Call / WhatsApp +255755949413

Nov 30, 2013

AZAMTV | BURUANI KWA WOTE | AZAM TV

 BURUDANI KWA WOTE!!! Azam Tv ni mtoa huduma ya kidigital kupitia Satellite,ina burudani yenye ubora wa hali ya juu kwa familia na kwa bei nafuu,makao makuu ya Azam tv yapo Dar es salaam Tanzania.Azam tv ilianzishwa mwaka 2013,ina nia ya kujipanua zaidi katika nchi...
Share:

Nov 29, 2013

TATIZO LAKO NI NINI ILI UPATE CHANNEL UTAKAZO!!??

Kwa Office nikikungoja wewe! Kuhusu visimbuzi vyote kama:- DStv, Azam tv, Startimes na Zuku. Pengine toka ilipotulazimu tuingia kwenye Digital,ndugu yangu wewe bado hukuwa tayari,ama hujui ni King'amuzi gani bora cha kununua na ukapata kile ulichokuwa unakihitaji! Una...
Share:

KUHUSU AZAM TV

Azam tv ni kampuni mpya katika ukanda huu wa Digital,tunaanza rasmi kuuza tarehe 6/12/2013. Inajumuisha Dish ndogo,lnb,Cable mt20,Decoder na air time mwezi mmoja! Kumefanyika mabadiliko kidogo ya bei awali ilikuwa 85000/= full installations,kutokana na sababu zilizo nje ya...
Share:

Nov 19, 2013

UPO TAYARI KUIPOKEA AZAM TV!!??

Maswali yakiwa ni meeengi kuhusu lini king'amuzi cha Azam tv kitaanza kuuzwa ili wadau waweze kufurahia huduma hii alau jibu limeweza kupatikana ambapo itapelekea wewe kujiapanga kukipokea na kupata kile ulichokuwa unakitarajia!! Setting zikiendelea! Taarifa za awali...
Share:

Nov 2, 2013

HOTEL INSTALLATIONS

Kwanza ujue unachohitaji! Channel gani na ngapi,je za kulipia ama za bure,vinginevyo iwe mchanganyiko za bure na kulipia! Vyote ukishindwa utapata nafasi ya kupatiwa ushauri kwa zile channel pendwa na maelewano yatakapopita kazi ndipo inaanza kama furaha itawale kwako! Ili...
Share:

Nov 1, 2013

KUTOKA KWA MUSTAPHA MADISH

Mustapha MaDish Si kwamba najua kila kitu ila najua vitu vingi ukanda huu na nashukuru Mungu kupitia hii blog yangu nimeweza kupata kazi nyingi na kujuana na mafundi wenzangu wengi tu Tanzania na nje ya Tanzania na ushirikiano mzuri uliopo ndo uliopelekea mi kuwepo hapa...
Share:

TING WAMEHAMA SATELLITE

Niliwahi kuwaambia baadhi ya watu ila ikawa kama hawanielewi hivi baada ya kukataa kuwafungia local channels kupitia Dish dogo baada kugundua kama hizo local uhai wake mdogo,kwa maana satellite waliyokuwa wamewekwa na Ting kwa lugha nyepesi ilikuwa ni mali ya Ting!! Awali...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413