Njiani kuelekea .......................!!!
Kuelekea funga mwaka kwetu ni mbio tu!!
Leo kazi ya kwanza tumeamkia mkoa Pwani wanapaita Mkulanga,hii mimi ni mara ya pili narejea kufunga Dish ila safari hii Azam tv ikiwa ndo imenirejesha nikiwa na mtaalamu mwenyewe Herman!!
Kuelekea funga mwaka kwetu ni mbio tu!!
Leo kazi ya kwanza tumeamkia mkoa Pwani wanapaita Mkulanga,hii mimi ni mara ya pili narejea kufunga Dish ila safari hii Azam tv ikiwa ndo imenirejesha nikiwa na mtaalamu mwenyewe Herman!!
Kiukweli haikuwa tabu na mara nyingi ndivyo inavyokuwa,site ambazo nje ya mji ama mikoani tofauti na Dar es salaam ukifunga Dish katika pisition husika haisumbui kupata signal ila katikati ya jiji ukifunga dish kama si mzoefu lazima itakutafuna!
Hapa Mkulanga ni karibu kabisa na shule ya msingi ya mkulanga,tulitumia saa 1 tu kufunga azam tv na kugeuza mkoa wetu wenye kila aina ya majambo!
Ilikuwa tuingie pale Mbagala ila kwa bahati mbaya mteja wetu wa azam tv alisema anaenda kuangalia mpira hivyo tufanye kesho!
Ratiba haikuishia hapo tukapandisha mpaka mbezi kwa Msuguli hapa tukafanya ya kupendeza then tukachapa mwendo mpaka Mbezi Maramba mawili azam tv ikiwa inaonyesha kuwa watanzania wameielewa!
Ratiba haikuishia hapo tukapandisha mpaka mbezi kwa Msuguli hapa tukafanya ya kupendeza then tukachapa mwendo mpaka Mbezi Maramba mawili azam tv ikiwa inaonyesha kuwa watanzania wameielewa!
Baada kuuza kama kawa ratiba ilisema twende kunduchi mtongani lakini kutokana na muda hatuna budi kukubaliana na mipango ya Mungu,hivyo wajibu wetu kupumzika na Inshallah kesho ratiba itaendelea tukianza na vilivyolala!!!
Niwatakie maandalizi mema ya X mass na mwaka mpya wadau huku nikiwashukuru kwa kila hatua ambayo tulikuwa sambamba zaidi ya yote usisahau kuwa hii ni nyumba ya ving'amuzi!
Uliza,Sema,Nunua ama chochote kuhusu kinga'amuzi chochote ukijuacho ama unachokisikia!
Uliza,Sema,Nunua ama chochote kuhusu kinga'amuzi chochote ukijuacho ama unachokisikia!