Call / WhatsApp +255673378129

Feb 28, 2014

HATIMAE ITV NA EATV KWENYE AZAM TV

Leo ilikuwa ahadi kwamba kuna kitu kipya wadau wa azam tv wakae tayari kukipokea na watafurahia na ndicho kilichotokea!!
Baada ya ngoja ya muda mrefu yametimia!




Mengine yatafuata kama tulivyowaahidi!

Share:

BEI ZA VING'AMUZI VINAVYOFANYA VIZURI!

Kiukweli king'amuzi chenye wateja wengi kwa hapa kwetu Tanzania ni DSTV ukiachilia ukongwe walionao pia vipindi vyao ndo sababu kuu ya kuuza na kama ulikuwa hujui matokeo ya wadau yanaonyesha mpira ndio unauza sana!!
Bei ya DSTV kwa sasa ni 149000/=

King'amuzi ambacho kinauzika zaidi kwa sasa ni Azam tv mpaka sasa ninapoiweka post hii hakuna king'amuzi cha kulinganisha na Azam tv zaidi ya DSTV maana ndipo Azam tv inapoelekea.
Kwa office ninauza ving'amuzi karibia vyote ila kwa siku nauza Azam tv kuanzia 5 mpaka 15 kwa sasa ila kipindi inaanza tulikuwa tunauza kuanzia 17 mpaka 22 hii inaonyesha ni jinsi gani wadau wamepokea vema hii Azam tv!
Bei ya Azam tv ilikuwa tsh 147500/= ikiwa na mwezi mmoja ndani,lakini kwa sasa imepanda na imekuwa ni tsh 165000/=
Katika kununuliwa kinanunuliwa sana kuliko ving'amuzi vyote,nimejaribu kuagalia kwa haraka haraka ni kwasababu ni kipya ama ila ukiangalia zaidi ni kutokana na channels zilizopo na unafuu wa bei hasa malipo ya mwezi ambayo ni tsh 12500/=


King'amuzi cha Zuku kilikuwa na offer ya tsh 75000/= ambapo sasa imepanda na kuwa tsh 105000/= full installation lakini pia ununuzi wake si mzuri sana ijapokuwa inanunuliwa!

DIGITEK tsh 120000/=
STARTIMES
YA ANTENNA tsh 79000/=
YA DISH tsh 105000/=

............... Maelezo zaidi
Mobile: +255714973797/659161111
Office: +255789476655
Email:mustaphamadish@gmail.com
Share:

Feb 27, 2014

LOCAL CHANNEL ZA BURE

 Kiukweli muda kidogo sijafanya kazi za local channel,si mpya wala ya kuirudi ya zamani kuwa mpya kutokana na ukweli kwamba ving'amuzi vimekuwa vingi na wadau wengi nawauzia vya malipo ya mwezi tu!
Ila leo imenirejesha kuleee ambapo ilikuwa kwa siku nafunga dish mbili mpaka 3 zikiwa mchanganyika mpya na zile za kuzirejesha kuwa mpya!
Leo nimeamka na Dish la channels za Tanzania za bure na si za Tanzania tu hata za nje zote zikiwa za bure,nikimaanisha hazina malipo ya mwezi!
Jamaa yeye hakutaka Azamtv,wala DSTV,wala Zuku tv,hata startimes kifupi king'amuzi chochote cha kulipia yeye kajichanga na kutaka hili la futi 6!
Ukizingatia ni kazi yetu tukafanya yetu kama kawa then tukachapa mwendo huku tukiacha zile za Mengi ITV,CAPITAL,EATV zikiwemo,CHANNEL 10 nayo,kuna tv ya taifa TBC1,pia wale ndugu zangu wa mwanza STAR TV kwa upande wa tanzania na channels nyingi za nje.                                                           
Share:

Jan 30, 2014

AZAM TV UNAWEZA KUONA TV ZAIDI YA 1!!


Swali ambalo wengi wamekuwa wakiniuliza lakini jibu huwa nawaambia unaweza kuona kwa tv moja tu na ndivyo ilivyotengenezwa ila kwakuwa uwanja ni wetu hakuna linaloshindikana!!
Yap unaweza kutumia Decoder ya Azam tv moja ukaona tv zaidi ya 10 na zote zikiwa saaafi isipokuwa ukibadili zote zinabadilika!
Unawezaje kupata huduma hii!!??
+255789476655/659161111
mustaphamadish@gmail.com
Morogoro rd,Magomeni Mapipa
Yote kuhusu ving'amuzi check nasi!
Share:

Jan 28, 2014

DSTV EXTRA VIEW


 DSTV EXTRA VIEW bado inaendelea kufanya vizuri sana!!
Labda kwa wale wasiojua huduma ya DSTV EXTRA VIEW ni kwamba unakuwa na A/C moja ila Decoder mbili ambapo unaweza kutumia kwa tv mbili kila mtu na channel yake na malipo ya mwezi inazidi 16000 kwa Package yeyote utakayoitaka!

 Hapa EXTRA VIEW ndani!

 Mbeza hapa Tumeshauza!
+255789476655
Share:

Jan 26, 2014

DSTV COMPACT PLUS PACKAGE | CHANNELS 90+ | TSH 109,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Compact Plus


FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 3
SuperSport 5
SuperSport 7
SuperSport 9
SuperSport 9 East
SuperSport HD 11
SuperSport HD 12


SINEMA

Movie Zone
VUZU
Universal Channel
True Movies
Studio Universal HD
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Africa Magic Urban
Maisha Magic BONGO
M-Net Movies All Stars
M-Net City
M-Net Family
M-Net Movie Action
Africa Magic Family
TCM
 


BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E
Sony Entertainment
Sony Max
BBC Brit
FOX
BET
MTV
Ebony Life Tv
EVA


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News
CCTV News
CNN Intarnational
SKY News


 MAKALA

National Geo Wild
Discovery Family
ED
Spice Tv
National Geo
Discover IDX
Trace Sports


MAISHA

Fashion One
Discover TLC
BBC Lifestyle
Food Network


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city
AFRO Music English
Trace Music

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
Disney Channel
Disney XD
Cbeebies
Nickjr
Nick Toons
JimJam
Mindset Learn
Boomerang
Cartoon Network


KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa 
Kwa Maelezo Zaidi +255789476655
Share:

Jan 24, 2014

LINAPOPITA LA KUCHEKESHA.......!!

Lazima kucheka ili siku ziongezeke!!
Ila mengine kiukweli yanamaudhi kupitiliza,tukiacha kibinafsi pia kikazi maana kazi yangu inahusisha watu wa aina tofauti kwa kipato,jinsia na hata uwezo wa uelewa kama si kufikiri!
Nianze na issue ya wale wateja wangu wanaopiga simu usiku ama asubuhi sana,nimewahi kupokea simu usiku wa saa 5,6,8 na kukuta miss call ya saa 10 alfajiri na baada ya kupiga mtu anakuuliza kuhusu Madish!
Kweli jamani! hata kama ni biashara tunawezaje kufanya kwa muda huo!
Na hao wote ambao wanapiga muda huo hakuna aliyenipigia mchana baada ya kumuelekeza afanye hivyo labda awe ametumia no.yengine tofauti na ile ya usiku!
Ingawaje sikuwa nimeweka muda wa kazi itanilazimu kufanya hivyo ili alau kwa ndugu zangu wale usiku kwao mchana wapate elewa!

Mustapha Hanya a.k.a Baba Fetty
Share:

Jan 21, 2014

DSTV TSH 149000/=

Offer inaendelea!!!
Full Installation- Tsh 149000/=
Unapata Dish,Decoder,Cable na Kufungiwa!
Baada ya hapo unachagua Package uipendayo kati ya zifuatazo:-
ACCESS-Tsh 16500/=
FAMILY-Tsh 33,000/=
COMPACT-Tsh 53000/=
COMPACT PLUS-Tsh 85,000/=
PREMIUM-Tsh 135,000/=
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

CONTACT
Office:+255789476655
Mobile:+255659161111

Yote yanayohusu DSTV hapa ndipo penyewe!
Share:

OFFICE ZA TUCTA TUMEMALIZA KUFUNGA DSTV NA FLAT SCREEN!

Mwendo ni ule ule kazi nzuri ndo sababu ya kutufanya tunapata tenda zaidi kwa maana wateja zetu ndio mabango ya matangazo ya kazi zetu!
Office za TUCTA pale mnazi mmoja,siku ya kwanza nilienda kukagua kazi



Hapa nishakagua kazi siku ya kwanza.
Siku ya pili nikaingia mzigoni na CREW yangu kazi kazini!

Tukiwa juu mjengoni!
Juu tulipomaliza tukahamia ndani,sehemu ya kwanza ni katika chumba cha mikutano!

 Ukumbi wa mkutano kabla hatujafanya yetu

 Kazi imeanza..

Tunapanda kwa umakini wote

Mtaalamu Baso akitoa TV kwa Box

Mzigo ndo huu!



Pima pima zikiendelea

Hapo....!!

 Flat screen kuelekea kupima

Vipimo vikiendelea

TV bracket tayari kwa ukuta

Maelekezo yakiendelea

Chumba cha mkutano tumeshauza
Tukahamia vyumba vyengine mwendo ule ule,tukizingatia kazi safi na bora!


Baba yake na Fetty huyu!

Mzee wa Nyembe!

.........!!!

Kazi imekamilika

Chimpo!!

Mustapha MaDish

Macho yako yanasemaje

huyu ndo kafunga kazi!
Tumemaliza kufanya yetu tuliyoagizwa kufanya hapa!
Kama nawe unataka CREW hii ipendezeshe office yako/Hotel yako/Nyumbani kwako ama popote ni rahisi sana kutupata!
Tupo Morogoro rd,Magomeni Mapipa.
Office:+255789476655
Mobile:+255659161111
Popote ulipo nasi tupo na wewe!!
Yote yanayohusiana naving'amuzi vyote uvijuavyo tutembelee!!
Share:

Jan 18, 2014

OFFICE ZA TUCTA CREW IMEKAMILIKA HAPA!

Wanamwita Dume la Mamba!

Elias hapa a.k.a Driller!

Baba Fetty tena!

Dume la Pelege huyu wakujiita Chimpo!

 Mustapha MaDish!

 Wazee wa Kazi!

Hapa kazi tu!





...... na Baso!



Cable master,Mzee wa Bomba,Master signal,kiraka na AV cable wakiwa wamekula pooozi!!

 Hapa kazi tuu hizi picha mbwembwe tu!

 Cable Master na Mzee wa Bomba!

 Master signal na Kiraka

 Kiraka na AV Cable!

AV cable a.k.a Chimpo a.k.a Dume la Pelege!
Kazi inaendelea,wakati mwengine tena itakapokamilika tutaonana tena kumalizia ya TUCTA.....!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita