Call / WhatsApp +255673378129

Dec 1, 2016

KING'AMUZI NI NINI..??

Swali ambalo pengine hata wewe unajiuliza!
King'amuzi ni nini!?
- King;amuzi ni kifaa kinachotumika kupokea matangazo yanayorushwa kwa mfumo wa Digital ili yaonekane na kusikika hata kwenye tv za Analogue

Zingatia:Kuna king'amuzi kinachotumia Antenna na King'amuzi kinachotumia Dish.
*Kuna aina mbili za Ving'amuzi
> King'amuzi cha kulipia ( Decoder )
> King'amuzi cha bure ( Receiver )
  1- King'amuzi cha kulipia ni vile ving'amuzi ambavyo ili uweze kuona channel ni lazima ufanye malizo kwa lugha nyepesi ni vile ving'amuzi vyote ambavyo vinamilikiwa na kampuni maalum,mara nyingi hutumia smart card na ikiwa havina smart card vina software maalum inayopelekea channel kuwa na ulinzi maalum kwa kutomruhusu mtu kutumia bila malipo vinginevyo upite uchakachuaji!
Mfano wa Ving'amuzi vya kulipia
> Azam tv
> DStv
> Continental
> StarTimes
> Zuku tv

2 - King'amuzi cha bure ni vile  ambavyo unaweza ukaona channel bila kufanya malipo ya mwezi ( FTA )!
King'amuzi hiki kinapokea zile channel za bure tu kwakuwa kwa upande wa Satellite kuna channel za bure nyingi sana ni namna utakavyopata size ya dish na Satellite husika!

Facebook@MustaphaMaDish
Instagram@MustaphaMaDish
Cell:+255789476655

Share:

1 Unasemaje..??:

Arashid Ahmed said...

ahsanteni sana nilikuwa sijui hizi taarifa kwa tafsiri kama hizi ila ninaswali moja je naweza kutumia (FTA) cheneli za bure kwenye smartphone

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita