Call / WhatsApp +255673378129

Oct 8, 2014

KIFURUSHI CHA ZUKU ASIA | ZUKU ASIA PACKAGE | TSH 24,000


Jumla ya channel zote zilizopo kwenye kifurushi maalum cha asia:-
Kuna jumla ya channel 27.
Zoom
Star Plus
Life OK
Colors
SAB
B4U Movies
B4U Music
Star Gold
Star jalsh
Zee Punjabi
Zee Cinema
Zee News
Zee Khana Khazana
Zing
MTV India
ET Now
Times Now
ARY News
ARY Digital
ARY Qtv
ARY Zauq
ARY Musik
UTV Movies
Aastha
Aastha Bhajan
Surya tv
Sun tv
More info: +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com

Share:

Oct 7, 2014

STAR TV KWENYE AZAM TV


Swali limekuwa nawezaje kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv!!??
Na hii imetokana na baadhi ya wengine kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv..
Je star tv wameungana na azam tv!!??
Jibu ninaloweza kuwapa ni kwamba star tv haijaungana na azam tv,badala yake kutokana na uwezo wa fundi unaweza ukapata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv..
N.B:Kutokana na uwezo wa fundi!
Soon nitawaletea picha ni vipi inakaa..

Share:

Oct 5, 2014

TUNAWATAKIA EID MUBARAKA..!!

Leo ni sikukuu..ina maana kubwa sana kwa waislam..lakini hii haina maana kuwa inawahusu waislam tu..
Kwakulijua hili tunachukua nafasi hii kuwatakia sikukuu njema watanzania wote na dunia kwa ujumla..
Yeyote atakayepata bahati ya kupitia blog yetu hii salamu hizi zinamuhusu!
Mapumziko mema..!
Share:

KIFURUSHI CHA ZUKU CLASSIC | ZUKU CLASSIC PACKAGE | TSH 18,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku classic:-
Kuna jumla ya channel 69 tv
Channel 55 radio
Zuku Zone
Guest Channel
Citizen
KTN
NTV
K24
Kiss (KE)
EBRU
QTV
Kass tv
UBC
3Stone tv
NBS Uganda
Channel 10
TBC1
Clouds tv
WBS
ITV
MBC tv
Njata tv
Wholesome tv
Zuku Entertainment
EATV
Zuku Max
Zuku Action
Zuku Swahili Movies
AMC Series
Zuku Sports
Zuku Life
BBC World News
Al jazeera (English)
i24 English
TVC News
DW-tv
France 24 (English)
CCTV News
Zuku Kids
Smile of a Child
AMC
Eurosport News
FOX Sports
FOX Entertainment
AMC USA
Shortstv
MSNBC
Baby tv
Duck tv
JamJam
FineLiving
Fashion One
Ginx tv
Magic
Kiss
Smash Hits
Box
MTV Base
i24 French
Vox Africa
Dubai tv
Abu Dhabi tv
Hope tv
Emanuel tv
EWTN
God tv
Family tv
Inspiration tv
Ahlulbayt tv
Peace tv
Safeer tv
Hope Intarnational
Al-erth Alnabawi

KWA HUDUMA | USHAURI | MAFUNDI | PIGA +255789476655
Share:

Oct 3, 2014

BEIN SPORTS KWA TANZANIA


Awali kulikuwa na Abudhab baadae swala la kabumbu likahamia kwa Aljazeera,ambapo sasa ni nafasi ya Bein Sports mfumo wa ulipaji ukiwa ni ule ule na Decoder zitumikazo ni zile zile tofauti yake ni card tu!
Tanzania ni nchi mojawapo kati ya nchi kadhaa walizokuwa wanaangalia kandanda kupitia Decoder hizi!
Nimepokea simu nyingi sana kulizwa kuhusu swala la upatikanaji wa Bein Sports kwa Tanzania na ni kwa nini haipatikani kwa sasa na ni kwanini walihama toka nilesat kwenda badr na mengineyo yanayohusiana na Bein Sports...
Kwanini watanzania wanahaha kuitafuta Signal ya Bein Sports..??
..kutokana na maoni ya wengi ni kwamba..
Inaonyesha mpira live..
Haina malipo ya mwezi,ina ya mwaka na ni nafuu sana..
Hizo ndio sababu kuu mbili za kwanini Bein Sports inahitajika kwa udi na uvumba!
Watanzania lawama zao zote wanawatupia DStv kuhusu kupotea kwa signal ya Bein Sports kwa Tanzania..
AMBACHO LABDA HUKIJUI AMA 7BU KILA MTU ANAVUTIA KWAKE...
Kibiashara hakuna ambaye angependa kuona anapata hasara...
Na kama kuna kanuni za kibiashara lazima zifuatwe ili kila kitu kiende kwenye mstari..
Bein Sports huku hapaswi kuwepo..
mwenyewe wa huku ni DStv...
Lawama ni nyingi kwamba DStv gharama sana malipo ya mwezi..
Sababu kukawa na packages kwakuwa imeonekana watu wanauwezo tofauti wa kipato..
Sio lazima ulipie Premium 142000*
IJAPOKUWA BAADHI YA MIKOA INAPATIKANA HAPA TANZANIA..
Lakini sio kitu chenye uhakika tena kwasababu haitakiwi kabisa huku kwetu..
KAMA WEWE NI MPENZI WA MPIRA..
Piga +255789476655 uunganishwe na DStv kwa tsh 99000/=
Pia unaweza ukalipia package mpya inayoitwa Bomba kwa tsh 17000/=
Yenye channels za Sports kama Super Sport Select 1 na 2 na nyenginezo zaidi ya 65!

Share:

Oct 1, 2014

DSTV BOMBA PACKAGE | CHANNELS 65+ | TSH 19,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Bomba




FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select


SINEMA

Movie Zone
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Maisha Magic BONGO



BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News


 MAKALA

National Geo Wild
DiscoveryFamily
ED
Spice Tv


MAISHA

Fashion TV


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
JimJam
Mindset Learn

KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi  Piga +255789476655

Share:

DSTV TANZANIA YATOA OFFER TSH 99000/=

 




Kwa wateja wapya hii ni habari njema kwako,ambapo sasa unaweza kuunganishwa kwa tsh 99000 tu!
Hii inaanza leo tarehe 1/10/2014 mpaka kuisha kwa strock ya offer!
Kukurahisishia unaweza ukalipia gharama ya usafiri kutokana na umbali uliopo kisha huma ikakufata ulipo!
Ili upate huduma hii piga +255789476655
mustaphamadish@gmail.com

Share:

KIFURUSHI CHA ZUKU POA | ZUKU POA PACKAGE | TSH 13,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku poa:-
Kuna jumla ya channel 53
Zuku Zone
Guest Channel
Citizen
KTN
NTV
K24
Kiss (KE)
EBRU
QTV
Kass tv
UBC
3Stone tv
NBS Uganda
Channel 10
TBC1
Clouds tv
WBS
ITV
MBC tv
Njata tv
Wholesome tv
Zuku Entertainment
EATV
Zuku Max
Zuku Action
Zuku Swahili Movies
AMC Series
Zuku Sports
Zuku Life
BBC World News
Al jazeera (English)
i24 English
TVC News
DW-tv
France 24 (English)
CCTV News
Zuku Kids
Smile of a Child
i24 French
Vox Africa
Dubai tv
Abu Dhabi tv
Hope tv
Emanuel tv
EWTN
God tv
Family tv
Inspiration tv
Ahlulbayt tv
Peace tv
Safeer tv
Hope Intarnational
Al-erth Alnabawi

KWA HUDUMA | USHAURI | MAFUNDI | PIGA +255789476655
Share:

Sep 15, 2014

DECODER YA CONTINENTAL


Niwe mkweli kwakuwa mimi napenda kwanza muonekano mzuri wa picha hivyo inapozungumziwa HD iwe HD kweli na kama hata isiwe HD lakini muonekano wa picha uwe mzuri, king'amuzi hichi ni moja kati ya ving'amuzi vyenye muonekano wa picha mzuri sana kwa zile channel zote zinazomilikiwa na Continental.
Huu ni mwaka 2018 bei kwa sasa ni Tsh ... kwa Decoder ya Antenna na Tsh ....  kwa Decoder ya Dish ikiwa set imekamilika, hapa nikiwa na maana inakuwa na Dish, Decoder, Cable, LNB
Ufundi ni Tsh 30,000/= kwa king'amuzi cha Dish
Share:

Sep 9, 2014

HII NDIO NYUMBA YA VING'AMUZI

Mwaka 2014 ndio huu unaelekea ukingoni ambapo mwakani mwaka 2015 inatupasa nchi nzima tuwe tumeshahamia Digital huku tukiwa tumeondokana kabisa na Analogue!
Ijapokuwa kuigia Digital kulikuwa na misemo mingi,wapo waliunga mkono ambapo idadi kubwa walilalama huku kila mtu akiwa na sababu yake ila wengi wao wakilalamikia uchumi!
Ingawaje malalamiko yalikuwa meengi ila udigital tumeingia na faida zake zinaanza kuonekana.
Kuna kampuni nyingi za ving'amuzi na kwa ujumla zote zinafanya vizuri haina ubishi kuwa kila kampuni ina wapenzi wake kutokana na huduma na channel husika|
Hii Blog ipo toka hapa Tanzania kuna kampuni tatu tu za ving'amuzi DSTV,GTV na EASY TV ijapokuwa mmiliki mwenyewe ambaye ni Mustapha E.Hanya a.k.a Mustapha MaDish yupo toka enzi ya DSTV tu.
Ukomavu wangu kwenye ukanda huu umenifanya niwe msaada mkubwa kwa watanzania na wasio watanzania kwa kuwahudumia kwa mkono wangu ama kwa ushauri tu.
Nipo sahihi sana nikisema kuwa hii ndio nyumba ya ving'amuzi kwakuwa leta kesi ya king'amuzi chochote ikishindikana kwenye mikono yangu ni hakika umefail jumla.
Binafsi najisikia faraja sana kuona mimi nakuwa msaada kwa wengine,kuona wengine wanaendesha maisha yao kupitia mimi,kuona watu wanatamani kuwa kama mimi..
Sina ambacho naweza sema zaidi ya Ahsante Allah kwa kila hatua nipigayo..
Nafikiria kufanya bora zaidi..zaidi ya hili ambalo naliendeleza kwa lengo lile lile kuendesha maisha huku kuwafunua upeo wengine hasa vijana wenzangu..
kama nilikuwa mwanga kuwa mtanzania wa kwanza kufungua Blogsite inayohusu hii taaluma na ikawa ya kwanza kwa Africa mashariki na kati ni hakika nimechonga barabara wacha wengine wapite kiulaini lakini watakuwa wananishukuru si tu kwa kunifuata hata wakiwa peke yao ndani ya nafsi zao watanishukuru kama si kunizungumzia..
Ili ufikie mafanikio lazima ukumbane na changamoto na ndicho kinachotokea..
Nipo kwa ajili ya kuwahudumia watanzania na wasio watanzania,waishio Tanzania na nje ya Tanzania pia..
Niulize leo chochote kuhusu king'amuzi chochote Tanzania..
DSTV
AZAM TV
ZUKU TV
DIGITEK
TING
STARTIMES
CONTINENTAL
EASY TV
Kwa swali lolote liwe la kiufundi ama huduma kwa ujumla!
Kutaka kuunganishwa pia!
Unaweza wasiliana nami:
Kama upo facebook utafanya busara kama utalike page ya mustaphamadish
+255789476655/714973797
mustaphamadish@gmail.com

 
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita