Call / WhatsApp +255673378129

Oct 3, 2017

OFFER YA AZAM TV 2017 KUELEKEA 2018

King'amuzi ambacho ni mpinzani pekee wa DStv kwa Tanzania na ni kweli kinafanya vizuri sana hasa bila kumung'unya maneno..!
Siku za usoni nitakuja kuwajuza sababu ya king'amuzi cha azam tv kufanya vizuri na kuchuana na mkongwe wa Digital Tanzania DStv ili wanaowasindikiza wengine wapate kujifunza!
Bei ya Azam tv ni kama ifatavyo:-
  • Vifaa Tsh 135,000/=
  • Ufundi ( Kufungiwa ) Tsh 30,000/=
  • Vifurushi kwa wiki kuna Tsh 5,000/= na Tsh 7,000/=
  • Vifurushi vya mwezi Bofya Hapa
Kwa mchakato huu Azam tv hawana offer ya kumalizia mwaka na kama itatokea tutapeana taarifa! 
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita