Call / WhatsApp +255673378129

Nov 30, 2013

AZAMTV | BURUANI KWA WOTE | AZAM TV


 BURUDANI KWA WOTE!!!
Azam Tv ni mtoa huduma ya kidigital kupitia Satellite,ina burudani yenye ubora wa hali ya juu kwa familia na kwa bei nafuu,makao makuu ya Azam tv yapo Dar es salaam Tanzania.Azam tv ilianzishwa mwaka 2013,ina nia ya kujipanua zaidi katika nchi nyengine za Africa siku za usoni.
Azam tv inamiliki vipindi channel zipatazo tatu,nazo ni:-
  1. Azam One
  2. Azam Two
  3. Sinema Zetu


HUDUMA ZA AZAM TV
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita