Mwendo ni ule ule kazi nzuri ndo sababu ya kutufanya tunapata tenda zaidi kwa maana wateja zetu ndio mabango ya matangazo ya kazi zetu!
Office za TUCTA pale mnazi mmoja,siku ya kwanza nilienda kukagua kazi
Hapa nishakagua kazi siku ya kwanza.
Siku ya pili nikaingia mzigoni na CREW yangu kazi kazini!
Tukiwa juu mjengoni!
Juu tulipomaliza tukahamia ndani,sehemu ya kwanza ni katika chumba cha mikutano!
Kazi imeanza..
Tunapanda kwa umakini wote
Mtaalamu Baso akitoa TV kwa Box
Mzigo ndo huu!
Pima pima zikiendelea
Hapo....!!
Flat screen kuelekea kupima
Vipimo vikiendelea
TV bracket tayari kwa ukuta
Maelekezo yakiendelea
Juu tulipomaliza tukahamia ndani,sehemu ya kwanza ni katika chumba cha mikutano!
Ukumbi wa mkutano kabla hatujafanya yetu
Tunapanda kwa umakini wote
Mtaalamu Baso akitoa TV kwa Box
Mzigo ndo huu!
Pima pima zikiendelea
Hapo....!!
Flat screen kuelekea kupima
Vipimo vikiendelea
TV bracket tayari kwa ukuta
Maelekezo yakiendelea
Chumba cha mkutano tumeshauza
Tukahamia vyumba vyengine mwendo ule ule,tukizingatia kazi safi na bora!
Baba yake na Fetty huyu!
Mzee wa Nyembe!
.........!!!
Kazi imekamilika
Chimpo!!
Mustapha MaDish
Macho yako yanasemaje
huyu ndo kafunga kazi!
Tumemaliza kufanya yetu tuliyoagizwa kufanya hapa!
Kama nawe unataka CREW hii ipendezeshe office yako/Hotel yako/Nyumbani kwako ama popote ni rahisi sana kutupata!Tupo Morogoro rd,Magomeni Mapipa.
Office:+255789476655
Mobile:+255659161111
Popote ulipo nasi tupo na wewe!!
Yote yanayohusiana naving'amuzi vyote uvijuavyo tutembelee!!