Call / WhatsApp +255755949413

Aug 29, 2017

DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI 2018

Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Hii ni bei ilianza tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei ambayo ni kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:- 1.Premium kutoka 184000 mpaka 169000/= tu! 2.Compact Plus kutoka 122500/= mpaka 109000/= tu! 3.Compact...
Share:

UZIO WA UMEME KWA ULINZI

Tukikuhudumia unapata faida gani!? Jengo na mali zako kiujumla kuwa salama Bei nafuu ambayo mtanzania ni rahisi kuimudu Tunakupa ushauri kabla ya kukuuzia huduma  Tunafanya kazi ndani ya muda Miezi 12 ( mwaka mmoja ) unapata repairing bure Tunapita kufanya check...
Share:

Aug 26, 2017

KWANINI USILIPIE MAPEMA | KING'AMUZI CHAKO!?

Nimejaribu kufatilia kwa ukaribu sana utaratibu wa kufanya malipo ya king'amuzi kati ya watumiaji wageni nikimaanisha wenzetu rangi nyeupe na sisi ngozi nyeusi ijapokuwa si wote isipokuwa wengi wetu tuna utaratibu mmbovu sana wa kufanya malipo ya ving'amuzi tunavyotumia...!! Mfano...
Share:

Aug 25, 2017

KIFURUSHI CHA AZAM LITE | AZAM LITE PACKAGE | TSH 10,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam lite:- Kuna zaidi ya channel 55  Kwa wiki ni Tsh 3,000/= na kwa mwezi ni Tsh 10,000/= Universal TV BBS TV Royal TV Rwanda Clouds TV Rwanda Salam TV Magic One Channel 44 ASTV (Africa Swahili TV) Boing...
Share:

Aug 19, 2017

TUPE RUKSA YA KUZILINDA MALI ZAKO!

Moja kati ya Hiden Camera ambazo hazionekani, hii ni kwenye Office. Tuna njia mbili za kuomba ruksa yako tuzilinde ama tuzifanye mali zako kuwa salama muda wote, ama kukufanya kana kwamba upo eneo la tukio hali ya kuwa pengine upo ne ya nchi lakini bado ukiendelea kuona...
Share:

Aug 9, 2017

KUPATA CHANNELS ZA BURE KWENYE HOTEL/LODGE

 Ili uweze kupata channels za Local ( Tanzania ) kwa kupata habari na vipindi vya nyumbani bila kufanya malipo ya mwezi,hapo hapo kila tv ikijitegemea yenyewe bila kuingiliana na nyengine kwa kila chumba,huku idadi ikiwa kuanzia channel sita ( 6 ) na kuendelea,unapaswa...
Share:

Aug 1, 2017

GHARAMA ZA KUFUNGA CCTV CAMERAS | CCTV CAMERAS INSTALLATION COSTS

Watanzania wengi wanadhani ya kuwa kufunga moja ya mfumo wa ulinzi nyumbani/ofisini ama popote ambapo ungehitaji ni gharama kuubwa na wale kina wenzangu na mie hawawezi kumudu.. hii sio kweli kabisa.. Kila kitu kipo cha bei ya juu na bei ya chini pia huku ubora ukawa unatofautiana...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413