Call / WhatsApp +255755949413

Jun 30, 2014

DSTV FAMILY PACKAGE | CHANNELS 70+ | TSH 39,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Family FTA KBC CITIZEN TBC STAR TV CHANNEL 10 ITV Clouds Tv KTN News K24 Bukedde Tv WBS NBS Tv e Tv Africa Dish MICHEZO SuperSport Blitz SuperSport Select1 SuperSport 2Select SuperSport 9 SuperSport 9 East SINEMA Movie...
Share:

Jun 25, 2014

AZAM TV - MASAKI

 Wanapaita ushuani kule upepo unapovuma! Masaki jijini Dar es salaam! Azam tv tumetekeleza ile kauli mbiu ya burudani kwa wote!    Yap! Kazi Safi! Hii ni moja kati ya kazi nyingi nilizopata kupitia hii blog,ubora wa kazi yangu na uaminifu...
Share:

Jun 19, 2014

AZAM TV BURUDANI KWA WOTE INAPOPATIKANA

 Moja ya kazi safi kati ya nyingi! King'amuzi kinachofanya vizuri nje na ndani ya Tanzania..Kwa Vipindi vya nyumbani, ligi za nyumbani na burdani kibao. Kwa malipo ya mwezi kuanzia 15000 ama kwa wiki kuanzia 5000. Tupo tayari kukuunganisha sasa na kwa wakati.. Unaweza...
Share:

KAMA KAWA KAMA DAWA!

Dish inavyostahili kufungwa,hapa itapita miaka mpaka kuitwa tena! Nishafanya yangu ya kupendeza na kuacha wadau wa Azam tv wakila burudani! +255659161111 Mustapha MaDi...
Share:

Jun 18, 2014

DSTV TANZANIA IMETUPELEKA JANGWANI

...kuna mtu aliwahi kusema watu waishio mabondeni ili waweze kuhama watolewe huduma zote muhimu ikiwemo Umeme.. Leo napata jawabu hapa kwa mfano kama ingelikuwa aliyesema ndiye Meneja wa Tanesco sidhani kama angelisema hivyo.. Kama kweli umeme ungetolewa maana yake hata...
Share:

Jun 13, 2014

BRAZIL YAANZA KWA KUITANDIKA CROATIA 3-1

  YOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao  la...
Share:

Jun 10, 2014

VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Estadio Beira-Rio porto alegre Arena Da Baixada curitiba Arena De Sao Paulo sao paulo Estadio Do Maracana rio de janeiro Estadio Minerao belo horizonte Estadio Nacional brasilia Arena Pantanal cuiaba Arena Fonte Nova salvador Arena Pernambuco recife Estadio Das Dunas natal Estadio Castelao fortaleza Arena...
Share:

TATIZO LA AZAM TV

TUNAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU MLIOUPATA NA MNAOENDELEA KUUPATA... Yapata wiki sasa Decoder za Azam tv zimekauka na huwa tunapata wakati mgumu sana kuwaruhusu wateja wangu kuondoka pasipo kupata walichokitegemea..... TATIZO LIPO NJE YA UWEZO WETU ILA LINAFANYIWA KAZI...
Share:

Jun 8, 2014

ANGALIA WORLD CUP FREE!!

Yap! Pengine unaanza kujiauliza unawezaje!? Je unawaibia DStv!!?? Jibu hapana,bila kumuibia mtu kwa kutumia Dish lako dogo unaweza ukaona mpira buree nyumbani kwako! Hii inahitajika Receiver,Dish KU,Cable,KU lnb baada ya  hapo kabumbu inahamia nyumbani kwako bila malipo...
Share:

Jun 7, 2014

RATIBA ZA MECHI KOMBE LA DUNIA

Kila kona si ya Tanzania pekee ni dunia nzima story ni kombe la dunia hata kama nchi husika haijapeleka timu yao kama  ilivyo sisi Tanzania,bado haitukatazi kuwa na msisimko na kombe hili!Kwanini kutokana na upenzi wa mpira wa miguu kwa ujumla kwa maana hiyo ukiacha burudani kuna kujifunza pia sasa wacha niwape ratiba itakavyokuwa kuanzia tarehe...
Share:

DSTV YA KUCHAKACHUA!

Maswali yamekuwa meengi kuhusu Receiver gani sahihi ya kuweza kupata DSTV ya wizi!! Ijapokuwa Receiver ni nyingi na kila kukicha zinakuja namna za kufanya wizi huu yaani kufungua channels ambazo zinalipiwa kwa kupata kwa gharama ya chini sana ambayo kwa lugha nyepesi ni bure...
Share:

Jun 6, 2014

DSTV TANZANIA OFFER Inafanya vizuri!

Baada ya kukumbuka site nimerejea kama kawa na leo nimeamka na DSTV ikiwa ni OFFER ya Tsh 129000/= Unapata kufungiwa na vifaa vyote isipokuwa inakuwa haina kifurushi cha mwezi! Moja nilifunga kiwanja cha nyumbani Magomeni ila hii Magomeni Makuti! Ya pili nilifunga sehemu...
Share:

FREE CHANNELS KWENYE C BAND

C band kwa signal  Kiukweli kwa kiasi kikubwa watumiaji wa Dish za Local wamepungua sana kutokana na ving'amuzi kumiminika na kuwa bei rahisi! Katika uchunguzi binafsi nimegundua watanzania wengi wanapenda ving'amuzi vya madish na ukweli ni kwamba ving'amuzi vya kutumia...
Share:

Jun 1, 2014

CHANNELS UNAZOWEZA KUONGEZA KWENYE AZAM TV

 Decoder ya Azam tv Channel za Azam tv Dish ya Azam tv ikiwa kwenye signal Swali la wengi ni kwamba je unaweza kuongeza channel kwenye Decoder ya Azam tv na ni zipi!? Hakika unaweza kuongeza na baadhi ya channel ambazo zinapendwa na wengi ambazo unaweza...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413