Call / WhatsApp +255673378129

Aug 22, 2013

TOKA KINYELEZI MPAKA K'KOO!!!

 Hivi ndivyo masaa yanavyokatika tukiwa tunawajibika kama ilivyoada ili mkono uende kinywani!
Kutoka Kinyelezi ilipokuwa Dish ya DSTV na kutakiwa ihamishiwe Kariakoo ili maisha yaendelee kama kawa watu wakila burudani zao wakiwa na tv tuu!!
 
Hapa tayari kwa kufunga Dish!
 
 Imeshika kwa ukuta!
 
 Imetokeza kwa bati

Hapa setting zikiendelea

 Hapa kitu mwake!
Ila katika site ambazo kama si ubunifu wa fundi itakuchukua muda mrefu ama kutokupata signal kabisa hii ni mojawapo site pasua ila kwakuwa ndo hivyo tena Mustapha MaDish nikadish dish hapo kisha nikachukua vyangu nikachapa mwendo kama kawaida!
Share:

Aug 16, 2013

HUYU KATI YA WENGI WALIONIPATA KUPITIA MTANDAO!

+255789476655
Hapa ilikuwa hakuna kitu kinaitwa signal,na sababu kubwa inayofanya natembelea vijumba ama office za watu ikiwa Dish imeshafungwa signal kupotea mi fasta nakurejeshea!!!!
Hapa ni Mwenge,mitaa flani hivi imetuliaaa!!

 Kuonekana imooo!!

 Tayari kwa kuanza kazi

Unga unga ya Mustapha MaDish

 Signal zimeanza kuingia

 Single solution lnb

 Hapa Dish signal za kutosha

 Nikarejesha ndani kila kitu safii!!!
Ila hapa ilinichukua siku mbili coz siku ya kwanza kuangalia kazi na kama kuna cha kuhitajika then nilipokuja kama dish namjua aliyelitengeneza,maelezo niliyotoa ndicho mteja alichoona! 

Share:

Aug 10, 2013

Karibu na ubarozi wa Ufaransa!

+255789476655
Muda ambao vijana wenzangu wanatumia mtandao kupiga soga na kupotoshana mi kwangu ipo tofauti sana tena sana maana kila kukicha naongeza idadi ya marafiki si kupiga piga soga zisizo na maana bali kufanya haya ya kupendeza na hapa nimefika kutokea mtandaoni umenisomaaa!!!!!














Share:

Aug 8, 2013

ALJAZEERA SPORTS

Maswali yamekuwa mengi mkiniuliza mnawezaje kupata Decoder za Aljazeera sports ila jibu huwa nalitoa moja tu kama ilivyo kwa Abudhab Sport pale awali...!!
Hii kampuni haina wakala hapa bongo na kama yupo mi simfahamu maana kila ninyemfungia anakuwa anaagiza mwenyewe ama nafanya muunganiko then nawaacha wakubaliane jinsi ya kuagiza kutoka kwa waarabu!!
Hii pia mwendo ule ule jamaa katoka nayo mwenyewe mimi nilichofanya kutafuta dish inayofaa na kuleta ufundi wangu na mwisho wa siku yakawa yaliyokuwa!!

Hapa naangalia cha kuchukua ili nisababishe!

Hapa nafunga stend baada ya kudril!

Hapa nafunga Dish kwenye stend!

Hapa tayari imekaa still!

 Hapa tayari kwa kuanza kufanya setting!

 Hii ndio Decoder ya Aljazeera Sports

 Hapa vipi!!??
Share:

Jul 30, 2013

Op.MWALIMU JK NYERERE P.SCHOOL

Maeneo ya Mbezi Beach maeneo maeneo hivi yaliyo tulivu sana kwa lugha nyepesi kwa kishua!!
Kuna shule ijulikanayo kama MWALIMU JK NYERERE,sasa mimi nilihitajika kwenye nyumba ambayo inatazamana na hii shule,hapa kilichotakiwa mimi nifanye ni kufunga DSTV EXTRA VIEW....!!
Kama kawa kama dawa nikapewa nafasi nami nikafanya yangu ila hapa ilinichukua siku mbili kutokana na baadhi ya vifaa kutokupatikana kwa siku moja!!
Kwa wale wasiojua DSTV EXTRA VIEW hii ni huduma inayokupa fulsa ya wewe mteja kuview channel mbili tofauti kwa wakati mmoja yaani uwe na tv mbili kila tv inajitegemea kwakuwa utapata decoder mbili ambapo kila decoder inajitegea isipokuwa Dish inakuwa moja na account moja pia!!
Kiufundi zaidi +255 659 161 111
Share:

Jul 28, 2013

ZUKU TV TANZANIA

Offer Tsh 75000/= na mwezi mmoja bure!
Bila ufundi.


Ina zaidi ya channel 100!
Package za zuku:-
Zuku classic Tsh 15,500/= channels 69
Zuku premium Tsh 22,500/= channels 100
Zuku asia Tsh 24,000/= channels 27
Kujua Channels zote zilizo kwenye zuku tv:-

 +255789476655
Mobile: +255659161111 /714973797
Installation ya tv system kwenye Hotel,Apartment,Office.
Share:

Jul 24, 2013

MKOA PWANI WANAPAITA MKULANGA NILIHITAJIKA!!


Hapa banaa ilikuwa nawezaje kufunga dish na nikapeleka tv mbili vyumba tofauti na kila tv inajitegemea kubadili channel aipendayo muhusika anayeangalia tv hiyo!
Mbona si kazi kama mawazo ya wengine yalivy!
Mahitaji Dish husika kwa kuwa waarabu ndio waliohitajika ni c band yaani dish inayoanzia ft6 na kuendelea,lnb c band ambayo ya njia mbili,receiver mbili,cable then niachiwe uwanja nifanye maujanja yangu!!!!
Kufumba na kufumbua Oman tv ikaamia mkulanga!!











Share:

Jul 22, 2013

CHANNEL ZILIZO KWENYE CONTINENTAL DECODER



Channel zinazopatikana katika Decoder ya Continental ni hizi hapa ingawaje hapa sijaorodhesha zote, pindi uhakiki utakapofanyika zote zitaorodheshwa hapa:-

Star e+
Star bun
Star tv
ge
Star Movies+
Morning Star tv
Star Muzik
Afro Culture
ITV
EATV
TBC
Channel 10
Citizen
DW
France24
Clouds tv
VOA tv
BBC World
CCTV 9
CCTV News
NHK
Qtv
Ntv
HOPE
emmanuel tv
Africa tv
Aljazeera
Kidsco, 
TLC (Travel & Living Channel),
Discovery ID,
Discovery Science,
African Movie Channel, 

CCTV4,
Pia unaweza kusoma post hizi..
Share:

Jul 21, 2013

OFFER YA DSTV KWA 149,000/=

Ni kawaida kila ikikaribia msimu wa kandanda ama kukiwa na sikukuu DSTV hutoa OFFER kwa wateja wake ambao wanahitaji kujiunga na huduma zao!!
Now ndo muda umewadia kwa wale wote ambao wanataka kujiunga na DSTV na walikuwa wanangoja time hii ya offer imewadia wale mabingwa wa maswali jibu ndo hili kuhusu urahisi wa kujiunga na DSTV!
Wala usipate tabu unaweza wasiliana nami na nikafanya ukawa mwanafamilia wa dstv kwa 149,000/= vifaa vyote kisha unachagua package uipendayo ili ufurahie maisha!!
Na kwa wale wateja wa zamani kama dish yako inasumbua ama unataka kuhama usisite kupiga 
+255 659 161 111
+255 714 973 797
Share:

Jul 20, 2013

EMANUEL TV IMENIPELEKA KUNDUCHI 170



Jumapili tulivu hali ya hewa ikiwa haieleweki mara jua mara kiwingu na manyunyu yakichukua nafasi!
Panaitwa Kunduchi ila wenyeji wanapaita Kunduchi 170,hapa ilikuwa wanaona DSTV awali ila kutokana na maamuzi yao wakataka DSTV igeuke na kuwa Emanuel tv nami nikaona hakuna ubaya ila tu niliwaeleza ya kuwa ili waone Emanuel tv lazima wawe na Receiver isipokuwa dish zinaingiliana!
Uzuri Receiver walikuwa nayo hivyo haikuwa issue kazi ikaanza kipindi cha kufanya fanya setting kimefika tatizo likawa remote,receiver bana haikuwa na remote dah sasa itakuwaje!?
Ikanilazimu nimuagize mtu aniletee receiver ili nifanye setting zangu kipindi ambacho remote ya receiver husika ikitafutwa!
Baada ya muda mambo yakawa mambo imenuel tv ikaamia Kunduchi!!

Hapa ikiwa badi DSTV

 Hapa ndio bomoa bomoa!
Hapa Emanuel tv imepatikana!

Ndo hivyo tena!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita