Call / WhatsApp +255673378129

Dec 10, 2010

Hali ya hewa c shwari dar.....!!!

Kiukweli ikiwa kijijini wanaomba mvua mjini tunaichukia mvua kwa kuona ya kuwa haina faida yeyote kwetu kutokana na ukweli kwamba shughuli nyingi zinasimama ama kuchelewa kutokana na hali ya mvua ila mwisho wa siku inakuwa haina jinsi sababu ndio kudra ya m'mungu analopanga binadamu hawezi pangua....!!!
Kwa upande wa DSTV usishangae upo ndani unaangalia huku mvua kubwa unanyesha unaona inakatakata mfano wa CD iliyochunika,ukataka kumwita fundi wala usisumbuke kwani ndo kawaida ila ikikata mvua nayo inatulia kama kawaida,ila kwa madish ya free haina kukata huendelea kuonyesha vizuri muda wote...!!!
Kipindi hiki ndo kipindi cha kujua ubovu wa Dish lako kwako kama pembe la ng'ombe halifichiki....!!!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita