa kutumia dish lake lile lile unaweza ukaona channel zipatazo 13 FREE,ambazo ndani yake kuna kama MBC1,2,3 ambazo zinonyesha movie sometimes mpira ambao unakuwa live ila si mechi zote,wala ligi maalumu inakuwa wenyewe tu wakijisikia kufanya hivyo wanafanya.Ukiacha njia hiyo kuna jamaa yangu mmoja ambaye nakili kusema ya kuwa amenizidi ung'amuzi kiasi kwamba amefanikiwa kuflash GTV decoder na ikawa receiver ambayo inapokea channel yeyote kutokana na matakwa yako...!!
Dish la GTV pia unaweza ukatumia kwa DSTV ama channel za Gospel ama nyengine kwa sababu Dish haichagui Receiver ama Decoder ni ufundi wa fundi tu.
Share:

JUA USICHOKIJUA..........!!!

Kwa channel za nyumbani Tanzania si zote ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna,kwa sababu TV station nyengine wanatumia Transmeter kurusha matangazo yao hivyo channel yeyote ambayo inatumia Transmeter haipatikani kwenye Dish,nikiwa na maana ya kuwa itakulazimu utumie Antenna ya kawaida.
Zijue channel ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna:-
*ITV,EATV,CAPITAL
*STAR TV
*ATN
*TBC
*CHANNEL 10
NB:Hii ni kuanzia Satellite Dish Antenna inayoanzia futi 6 na kuendelea na LNB itumikayo ni C band.
Share:

Sep 15, 2010

ARABSAT


Hii inajumuisha Dish kubwa cband,Receiver,LNB,Cable na Installations!
Unapata kama channels 29!

KUHAMISHA Tsh 50,000/=

KUFANYA REPAIRING Tsh 30,000/=

KUFANYA INSTALLATIONS Tsh 50,000/=
Share:

DSTV INSTALLATIONS



DSTV SINGLE VIEW
Kwa sasa offer imeisha kwa Tsha 169,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!!
Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:-
Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.
Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.
Compact $30 - Channels 60. Kama Tsh 48,000.
Compact plus $50 - Channels 70. Kama Tsh 80,000.
Premiur $80 - Channels 100. Kama Tsh 128,000.
Unaweza ukapanda na kushuka kutokana na chaguo lako!
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

 DSTV EXTRA VIEW
 
Hii inatumia Decoder mbili na unapata channels 2 tofauti kwa A/c moja kinachozidi ni $10 kwa mwezi kwa package utakayoichagua!


DSTV HD DECODER
Ina uwezo wa kupeleka mbele,kurudisha nyuma,kusimamisha hata kama kipindi ni cha moja kwa moja,pia ina uwezo wa kurekodi saa 150!
Zaidi ya yote inaonyesha vizuri zaidi kuliko decoder za kawaida.
Hiiinajumuisha Dish ndogo,lnb ya njia 4,cable mt 100.Kwenye malipo ya mwezi inazidi $10 kutokana na kuongezeka channels kwenye HD DECODER unapata zaidi ya channels zile zanazopatikana kwenye SINGLE VIEW DECODER!
Pia unaweza ukawa na HD DECODER na ukafanya EXTRA VIEW kwa kuongeza DECODER nyengine ya SINGLE VIEW lakini pia itazidi $10 kwenye malipo ya mwezi!
Pia unaweza ukawa na HD na ukaongeza HD kwa EXTRA VIEW

KUHAMISHA DISH
Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!!

KUFANYA REPAIRING
Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!!

KUFUNGA MPYA
 Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!! 

Pata huduma fasta na inakufuata mpaka ulipo!!
Piga +255 789476655
Offer ni mpaka kuisha kwa bidhaa!!
Share:

Sep 14, 2010

Abudhab TV


Hii ni ya waarabu na ili upate lazima ununue Arabuni,bei inategemea na jinsi utakavyopata namaanisha zile njia za kuagiza!!
Hii inakuwa ni Decoder inakuwa na air time ya miezi 12!!
Itakapoisha itakulazimu kulipia tena kwa mwaka kwa utaratibu utakaopewa!
Sisi ambacho tunafanya ukishakuwa na Decoder tutakusaidia kupata Dish.lnb,Cable pamoja na Installations.
 KUHAMISHA Tsh 50,000/=

KUFANYA REPAIRING Tsh 30,000/=

KUFANYA INSTALLATIONS Tsh 50,000/=

Share:

Mar 16, 2010

Kazi za Diseqc switch

 Inaitwa Diseqc switch ni switch mojawapo katika mfumo wa satellite dish antenna.
Kazi yake ni kuunganisha LNB zaidi ya moja,ama unaweza kusema Dish zaidi ya moja kwa wakati mmoja na channel zote kuingia kwenye receiver moja na kuweza kuona hata channel zaidi ya 200 ambazo zipo kwenye dish zote ambazo zimeunganishwa kwenye diseqc switch.
Kuna aina kadhaa za Diseqc:
  • Njia 2-inauwezo wa kuunganisha lbn 2 kwa wakati mmoja.
  • Njia 3-inauwezo wa kuunganisha lnb3 kwa wakati mmoja.
  • Njia 4-inauwezo wa kuunganisha lnb 4 kwa wakati mmoja.
  • Njia 6-inauwezo wa kuunganisha lnb 6 kwa wakati mmoja.
  • n.k
 Our service's more than your payments.
Share:

Jan 20, 2010

Local channel

      Kwa Tsh 320,000/=
Unajumuisha C band Dish ft6,LNB cband n KU,Cable mt30,Receiver,Diseqc switch na Installations TV moja.
Unapata kuona zaidi ya Channels 60 FREE!!!
Za Tanzania zikiwemo zifuatazo:
ITV
CAPITAL
EATV
ATN
TBC
CHANNEL 10
STAR TV
Ambazo sijazitaja hapo hazionekani kwasababu hazijajiunga na Satellite.

KUHAMISHA DISH LA LOCAL Tsh 50,000/=

KUFUNGA MPYA 50,000/=

KUREKEBISHA 30,000/=

USHAURI BUREE!!
Share:

Twende kazi...!!!

Kwetu kila kukicha tunacheza na mitandao kutaka kujua lipi jipya upande wetu huu ili tupate kwenda sawa na ya duniani,kila leo frequency zinabadilika na satellite kuhama hivyo ili wateja wetu waweze kupata ambacho wanakihitaji up to date,tunawatumikia sana kuliko wadhaniavyo...!!
Leo nipo maeneo fulani hivi wanapaita mbezi salasala,nili7babisha watu waone Local,Asia na Gospel channels...    Dish ilikuwa kitu new na hizi ni baadhi ya ambazo nilibahatika kuzipata alau:-









Share:

"njoo tukuonyeshe Original ili uiepuke Fake"

KARIBU KWENYE BLOG YETU ITAKAYOKUWA INAHUSU MAMBO YOTE YA MADISH KAMA UTAHITAJI ELIMU ZAIDI,USHAURI,MSAADA KIUFUNDI AMA KUHUDUMIWA HII NDIO SEHEMU SAHIHI KWAKO KARIBU!

FREE CHANNELS 
KWA DISH KUBWA


  • LOCAL CHANNELS ( Tanzania includes Mozambique n Angola )

* Seti yake inajumuisha vifaa vifuatavyo:-
1.Dish futi 6
2.Receiver
3.LNB c band
4.Cable mt 20
5.Connectors
* Unaweza kupata jumla ya channel 11 tu katika choice hii.
Kwa maelezo zaidi itakuja link



  • LOCAL CHANNELS,ASIA AND NIGERIA
1.Dish futi 6
2.Receiver
3.LNB c band pc 2
4.LNB KU
5.Diseqc switch
6.Cable mt 30
7.Connectors
* Unaweza kupata jumla ya channel 80 katika choice hii.
Kwa maelezo zaidi +255714973797


  • LOCAL CHANNELS,ASIA,KENYA AND SOUTH AFRICA

1.Dish futi 8
2.Receiver
3.LNB c band pc 3
4.Diseqc switch
5.Cable mt 30
6.Connectors
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita