Call / WhatsApp +255673378129

Jun 1, 2014

CHANNELS UNAZOWEZA KUONGEZA KWENYE AZAM TV

 Decoder ya Azam tv



Channel za Azam tv

Dish ya Azam tv ikiwa kwenye signal

Swali la wengi ni kwamba je unaweza kuongeza channel kwenye Decoder ya Azam tv na ni zipi!?
Hakika unaweza kuongeza na baadhi ya channel ambazo zinapendwa na wengi ambazo unaweza kuongeza ni African tv swahili ya sudan,RTS na nyenginezo..
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana nasi kwa kuja ofisini ama piga simu 
no.0789476655/659161111-Mustapha MaDish.

Share:

May 31, 2014

DSTV - KINONDONI MANYANYA



Offer inaendelea  kufanya vema ukizingatia kombe la dunia ndo habari ya mjini kwa sasa!
Wadau wanataka brazil kuihamishia majumbani mwamo na hii ndo sababu ya kutufanya tuipeleke DSTV kinondoni manyanya!
Mustapha MaDish nikagonga sign yangu na kisha nikachapa mwendo!
PIGA NAMBA HII KUPATA DSTV +255789476655
Share:

May 28, 2014

PSPF - INSTALLATION YA DSTV





Mjengoni.

 Mlango mkuu wa kuingilia
Kuna mdau aliwahi kuniambia ndio jengo refu kupita yote dar es salaam,
linaitwa Golden Jubilee Tower lipo maeneo ya posta!
Binafsi ambacho naweza kusema ni refu kweli maana ukikaa juu ni balaa!!
Hapa ndipo zilipo office za PSPF - Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa umma.

Huduma yangu iliyohitajika hapa ni kuwezesha wadau kuona kila kinachoendelea kwenye DSTV.
Kwa bosi na Customer Care nami na team yangu kazi kazini!












 Flavian - Mtaalam Mwenyewe









Mustapha MaDish kama kawa!
Kazi ilichukua siku mbili hatimae tukamaliza!
+255789476655 NAWE UPATE KILICHO BORA
Share:

May 1, 2014

TUNAWATAKIA MEI MOSI NJEMA

Baadhi ya team kazi tayari kwa kukuhudumia
Lengo ni kukupa kilicho bora kwa wakati na kwa mifano iliyo hai!
Je umependa huduma zetu muda huu wa sikukuu kama signal haiko poa ni rahishi sana,unachopaswa kufanya ni kuchukua simu yako na kupiga no.+255789476655 utaeleza shida yako kisha huduma itakufata ulipo bila ya wewe kuinua mguu wako!
Kuhusu king'amuzi chochote hapa tanzania.
Share:

Apr 25, 2014

NDANI YA NAPOLI LODGE

 Mustapha MaDish mzigoni!!







Je unamiliki Lodge/Hotel na ungependa kupata channels kwa tv zako zote zilizopo kwa channel safi na zile zinazopendwa!!? Unachopaswa kufanya ni kuchukua simu yako na kubofya no.+255789476655/714973797/659161111 Ongea na Mustapha MaDish shida yako itakuwa imemalizwa!
Share:

Apr 24, 2014

DSTV OFFER!!

Kwa Tsh 129,000/=
Technical Director mzigoni!

Unapata Dish,Decoder,LNB,Cable mt 20 na Ufungaji!
Baada ya hapo unachagua kifurushi ukipendacho kati ya vifuatavyo:-
ACCESS TSH 16500/=
FAMILY TSH 33,000/=
COMPACT TSH 56,000/=
COMPACT PLUS TSH 88,000/=
PREMIUM TSH 138,000/=
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA +255789476655
Share:

CHANNEL ZISIZOONYESHA KWENYE AZAM TV

KUHUSU AZAM TV


Wadau,
Tunapokea malalamiko kutoka kwenu kuwa chanel za ZBC,K24 na NTV zinaandika ACCESS DENIED.
Kuhusu channel hizi za Kenya yaani K24 na NTV,hazitoweza tena kupatikana ndani ya Azam TV kwani tumepaswa kuziondoa kutokana na kutokuwa na haki za kuendelea kuzirusha nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Wahusika wa hizo chanel,wametutaka tuzitoe na hazipaswi kuoneshwa nje ya mipaka ya Kenya...poleni kwa usumbufu wowote mliyoupata na utakaojitokeza.
Kuhusu ZBC sasa imerudi hewani lilikuwa ni tatizo la kiufundi tu lakini sasa limeshashughulikiwa na inaruka kama kawaida.
Azam TV Burudani kwa Wote.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NO.+255789476655
Share:

Apr 23, 2014

NAENDELEA KUWAJUZA WATAALAMU WANGU...

Omary a.k.a smalling tayari anajulikana ila kwa mkono wangu wa kulia nawajuza ambaye hamkuwahi kumuona ama mlimuona ila sikuwa nimemleta rasmi kwenu anaitwa Rashidy a.k.a Mkenya..!!

Kushoto ni Omary,katikati hana jina na upande wa kulia ni Rahidy.
Share:

Apr 22, 2014

TUNACHOJIVUNIA KWENU.......!!


...kutokana naukweli kwamba siwezi kufanya kila kitu mwenyewe lazima kuwe kuna mgawanyiko wa kazi ili mambo yaende kwa wakati na kwa ubora stahiki ndo sababu ya kuwa na team!
Team Kazi,Mustapha MaDish Crew unaweza kutuita Rangers tuna kila sababu ya kujivunia kufanya vizuri kwa vitendo na sifa za wateja zinathibitisha hili!
Naomba mnielewe wadau wangu ukihudumiwa na fundi yeyote ama mtu yeyote kutokea kwangu jua huduma utakayopata ni bora kama ambavyo ungehudumiwa na mimi kwakuwa wote ni matunda yangu na ikitokea hukufurahishwa na huduma uliyoipata toka kwetu unaweza wasiliana nami moja kwa moja kupitia:- +255659161111/714973797/,email:mustaphamadish@gmail.com,Face book:https://www.facebook.com/madishmaidsh.
Nipo na Team Kazi ya kutosha kila siku ntakuwa nawaletea ili wote wafahamike!
Siku hizi mara nyingi nipo ofisini mara chache sana naenda site,tena huwa naenda ikiwa Rangers Team si kama wameshindwa ila tu kuna kajiusumbufu cha signal/location ndo huwa naenda pitisha mkono wangu kutimiza lengo!
Ila wakati mwengine nakuwa namiss site hivyo naamsha mwanzo mwisho kama ilivyokuwa kuelekea pasaka na pasaka yenyewe 7bu vijana wangu walikuwa wanakula sikukuu...!!
 Hawa ni baadhi na wengine tuwe pamoja mtawajua wataalamu wangu wote!

 Anaitwa Hery a.k.a Dume la Mamba

 Anaitwa Flavian a.k.a


Huyu anaitwa Omary a.k.a Smalling!!


IKUMBUKWE KUWA SISI NI WAKALA WA DSTV,AZAM TV,ZUKU TV NA VING'AMUZI VYOTE UNAVYOVIJUA WEWE PIA TUNAUZA NA KUFUNGA DISH ANTENNA AINA ZOTE KWENYE HOTEL,APARTMENT,OFFICE NA MAJUMBANI!
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA +255789476655/714973797/659161111

Share:

Apr 19, 2014

MOJA KATI YA SEMINA MAKAO MAKUU AZAM TV

Ni kawaida kila baada ya muda fulani tunakutana makao makuu na kujadili biashara kwa ujumla inaendaje,nini kipya na wateja mnahitaji nini kwa ujumla ili muendelee kufurahia burudani kwa wote!

Mustapha MaDish
Share:

Apr 3, 2014

AZAM TV HUDUMA KWA WATEJA/MSAADA KIUFUNDI

Kila alipaye pesa yake ama anayetaka kulipa anategemea kupata huduma bora na kwa wakati
hilo tumelijua vyema na ndo maana tupo hapa kukuhudumia!
Mteja kwetu ni mtu muhimu sana hivyo macho yetu mawili ni kwako unayetaka kuhudumiwa nasi!


PIGA SIMU NAMBA +255789476655/714973797/659161111 KWA MSAADA ZAIDI.
Share:

Apr 2, 2014

AZAM TV BURUDANI KWA WOTE LIVE!!


Leo usiku saa tatu na dakika arobaini na tano 3:45 kupitia chanel ya NBS utaweza kuangalia mechi ya  Real Madrid Vs Dotmund.










Azam TV Burudani Kwa Wote.
Share:

Mar 30, 2014

DSTV COMPACT PACKAGE | CHANNELS 85+ | TSH 69,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Compact

FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 9
SuperSport 9 East
SuperSport HD 11
SuperSport HD 12


SINEMA

Movie Zone
VUZU
Universal Channel
True Movies
Studio Universal HD
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Africa Magic Urban
Maisha Magic BONGO
M-Net Movies All Stars
M-Net City
M-Net Family
M-Net Movie Action
Africa Magic Family
 


BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E
Sony Entertainment
Sony Max
BBC Brit
FOX
BET
MTV
Ebony Life Tv
EVA


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News
CCTV News
CNN Intarnational
SKY News


 MAKALA

National Geo Wild
Discovery Family
ED
Spice Tv
National Geo
Discover IDX
Trace Sports


MAISHA

Fashion One
Discover TLC
BBC Lifestyle
Food Network


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city
AFRO Music English
Trace Music

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
Disney Channel
Disney XD
Cbeebies
Nickjr
Nick Toons
JimJam
Mindset Learn
Boomerang
Cartoon Network


KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi  Piga +255789476655
Share:

DSTV WAKONGWE WA DIGITAL....!!

Mazuri yanayoendelea mwezi huu wa nne!
Ikumbukwe kwamba kandanda ndio nyumbani na kwa uchache ratiba ni kama ifuatavyo!


KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA +255789476655/714973797/659161111
Share:

Mar 15, 2014

ZILIANZA CHANNELS 52...


Naizungumzia Azam tv "Burudani kwa wote"
Awali zilianza channels 52 huku ahadi ikiwa zitakuwa zinaongezeka kila baada ya muda,wapo ambao waliamini na wapo waliodhani ni katika kutaka kuuza tu!
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??
Share:

Mar 13, 2014

RECEIVER KWA TSH 60,000/=

 Gulf Star GS-8100







Share:

Mar 1, 2014

KUTANA NA MAFUNDI WASAFI HUDUMA SAFI

 Mustapha Madish

 Mustapha MaDish na Herry Msamila

 Ba'Fetty
Hii ni kwa nchi yetu tu na baadhi ya nchi za Africa Imezoeleka kuwa yeyote aitwae fundi bila kujali wa nini kinachofuata ni dharau na mtu anakujengea picha lazima utakuwa mchafu!
Naongea na wateja wengi sana kwa simu bila kuonana ila siku tunapokuja onana ama kumkaribisha kwa office na kuona crew ya Rangers anasema kakutana na kitu tofauti ambacho hakuwa amekiwazia apatapo huduma ndo inakuwa tumemaliza kiu ya muda mrefu!
Kiukweli hatukuwahi kupata lawama kubwa kubwa ijapokuwa kuna lawama ndogo ndogo na kwetu ni changamoto na huwa tunamaliza tatizo kwa wakati!
Tunapata lawama kutokana na ukweli kwamba wateja wetu wanatofautiana kwa ujumla kuna waelewa na kuna wale pasua tena pasua ile yenyewe kabisa kwa maana inapelekea mpaka unajuta kumuhudumia ila kwakuwa ndo kazi tunajitahidi kutekeleza huduma iliyotakiwa na mteja husika ijapokuwa wanapenda kukimbilia kwenye lawama!
+255789476655
Share:

Feb 28, 2014

HATIMAE ITV NA EATV KWENYE AZAM TV

Leo ilikuwa ahadi kwamba kuna kitu kipya wadau wa azam tv wakae tayari kukipokea na watafurahia na ndicho kilichotokea!!
Baada ya ngoja ya muda mrefu yametimia!




Mengine yatafuata kama tulivyowaahidi!

Share:

BEI ZA VING'AMUZI VINAVYOFANYA VIZURI!

Kiukweli king'amuzi chenye wateja wengi kwa hapa kwetu Tanzania ni DSTV ukiachilia ukongwe walionao pia vipindi vyao ndo sababu kuu ya kuuza na kama ulikuwa hujui matokeo ya wadau yanaonyesha mpira ndio unauza sana!!
Bei ya DSTV kwa sasa ni 149000/=

King'amuzi ambacho kinauzika zaidi kwa sasa ni Azam tv mpaka sasa ninapoiweka post hii hakuna king'amuzi cha kulinganisha na Azam tv zaidi ya DSTV maana ndipo Azam tv inapoelekea.
Kwa office ninauza ving'amuzi karibia vyote ila kwa siku nauza Azam tv kuanzia 5 mpaka 15 kwa sasa ila kipindi inaanza tulikuwa tunauza kuanzia 17 mpaka 22 hii inaonyesha ni jinsi gani wadau wamepokea vema hii Azam tv!
Bei ya Azam tv ilikuwa tsh 147500/= ikiwa na mwezi mmoja ndani,lakini kwa sasa imepanda na imekuwa ni tsh 165000/=
Katika kununuliwa kinanunuliwa sana kuliko ving'amuzi vyote,nimejaribu kuagalia kwa haraka haraka ni kwasababu ni kipya ama ila ukiangalia zaidi ni kutokana na channels zilizopo na unafuu wa bei hasa malipo ya mwezi ambayo ni tsh 12500/=


King'amuzi cha Zuku kilikuwa na offer ya tsh 75000/= ambapo sasa imepanda na kuwa tsh 105000/= full installation lakini pia ununuzi wake si mzuri sana ijapokuwa inanunuliwa!

DIGITEK tsh 120000/=
STARTIMES
YA ANTENNA tsh 79000/=
YA DISH tsh 105000/=

............... Maelezo zaidi
Mobile: +255714973797/659161111
Office: +255789476655
Email:mustaphamadish@gmail.com
Share:

Feb 27, 2014

LOCAL CHANNEL ZA BURE

 Kiukweli muda kidogo sijafanya kazi za local channel,si mpya wala ya kuirudi ya zamani kuwa mpya kutokana na ukweli kwamba ving'amuzi vimekuwa vingi na wadau wengi nawauzia vya malipo ya mwezi tu!
Ila leo imenirejesha kuleee ambapo ilikuwa kwa siku nafunga dish mbili mpaka 3 zikiwa mchanganyika mpya na zile za kuzirejesha kuwa mpya!
Leo nimeamka na Dish la channels za Tanzania za bure na si za Tanzania tu hata za nje zote zikiwa za bure,nikimaanisha hazina malipo ya mwezi!
Jamaa yeye hakutaka Azamtv,wala DSTV,wala Zuku tv,hata startimes kifupi king'amuzi chochote cha kulipia yeye kajichanga na kutaka hili la futi 6!
Ukizingatia ni kazi yetu tukafanya yetu kama kawa then tukachapa mwendo huku tukiacha zile za Mengi ITV,CAPITAL,EATV zikiwemo,CHANNEL 10 nayo,kuna tv ya taifa TBC1,pia wale ndugu zangu wa mwanza STAR TV kwa upande wa tanzania na channels nyingi za nje.                                                           
Share:

Jan 30, 2014

AZAM TV UNAWEZA KUONA TV ZAIDI YA 1!!


Swali ambalo wengi wamekuwa wakiniuliza lakini jibu huwa nawaambia unaweza kuona kwa tv moja tu na ndivyo ilivyotengenezwa ila kwakuwa uwanja ni wetu hakuna linaloshindikana!!
Yap unaweza kutumia Decoder ya Azam tv moja ukaona tv zaidi ya 10 na zote zikiwa saaafi isipokuwa ukibadili zote zinabadilika!
Unawezaje kupata huduma hii!!??
+255789476655/659161111
mustaphamadish@gmail.com
Morogoro rd,Magomeni Mapipa
Yote kuhusu ving'amuzi check nasi!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita