Call / WhatsApp +255673378129

Aug 10, 2013

Karibu na ubarozi wa Ufaransa!

+255789476655
Muda ambao vijana wenzangu wanatumia mtandao kupiga soga na kupotoshana mi kwangu ipo tofauti sana tena sana maana kila kukicha naongeza idadi ya marafiki si kupiga piga soga zisizo na maana bali kufanya haya ya kupendeza na hapa nimefika kutokea mtandaoni umenisomaaa!!!!!














Share:

Aug 8, 2013

ALJAZEERA SPORTS

Maswali yamekuwa mengi mkiniuliza mnawezaje kupata Decoder za Aljazeera sports ila jibu huwa nalitoa moja tu kama ilivyo kwa Abudhab Sport pale awali...!!
Hii kampuni haina wakala hapa bongo na kama yupo mi simfahamu maana kila ninyemfungia anakuwa anaagiza mwenyewe ama nafanya muunganiko then nawaacha wakubaliane jinsi ya kuagiza kutoka kwa waarabu!!
Hii pia mwendo ule ule jamaa katoka nayo mwenyewe mimi nilichofanya kutafuta dish inayofaa na kuleta ufundi wangu na mwisho wa siku yakawa yaliyokuwa!!

Hapa naangalia cha kuchukua ili nisababishe!

Hapa nafunga stend baada ya kudril!

Hapa nafunga Dish kwenye stend!

Hapa tayari imekaa still!

 Hapa tayari kwa kuanza kufanya setting!

 Hii ndio Decoder ya Aljazeera Sports

 Hapa vipi!!??
Share:

Jul 30, 2013

Op.MWALIMU JK NYERERE P.SCHOOL

Maeneo ya Mbezi Beach maeneo maeneo hivi yaliyo tulivu sana kwa lugha nyepesi kwa kishua!!
Kuna shule ijulikanayo kama MWALIMU JK NYERERE,sasa mimi nilihitajika kwenye nyumba ambayo inatazamana na hii shule,hapa kilichotakiwa mimi nifanye ni kufunga DSTV EXTRA VIEW....!!
Kama kawa kama dawa nikapewa nafasi nami nikafanya yangu ila hapa ilinichukua siku mbili kutokana na baadhi ya vifaa kutokupatikana kwa siku moja!!
Kwa wale wasiojua DSTV EXTRA VIEW hii ni huduma inayokupa fulsa ya wewe mteja kuview channel mbili tofauti kwa wakati mmoja yaani uwe na tv mbili kila tv inajitegemea kwakuwa utapata decoder mbili ambapo kila decoder inajitegea isipokuwa Dish inakuwa moja na account moja pia!!
Kiufundi zaidi +255 659 161 111
Share:

Jul 28, 2013

ZUKU TV TANZANIA

Offer Tsh 75000/= na mwezi mmoja bure!
Bila ufundi.


Ina zaidi ya channel 100!
Package za zuku:-
Zuku classic Tsh 15,500/= channels 69
Zuku premium Tsh 22,500/= channels 100
Zuku asia Tsh 24,000/= channels 27
Kujua Channels zote zilizo kwenye zuku tv:-

 +255789476655
Mobile: +255659161111 /714973797
Installation ya tv system kwenye Hotel,Apartment,Office.
Share:

Jul 24, 2013

MKOA PWANI WANAPAITA MKULANGA NILIHITAJIKA!!


Hapa banaa ilikuwa nawezaje kufunga dish na nikapeleka tv mbili vyumba tofauti na kila tv inajitegemea kubadili channel aipendayo muhusika anayeangalia tv hiyo!
Mbona si kazi kama mawazo ya wengine yalivy!
Mahitaji Dish husika kwa kuwa waarabu ndio waliohitajika ni c band yaani dish inayoanzia ft6 na kuendelea,lnb c band ambayo ya njia mbili,receiver mbili,cable then niachiwe uwanja nifanye maujanja yangu!!!!
Kufumba na kufumbua Oman tv ikaamia mkulanga!!











Share:

Jul 22, 2013

CHANNEL ZILIZO KWENYE CONTINENTAL DECODER



Channel zinazopatikana katika Decoder ya Continental ni hizi hapa ingawaje hapa sijaorodhesha zote, pindi uhakiki utakapofanyika zote zitaorodheshwa hapa:-

Star e+
Star bun
Star tv
ge
Star Movies+
Morning Star tv
Star Muzik
Afro Culture
ITV
EATV
TBC
Channel 10
Citizen
DW
France24
Clouds tv
VOA tv
BBC World
CCTV 9
CCTV News
NHK
Qtv
Ntv
HOPE
emmanuel tv
Africa tv
Aljazeera
Kidsco, 
TLC (Travel & Living Channel),
Discovery ID,
Discovery Science,
African Movie Channel, 

CCTV4,
Pia unaweza kusoma post hizi..
Share:

Jul 21, 2013

OFFER YA DSTV KWA 149,000/=

Ni kawaida kila ikikaribia msimu wa kandanda ama kukiwa na sikukuu DSTV hutoa OFFER kwa wateja wake ambao wanahitaji kujiunga na huduma zao!!
Now ndo muda umewadia kwa wale wote ambao wanataka kujiunga na DSTV na walikuwa wanangoja time hii ya offer imewadia wale mabingwa wa maswali jibu ndo hili kuhusu urahisi wa kujiunga na DSTV!
Wala usipate tabu unaweza wasiliana nami na nikafanya ukawa mwanafamilia wa dstv kwa 149,000/= vifaa vyote kisha unachagua package uipendayo ili ufurahie maisha!!
Na kwa wale wateja wa zamani kama dish yako inasumbua ama unataka kuhama usisite kupiga 
+255 659 161 111
+255 714 973 797
Share:

Jul 20, 2013

EMANUEL TV IMENIPELEKA KUNDUCHI 170



Jumapili tulivu hali ya hewa ikiwa haieleweki mara jua mara kiwingu na manyunyu yakichukua nafasi!
Panaitwa Kunduchi ila wenyeji wanapaita Kunduchi 170,hapa ilikuwa wanaona DSTV awali ila kutokana na maamuzi yao wakataka DSTV igeuke na kuwa Emanuel tv nami nikaona hakuna ubaya ila tu niliwaeleza ya kuwa ili waone Emanuel tv lazima wawe na Receiver isipokuwa dish zinaingiliana!
Uzuri Receiver walikuwa nayo hivyo haikuwa issue kazi ikaanza kipindi cha kufanya fanya setting kimefika tatizo likawa remote,receiver bana haikuwa na remote dah sasa itakuwaje!?
Ikanilazimu nimuagize mtu aniletee receiver ili nifanye setting zangu kipindi ambacho remote ya receiver husika ikitafutwa!
Baada ya muda mambo yakawa mambo imenuel tv ikaamia Kunduchi!!

Hapa ikiwa badi DSTV

 Hapa ndio bomoa bomoa!
Hapa Emanuel tv imepatikana!

Ndo hivyo tena!
Share:

Jul 18, 2013

KAZI YANGU KUKUFURAHISHA WEWE!

 Kama kawa kama dawa ndo ambacho naweza kusema kwa wakati huu!
Hapa ni maeneo ya Urafiki njia panda pale ya kwenda mabibo!
Hapa Local ilikuwa inasumbua na DSTV pia,hivyo kilichotakiwa nikifanye ndo nikafanya na kuwaacha wenyeji  wakicheka cheka tu!
Nikachukua vyangu na kuchapa mwendo!
 
 HAPA SETTING ZIKIENDELEA
Mambo yanaendelea kama kawaida hapa ili tu kufanikisha mambo kukaa sawa!



Share:

Jul 15, 2013

JUMLA YA CHANNEL 6 TU ZA TANZANIA KWA TV ZAIDI YA 50!


 Je wajua unaweza kufunga idadi ya channel utakazo kwa idadi ya tv zako na kila tv ikajitegemea kubadili na kuangalia channel uipendayo pasi kuingiliana na tv nyengine!
 Hii x nyingi inafanyika maofisini,mahotelini ama kwenye Apartment ila hata popote upendapo unaweza ukafanya hivi!
 RECEIVER 6 KWA CHANNEL 6
 Kama unaswali lolote la kiufundi ama huduma ni wewe tu kuchukua simu yako na kubofya no hii:
+255 714 973 797
Popote Tanzania.
Share:

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania
Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa!
Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za Tanzania TBC1 na STAR TV zinasumbua kwenye futi sita,angalau STAR TV wakati mwengine inatulia,ila hii kwenye futi nane haipo,kama utatumia dish futi nane channel zote za Tanzania zitaonyesha vema

 Hapa naingiza frequency
Nikafanya ya kufanya kama ilivyo ada yangu na mwisho wa siku nikaacha watanzania wanatawala kama kawa ingawaje TBC iligoma kabisa ila STARTV ilikuwepo imejaa tele!
Pia kwenye futi 6 kuna CITIZEN pia.

Share:

Jul 12, 2013

EMANUEL TV channels zaidi ya 50 BURE!!


Inatumia dish ndogo lugha ya kitaalamu inaitwa KU,unapata kuona channel zifuatazo ila nyingi zikiwa za gospel.Vifaa vinavyokamilisha set hii ni:-lnb KU,Receiver,Dish KU,Cable,F connectors.
Channel ZN
CNTV
ACNN
My tv promo
Celebration TV
Bethesda TV
CVV
Omega
ACBN
Chosen TV
HO TV
Champions TV
ITVN
Prophetic Channel
3ABN
Viewsat Promo
Sprit World
Blessing TV
Hosanna
Ahlulbayt TV
MFM TV 
New frontiers TV
RAK TV
Success TV
Charis TV
Mercy TV
ADBN
KICC TV 
ABN
Angel TV Africa
Olive TV
BETV
Spare slot
Muvi TV Africa un
Messiah
Oracle TV
Miracle TV
Madani chnl
Inspiration TV
Praise TV
JCC TV
Dunamis TV
God TV
Evangel TV
Spare_slot 4
Dove vision
El Shaddai
Channel 44
i Film
WRS
Love World
Starcross TV
Emanuel TV
Christian
KLN TV

Share:

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!


Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI:
+255659161111

 Ilipo Dish Setting zikiendelea!

 Bahari Beach Lodge Mapokezi

 Kupumzika imoo!!

 Hapa hakuna signal hivyo haiwezi kuscan!

 Baada signal kuingia!

 Hapa imeanza kuscan!
Share:

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!
Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!
Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels zaidi ya 50 jamaa akabaki anacheka cheka tu!
Nikakinga nikakunja na kuachapa mwendo!
Maeneo ya msasani pale haya waungwana x nyngne tena!
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!


TRANSIT MOTEL AIRPORT 

Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n hata anapotoa pesa yake anajua inatoka kwa mahitaji gani!
Binafsi huwa najisikia furaha kuona namfanyia kazi mtu na mwisho wa siku yeye anapata kile alichokitegemea ama zaidi,kicheko chake mwanya mwengine kwangu!
Nikachukua vyangu na kuaga huku nikikaribishwa tena wakati mwengine!

TRANSIT MOTEL UKONGA
Share:

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa Dar,hivyo sina la kupinga zaidi ya kulichukua na kutembea nalo kama hivi!

 HAPA NAUNGA UNGA

UNGA UNGA INAENDELEA
Hapa nilitakiwa kuwahamisha waarabu walipo na kuwaleta hapa,jambo hilo kwangu halikuwa gumu kihivyo... nami nikafanya fanya yangu kwa kuunga unga Dish na nikawavuta waarabu wakajaa tele!
Baada ya hapo nikachukua vilivyo vyangu na kuchapa mwendo!
0714973797 kiufundi zaidi!
Share:

Jan 6, 2013

CHANNEL ZA DIGITEK

Hii ni orodha ya baadhi ya channel zilizopo kwenye king'amuzi cha Digitek, ambacho hakina malipo ya mwezi unafurahia tu hizi channels:-

Always Connected
Kwa Maelezo zaidi
PIGA +255789476655
Share:

Jan 2, 2013

DSTV TANZANIA

Kujua bei ya sasa Bofya hapa
SO MUCH MORE..!
Kwa sasa kuna Offer ambapo kwa Tsh 149,000/= Full Installations
Unapata Dish ndogo,lnb,Decoder,Cable mt20 na Kufungiwa!
Baada ya hapo unachagua Package uipendayo kati ya zifuatazo:-
DStv Access Tsh 16,500 - $10
DStv Family Tsh 33,000 - $20
DStv Compact Tsh 53,000 - $32
DStv Compact Plus Tsh 85,000 - $52
DStv Premium Tsh 135,000 - $82
CHANNEL MAALUM
Portuguese-5 Channels
Asian-4 Channels
German-1 Channel
French-4 Channels
China-7 Channels
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa
HUDUMA NYENGINE ZA DSTV:-
DStv Extra View
n.k.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu
Morogoro rd,Magomeni Mapipa opp DTB
Office: +255789476655
Mobile: +255659161111
Wakala wa DStv aliyeidhinishwa.
Tunafunga na kuuza vifaa vyote vinavyohusiana na DStv.
Pia tunauza na kufunga Dish aina zote.
Kwenye Hotel,Apartment,Office na Nyumbani.
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita