Call / WhatsApp +255673378129

Dec 19, 2010

KU na minara dam dam....!!

 Lau ingelikuwa nainstall C band hakika ningekesha bila kuwa na single solution cable kwa kuwa kungekuwa na kitu kinaitwa interference maana uwapo mnara either wa simu ama mitambo mitambo Satellite Dish hasa C band linakuwa kama linakingwa hivi ama kupungua uwezo wake wa kukamata sawia satellite husika,baada ya wataalamu kulijua hilo wakatutengenezea kifaa ambacho kinaweza kuimili mikiki hiyo nayo ni SINGLE SOLUTION CABLE hii ni kwa Dish kubwa tu...!!
Kwa dish ndogo ni nadra sana kutokea interference hata kama kuna mnara mbele kama nilivyoinstall hiyo DSTV maeneo ya Afri center na mambo yakawa swaafiii...!!!
Ukienda mbali zaidi zipo lnb za dish ndogo ambazo nazo kazi yake ni kukabiliana na interference....!!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita