Call / WhatsApp +255673378129

Oct 1, 2014

DSTV TANZANIA YATOA OFFER TSH 99000/=

 




Kwa wateja wapya hii ni habari njema kwako,ambapo sasa unaweza kuunganishwa kwa tsh 99000 tu!
Hii inaanza leo tarehe 1/10/2014 mpaka kuisha kwa strock ya offer!
Kukurahisishia unaweza ukalipia gharama ya usafiri kutokana na umbali uliopo kisha huma ikakufata ulipo!
Ili upate huduma hii piga +255789476655
mustaphamadish@gmail.com

Share:

KIFURUSHI CHA ZUKU POA | ZUKU POA PACKAGE | TSH 13,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku poa:-
Kuna jumla ya channel 53
Zuku Zone
Guest Channel
Citizen
KTN
NTV
K24
Kiss (KE)
EBRU
QTV
Kass tv
UBC
3Stone tv
NBS Uganda
Channel 10
TBC1
Clouds tv
WBS
ITV
MBC tv
Njata tv
Wholesome tv
Zuku Entertainment
EATV
Zuku Max
Zuku Action
Zuku Swahili Movies
AMC Series
Zuku Sports
Zuku Life
BBC World News
Al jazeera (English)
i24 English
TVC News
DW-tv
France 24 (English)
CCTV News
Zuku Kids
Smile of a Child
i24 French
Vox Africa
Dubai tv
Abu Dhabi tv
Hope tv
Emanuel tv
EWTN
God tv
Family tv
Inspiration tv
Ahlulbayt tv
Peace tv
Safeer tv
Hope Intarnational
Al-erth Alnabawi

KWA HUDUMA | USHAURI | MAFUNDI | PIGA +255789476655
Share:

Sep 15, 2014

DECODER YA CONTINENTAL


Niwe mkweli kwakuwa mimi napenda kwanza muonekano mzuri wa picha hivyo inapozungumziwa HD iwe HD kweli na kama hata isiwe HD lakini muonekano wa picha uwe mzuri, king'amuzi hichi ni moja kati ya ving'amuzi vyenye muonekano wa picha mzuri sana kwa zile channel zote zinazomilikiwa na Continental.
Huu ni mwaka 2018 bei kwa sasa ni Tsh ... kwa Decoder ya Antenna na Tsh ....  kwa Decoder ya Dish ikiwa set imekamilika, hapa nikiwa na maana inakuwa na Dish, Decoder, Cable, LNB
Ufundi ni Tsh 30,000/= kwa king'amuzi cha Dish
Share:

Sep 9, 2014

HII NDIO NYUMBA YA VING'AMUZI

Mwaka 2014 ndio huu unaelekea ukingoni ambapo mwakani mwaka 2015 inatupasa nchi nzima tuwe tumeshahamia Digital huku tukiwa tumeondokana kabisa na Analogue!
Ijapokuwa kuigia Digital kulikuwa na misemo mingi,wapo waliunga mkono ambapo idadi kubwa walilalama huku kila mtu akiwa na sababu yake ila wengi wao wakilalamikia uchumi!
Ingawaje malalamiko yalikuwa meengi ila udigital tumeingia na faida zake zinaanza kuonekana.
Kuna kampuni nyingi za ving'amuzi na kwa ujumla zote zinafanya vizuri haina ubishi kuwa kila kampuni ina wapenzi wake kutokana na huduma na channel husika|
Hii Blog ipo toka hapa Tanzania kuna kampuni tatu tu za ving'amuzi DSTV,GTV na EASY TV ijapokuwa mmiliki mwenyewe ambaye ni Mustapha E.Hanya a.k.a Mustapha MaDish yupo toka enzi ya DSTV tu.
Ukomavu wangu kwenye ukanda huu umenifanya niwe msaada mkubwa kwa watanzania na wasio watanzania kwa kuwahudumia kwa mkono wangu ama kwa ushauri tu.
Nipo sahihi sana nikisema kuwa hii ndio nyumba ya ving'amuzi kwakuwa leta kesi ya king'amuzi chochote ikishindikana kwenye mikono yangu ni hakika umefail jumla.
Binafsi najisikia faraja sana kuona mimi nakuwa msaada kwa wengine,kuona wengine wanaendesha maisha yao kupitia mimi,kuona watu wanatamani kuwa kama mimi..
Sina ambacho naweza sema zaidi ya Ahsante Allah kwa kila hatua nipigayo..
Nafikiria kufanya bora zaidi..zaidi ya hili ambalo naliendeleza kwa lengo lile lile kuendesha maisha huku kuwafunua upeo wengine hasa vijana wenzangu..
kama nilikuwa mwanga kuwa mtanzania wa kwanza kufungua Blogsite inayohusu hii taaluma na ikawa ya kwanza kwa Africa mashariki na kati ni hakika nimechonga barabara wacha wengine wapite kiulaini lakini watakuwa wananishukuru si tu kwa kunifuata hata wakiwa peke yao ndani ya nafsi zao watanishukuru kama si kunizungumzia..
Ili ufikie mafanikio lazima ukumbane na changamoto na ndicho kinachotokea..
Nipo kwa ajili ya kuwahudumia watanzania na wasio watanzania,waishio Tanzania na nje ya Tanzania pia..
Niulize leo chochote kuhusu king'amuzi chochote Tanzania..
DSTV
AZAM TV
ZUKU TV
DIGITEK
TING
STARTIMES
CONTINENTAL
EASY TV
Kwa swali lolote liwe la kiufundi ama huduma kwa ujumla!
Kutaka kuunganishwa pia!
Unaweza wasiliana nami:
Kama upo facebook utafanya busara kama utalike page ya mustaphamadish
+255789476655/714973797
mustaphamadish@gmail.com

 
Share:

Aug 31, 2014

LINAPOKUJA SWALA LA MVUA!


Pichani ni dish ya Azam tv huku mvua ikiwa inachapa vilivyo...
maana yake ni kwamba ndani hapo picha imepotea...
Kinachotokea kwa Azam tv hata DSTV kinatokea..
Linapokuja swala la mvua Dish ndogo huwa zinaelemewa...
Hivyo kinachotakiwa ni uvumilivu wa muda mchache na mara mvua inapokata picha zinarudi kama kawaida..
Na ikitokea mvua imeisha na picha haijarudi ujue kuna namna..
Hapo ndipo utajua fundi wako alifanya kazi kwa kiwango gani...!!??
Tatizo lolote la kiufundi..
Msaada kuhusu chochote kinachohusu maDish..
Piga +255789476655 Mustapha MaDish
Share:

ZUKU SMART PLUS PACKAGE | TSH 13,000



Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku Smart Plus:-
Kuna jumla ya channel 40 tv
Channel 18 radio


Channel zilizopo punde ntawajuza....!!

 Msaada zaidi +255789476655
Share:

Aug 1, 2014

BEI MPYA YA AZAM TV


Kutokana na sababu za kiuendeshaji imelazimika yatokee mabadiliko katika kuuza king'amuzi cha Azam tv.
Bei mpya ya Azam tv toka leo Tarehe 1/08/2014 ni Tsh 165000/=
Inajumuisha vifaa na Ufundi.
Malipo ya mwezi ni ile ile Tsh 12500/=
Ukilipa Tsh 177500/= unapata kufungiwa kila ktu na mwezi mmoja bure,hivyo utapata miezi miwili. 



Kwa maelezo zaidi Piga : Mobile +255789476655/714973797/659161111 Mustapha MaDish
Office: +255789 476655

Jivunie kuhudumiwa nasi!
Share:

Jul 9, 2014

BVN CHANNEL - OYSTERBAY DAR ES SALAAM


Nakumbuka mwaka 2008 niliwahi kupata mteja wa channel hii,tena ilikuwa baada ya mafundi kadhaa kuambulia patupu ikiwa wameshapoteza siku kama si masaa!!
Kipindi hicho niliweza kufanikiwa kuipata kwenye Dish ya ft8,nikimaanisha c band!
Oysterbay jijini dar,wenzangu na mie wanapaita pa kishua ila sina sababu ya kubisha!
Hakuna tofauti na mteja wangu yulee wa miaka ile,kwa maana wote wametokea taifa hilo na walihitaji channel ya nchini mwao!

Kwenye KU ft4 na Receiver ya kawaida tu,Mustapha MaDish nikaileta Netherland Tanzania kwa dk zisizozidi 45,baada ya hapo kuchapa mwendo kukahusika!


Kwa mahitaji ya Mafundi/Ving'amuzi vinatumia Dish aina zote hapa ndipo jibu lako!
Piga:-0789476655/0732575718/0859161111
Email:mustaphamadish@gmail.com
Mahali:Magomeni Mapipa/Morogoro rd 

Share:

Jul 8, 2014

NILIYONAYO KWAKO...

 Baba na Mwana
Nawasikitikia sana wale wanaopiga mechi za kikubwa kisha wanakimbiana,sababu zikiwa nyingi zisizo hesabika huku mwanamke akibaki mjamzito,ujauzito ambao mwisho wake unakuwa sio mzuri sana kwa maana wapo ambao wanaamua kutoa..hapa kwenye kutoa wapo waliofanikiwa kuchota dhambi kwa wingi na wapo waliopoteza maisha wakiwa katika kutimiza hilo!
Pia wapo waliamua kwa dhati kujifungua huku akijua yeye ndiye atakayekuwa baba na yeye ndiye atakayekuwa mama..
Kwa hili wapo waliofanikiwa wachache sana ila wengi wamefail kwa kukimbilia kutoa ama kuzaa na kushindwa kumuangalia mtoto kwakuwa yupo pekee yake..
Matokeo yake idadi ya watoto wa mitaani inaongezeka...
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa angalizo wanawake na waschana wote kwa ujumla Mwanaume,
mimi ikiwa mmojawapo niliyeandika post hii,tuna salio la uongo la kutosha lisilopungua kukudanganya wewe ili tu niingie panapofanya wewe ukaitwa mwanamke..
Bahati mbaya hata muambiwe vipi uelewa wenu wengi wenu ni tatizo,tena tatizo kuwa..
Ila alau hata kwa mwezi mara tatu ama mbili si vibaya tukazungumza alau kukumbushana tu kwa yale machache niliyonayo kwenu wapendwa!
Share:

Jul 7, 2014

C BAND FT12 - ADA ESTATE

Sababu iliyonileta hapa

  Baba yake na Fetty

Moja kati ya wanafunzi wangu wa kwanza kwanza kuwapa ujuzi huu ni huyu ambaye anaitwa Dullah kwa sasa amekula ajira pale Multichoice Tanzania ( DSTV ).
Kutoka ku moyo najisikia faraja sana kuona nasababisha mtu au watu fulani hasa vijana wenzangu kupiga hatua moja juu ikiwa kwenye kutengeneza maisha yake na familia yake kwa ujumla!
Nashukuru hakuna aliyenisahau ijapokuwa si wote kati ya wanafunzi wang ambao tunawasiliana mara kwa mara,najua ubize unaweza ukawa umechukua nafasi yake ama mambo ya hapa na pale.
Kwanini nimemzungumzia Dullah kwasababu hii kazi ya leo ilikuwa yake,mteja alimpigia mara kadhaa kwa siku tatu lakini muda wa Dullah ulikuwa mdogo hivyo kutokana na ushirika mzuri ndipo akaileta mezani kwangu ili tumalize tatizo la huyu mteja!
C band hii si ile iliyozoeleka na mafundi wengi ft6 ama ft8 hii ni ft12.
Nami nilienda nikijua ni ft6 kama ambavyo Dullah alidhani,hata spana ilinilazimu kurudi tena ofisini kuchukua kwa maana zile nilizobeba hazikuwa na uwezo wowote wa c kufungua hata kufunga tu.
Hapa angeenda ndugu yangu lazima angehitaji twende sote kwa maana Dish hizi zinahitaji uwezo wa ziada!
Kwanini naitwa MUSTAPHA MADISH ndipo nikadumisha umwamba wangu kisha tukachapa mwendo!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita