Call / WhatsApp +255673378129

Jan 8, 2014

BEI YA AZAM TV BURUDANI KWA WOTE


Hivi karibuni nilipokea simu ilinisikitisha sana kuhusu bei wanazouziwa watu hasa mikoani king'amuzi cha Azam tv na cha kushangaza zaidi hata hapa Dar kuna baadhi ya wakala wanauza bei juu tofauti na utaratibu uliowekwa,nilichogundua ni kwamba wengi wameingia kwenye hii biashara pasi kuijua vizuri wanachofanya wao ni kuuza tu lakini ufundi ni juu ya mteja mwenyewe matokeo yake mteja ananunua king'amuzi lakini anafungiwa baada ya wiki 1/2 mpaka 3 kwa kukosa fundi!
Simu toka Ruvuma niliambiwa wanauziwa 180000/= bila malipo ya mwezi bila ya kufungiwa!
Mwanza wanauziwa 160000/= bila malipo ya mwezi na bila ya kufungiwa!

Dar kuna kuna mtu aliuziwa 160000 full installation na malipo ya mwezi mmoja!

Na kwengineko nadhani haya yanatokea sana tu na kilichonifanya leo niweke post hii ni hii bei ya Ruvuma!!!
Sababu ya kila mtu kujiamulia bei anayotaka yeye ni kutokana na wauzaji kutokuwa wakala,hivyo ili nae apate faidi ananunua kwa wakala then anauza nae kwakuwa ndo msimu wa kupata pesa hasa kupitia Azam tv kuikweli mnatuharibia wenye kazi zetu,binafsi napenda sana tuwe wengi ili mnipe changamoto niweze kuwa mbunifu zaidi katika kazi yangu lakini hamuwezi mkanipa changamoto kiubabaishaji na kuibia watu namna hiyo!!
BEI YA AZAM TV NI 135000/=

Unapata Vifaa vyote!! Hii bila ya ufundi wala kifurushi.
UKITAKA KUJUA BEI ZA VIFURUSHI VYA AZAM TV BOFYA HAPA
PIGA +255789476655


Share:

Jan 1, 2014

TAREHE 1/1/2014 KIBAHA KONGOWE

Leo ni siku ya mapumziko baada ya kuzitafuta mwaka mzima!
Kwakuwa madish ndio yaliyoleta muunganiko wa issue zangu nyingi hivyo kupumzika bila kuzungumzia ama kugusa kadish hata kamoja itakuwa uongo maana nnachokikubali zaidi kwasasa ni madish na ndo sababu ya kufanya nifanye vizuri zaidi!
Ndugu yangu toka Kibaha alichukua Azam tv kama wiki mbili nyuma,ikawa imebaki kufungiwa tu,akapata safari na akarejea tarehe 31/12/2013 akanicheck kuwa amerudi!!
Kuthamini uwepo wake ukiacha undugu pia ni mteja wetu nikaona nitumie siku hii ya mapumziko kumtembelea na kutekeleza wajibu!!


nilipofika sikumkuta n baada ya muda alirejea,tukapiga story mbili tatu mpaka saa 1 kasoro usiku ndipo nikaanza kazi mpaka saa 2 na nusu NIKACHAPA MWENDO!
Share:

Dec 31, 2013

DSTV PREMIUM PACKAGE | CHANNELS 120+ | TSH 169,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Premium 
FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 3 HD
SuperSport 1
SuperSport 2
SuperSport 4
SuperSport 5
SuperSport 6
SuperSport 7
SuperSport 9
SuperSport 9 East
SuperSport HD 11
SuperSport HD 12
SuperSport 13
SuperSport 14
SS Maximo 1 HD
SS Maximo 2 HD


SINEMA

Movie Zone
VUZU
Universal Channel
True Movies
Studio Universal HD
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Africa Magic Urban
Maisha Magic BONGO
M-Net Movies All Stars
M-Net City
M-Net Family
M-Net Movie Action
Africa Magic Family
TCM
 


BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E
Sony Entertainment
Sony Max
BBC Brit
FOX
BET
MTV
Ebony Life Tv
EVA


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News
CCTV News
CNN Intarnational
SKY News


 MAKALA

National Geo Wild
Discovery Family
ED
Spice Tv
National Geo
Discover IDX
Trace Sports


MAISHA

Fashion One
Discover TLC
BBC Lifestyle
Food Network


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city
AFRO Music English
Trace Music

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
Disney Channel
Disney XD
Cbeebies
Nickjr
Nick Toons
JimJam
Mindset Learn
Boomerang
Cartoon Network


KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa 
Kwa Maelezo Zaidi +255789476655
Share:

TUNAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA WADAU!!!


Mwaka ndo unaishia hivyo leo ikiwa Tarehe 31/12/2013 dah! yaani hata siamini wallah!!
La msingi nashukuru Mungu kwa kunijalia pumzi mimi,timu yangu nawe mdau wetu kama u bu kheri wa afya kama ilivyo sisi!!
Wapo wengi waliotamani kufika leo ila kwa mapenzi yake mungu hatunao tena,tuwakumbuke kwa kuwaombea dua na kuwatolea sadaka kwa ajili yao kama kweli tunamapenzi nao!
Mwaka ikiwa unaishia tunapenda kuomba radhi kwa wale wote tuliowakosea maana hakuna aliyekamili chini ya jua,mimi binafsi na kwa niaba ya Mustapha MaDish Crew tunawatakia heri ya mwaka mpya!!
Msherehekee kwa amani na utulivu!!
Katika kazi kuna changamoto nyingi sana na ukizingatia sisi tunafanyakazi na watu wa aina tofauti,sehemu tofauti kiukweli wakati mwengine changamoto zinakuwa za kiwango kikubwa mno lakini cha kushukuru tunafanikiwa kukabiliana nazo zaidi ya yote tukumbushane hii ni kazi kama zilivyo kazi nyengine la msingi ni kuheshimiana ili lengo litimie!
Zaidi ya yote yale maoni yenu yote tunayafanyia kazi ili mwaka unapoanza uanze tukiwa wapya hasa!!
MALIZA MWAKA FUNGUA MWAKA UKIJUA!!
Kuwa hapa ndipo nyumba ya ving'amuzi vyote unavyovijua wewe Tanzania!
Tunauza na kufunga kwenye nyumba hadi nyumba,maofisini,kwenye Hotel!
Mafundi wana uzoefu unaomaliza mwaka wa 7 mpaka sasa!!
Namba yetu ni ile ile +255789476655 Office.
+255659161111 Technical support.
Share:

Dec 27, 2013

POPOTE ULIPO TUPO NA WEWE
























Mwaka tunaumaliza vema na tukisisitiza ya kuwa popote ulipo tupo nawe,king'amuzi chako kinakuweka karibu nasi huku ukiwa unaizunguka dunia ukiwa na tv yako!
USIHOFU ULIPO NI WEWE TU KUWA TAYARI KUPOKEA HUDUMA ZETU KWA KUPIGA NO.
+255789476655/714973797/659161111

Share:

Dec 24, 2013

BONDENI HOTEL TUKIFUNGA AZAM TV

+255789476655 AU +255627985436 HUDUMA HII INAKUFIKIA
 Kuelekea funga mwaka na Azam tv ikiwa inaendelea kufanya vizuri,nasi tukiendelea kutekeleza wajibu wetu kama kawa kama dawa!
Ndani ya Bondeni Hotel ya Magomeni Mapipa Morogoro rd.
Hapa Azam tv nayo ilionekana umuhimu wake!



Dumee akiwa na Mustapha MaDish baada ya kumaliza kufanya yetu!
Share:

Dec 21, 2013

AZAM TV MTEJA WA KWANZA KUFUNGA MKULANGA!

 Njiani kuelekea .......................!!!


Kuelekea funga mwaka kwetu ni mbio tu!!
Leo kazi ya kwanza tumeamkia mkoa Pwani wanapaita Mkulanga,hii mimi ni mara ya pili narejea kufunga Dish ila safari hii Azam tv ikiwa ndo imenirejesha nikiwa na mtaalamu mwenyewe Herman!!
Kiukweli haikuwa tabu na mara nyingi ndivyo inavyokuwa,site ambazo nje ya mji ama mikoani tofauti na Dar es salaam ukifunga Dish katika pisition husika haisumbui kupata signal ila katikati ya jiji ukifunga dish kama si mzoefu lazima itakutafuna!
Hapa Mkulanga ni karibu kabisa na shule ya msingi ya mkulanga,tulitumia saa 1 tu kufunga azam tv na kugeuza mkoa wetu wenye kila aina ya majambo!
Ilikuwa tuingie pale Mbagala ila kwa bahati mbaya mteja wetu wa azam tv alisema anaenda kuangalia mpira hivyo tufanye kesho!
Ratiba haikuishia hapo tukapandisha mpaka mbezi kwa Msuguli hapa tukafanya ya kupendeza then tukachapa mwendo mpaka Mbezi Maramba mawili azam tv ikiwa inaonyesha kuwa watanzania wameielewa!
Baada kuuza kama kawa ratiba ilisema twende kunduchi mtongani lakini kutokana na muda hatuna budi kukubaliana na mipango ya Mungu,hivyo wajibu wetu kupumzika na Inshallah kesho ratiba itaendelea tukianza na vilivyolala!!!
Niwatakie maandalizi mema ya X mass na mwaka mpya wadau huku nikiwashukuru kwa kila hatua ambayo tulikuwa sambamba zaidi ya yote usisahau kuwa hii ni nyumba ya ving'amuzi!
Uliza,Sema,Nunua ama chochote kuhusu kinga'amuzi chochote ukijuacho ama unachokisikia!
Share:

Dec 20, 2013

BAADHI YA CARD ZA ALJAZEERA ZIMEFAIL!

Kuna baadhi ya wateja wa Aljazeera sports wanalia sasa kama si kuhaha na kudhani pengine ndo imeshakula kwao maana wanakosa jibu la uhakika kuhusu card zao! Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya card zimefail na tatizo ni la kwao wenyewe na kwa mujibu wao wanalifanyia kazi! Je wewe ni miongoni mwao ama!!?
Share:

Dec 15, 2013

LOCAL CHANNEL ZINAZOPATIKANA DSTV

Awali ilikuwa TBC1 pekee,ambapo baadae ikaongezeka na STAR TV na hivi karibuni CHANNEL 10 nayo imeongeza idadi na kuwa channel 3 za Tanzania zinazopatikana DStv



Share:

Dec 13, 2013

JE NI NCHI NGAPI AMBAZO UNAWEZA KUONA AZAM TV!?

 Niliwahi kupokea simu siku za hivi karibuni kutoka Nairobi,swali likiwa je kama atanunua Azam tv inaweza ikakamata! Jibu la swali hilo ama linalofanana na hilo ni hili kwenye hii picha hapa chini!

 Angalia kwa umakini nchi ambazo ukifunga Azam tv inakamata kama upo Dar es salaam!
Kwa maelezo zaidi usisite: +255789476655/714 973797/659161111            


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita