Call / WhatsApp +255673378129

Jul 20, 2017

BreakingNews toka DStv!!


Wale wapenzi wa mieleka hii imekaaje kwenu!!!!??
Supersport imeingia mkataba mpya na WWE wa kuonyesha michuano yake yote LIVE bila kukosa. Supersport itarusha WWE Flagship shows ikiwemo Raw na Smackdown, WWE specials ikiwemo WrestleMania na SummerSlam.
Msimu huu utakaonza rasmi tar 28 Agasti, mambo ni moto!
  Michuano hii itaonekana kuanzia SuperSport channels S3, S4, S9 na SS10. Ikiimaanisha kuanzia kifurushi Bomba cha sh.19,975 tu!
Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

Jul 18, 2017

UKITAKA KUNUNUA KING'AMUZI | ZINGATIA HAYA!



Pamoja na makampuni ya Ving'amuzi kujitahidi kutoa matangazo lakini bado kila leo wadau mnaangukia katika mikono isiyo rasmi na matokeo yake mnapata usumbusu msiopaswa kuupata!
Leo niwarahisishie kitu kwa wale wateja wapya.. mnaotaka kununua king'amuzi ( Ving'amuzi ) mnapaswa kuzingatia mambo muhimu matano ( 5 ) ili usipate usumbufu kwa Ving'amuzi hivi vilivyo kwenye orodha:-
  Kwa kubofya king'amuzi husika naamini umepata maelezo ya kina na post hii imekuwa msaada mkubwa kwako.. ikiwa umesoma post hii na bado ukapata usumbufu kwenye kununua itakuwa umejitakia mwenyewe!

KWA MAELEZO ZAIDI
Instagram @mustaphamadish
Piga +255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

Jul 10, 2017

UNAWAJUA WAHENGA WA HIZI KAZI!?


Neno MUHENGA sio neno geni isipokuwa siku hizi ndio umekuwa msemo... Hapa namkumbuka mwalimu wangu wa lugha moja kati ya aliyowahi kunifundisha ni ile misemo ambayo inakuja na kupotea ingawaje sio misemo migeni.. mfano ulio hai ni hili la WAHENGA!!
Neno WAHENGA ni Msamiati maana yake ni watu wa zamani ama watu waliokuwepo zamani...
Watu hawa huwa na busara,hujua vitu vingi sana kwakuwa wamepitia mengi kwa maana hii Muhenga akikuelekeza kitu ni mara chache kwenda wrong mara nyingi huwa sahihi!!
Kwa uchache huu nina kila sababu ya kusema sisi ni wahenga kwenye ulimwengu huu wa Digital.. maana tupo toka muda ambao watu hawajalazimishwa kuingia kwenye ulimwengu wa Digital enzi ya Analogue..
Kipindi ambacho Signal finder hazipatikani kwa urahisi..
Kipindi ambacho unatafuta signal ya C band unatoa tv nje..
Kipindi ambacho unaweza kwa mwezi ukafunga Dish za C band ( Dish kubwa ) 16 na KU ( Dish ndogo ) ukafunga 2..
Muhenga wa mwisho kama ulikuwa fundi na ukafunga Gtv

UNATAKA KUHUDUMIWA NA MOJA YA WAHENGA WA DIGITAL!?
+255789476655
Share:

Jul 7, 2017

UKITAKA KUNUNUA KING'AMUZI CHA AZAM TV | ZINGATIA HAYA!




NB: Bei zimebadilika, ili kujua bei mpya na offer zilizopo Whatsapp +255658046655
Moja ya king'amuzi kilichokubalika kwa muda mfupi sana na kuzoa wateja wengi ndani na nje ya Tanzania.. Hiki ndicho king'amuzi pekee mpinzani mkubwa wa DStv.. Azam tv wamejua ni nini wadau wanataka hasa watanzania ingawaje wahajafikia katika ile hatua ya kukata kabisa kiu ya watazamaji isipokuwa angalau wameonyesha ujio mzuri hivyo kimtazamo mambo mazuri zaidi yatakuja hapo baadae..!
Uzuri wa King'amuzi cha Azam tv unadhihirisha kwenye mauzo kila leo wadau wananunua king'amuzi cha Azam tv na wakati mwengine huwa mpaka upatikanaji wake inakuwa tabu kutokana na ile strock kuisha makao makuu hivyo Wakala wanakosa strock.hupelekea wakala walio na strock kuuza bei isiyo rasmi... Ila hili la kuuzwa kwa bei isiyo rasmi lipo sehemu nyingi sana hasa kwa wakala wasio idhinishwa kwakuwa wao hawanunui kwa bei kama wakala wao nao wananunua kwa mawakala kama wateja wa kawaida hivyo anauza bei juu ili aweze kupata faida.. na wakati mwengine wakala walioidhinishwa huuza bei juu tofauti na bei elekezi...
Hivyo ukitaka kununua king'amuzi cha Azam tv zingatia mambo haya:-
  • Ujue bei elekezi ya kununua king'amuzi ( Bei ya kampuni ) - Ambayo ni Bofya hapa
  • Ujue bei ya vifurushi - Kujua bei ya vifurushi Bofya hapa
  • Unapata Fundi aliyeidhinishwa - Kupata Mafundi wa Azam tv Bofya hapa
  • Ujue Wakala aliye karibu na wewe - Kujua wakala aliye karibu yako Bofya hapa
  • Unapata mawasiliano ya makao makuu ili iwe msaada kwako kama utapata tatizo lolote - Kupata mawasiliano ya Makao makuu Azam tv Bofya hapa
KWA MAELEZO ZAIDI
+255784378129
Share:

Jul 6, 2017

UKITAKA KUNUNUA KING'AMUZI CHA DSTV | ZINGATIA HAYA!


NB: Bei zimebadilika, ili kupata bei mpya na offer zilizopo Whatsapp+255784378129 ama text / Piga 0789476655
Wakongwe wa Digital hawa hapa na bado wanaendelea kufanya vizuri sana!
Leo niwakumbushe kitu kwa wale wateja wapya wanaotaka kujiunga na DStv mnachopaswa kufanya ili usijutie kwa maamuzi yako sahihi ya kujiunga na DStv.. Ifahamike ya kuwa Multichoice Tanzania ( DStv ) wamekusogezea huduma kwa kuweka wakala karibu na wewe ambao wanapaswa kutoa huduma kama ile inayotolewa makao makuu nikiwa na maana katika kiwango kile kile cha bei na huduma kiujumla..
Hivyo sio lazima ukitaka kujiunga na DStv uende makao makuu laa..
Unachopaswa ni kuzingatia haya:-
  • Ujue bei elekezi ya kununua king'amuzi ( bei ya kampuni ). Ambayo ni Bofya hapa.
  • Ujue bei za vifurushi. Kujua bei na vifurushi Bofya hapa.
  • Hakikisha unapata fundi aliyeidhinishwa. Kupata mafundi wa DStv Bofya hapa.
  • Ujue wakala aliye karibu na wewe. Kupata wakala wa karibu Bofya hapa.
  • Upate mawasiliano ya makao makuu kama itatokea ukapata huduma ndivyo sivyo iwe rahisi kupata msaada. Kujua mawasiliano ya makao makuu Bofya hapa.
KWA MAELEZO ZAIDI KUWA HURU KUWASILIANA NASI 
+255789476655

Share:

Jul 5, 2017

KUFUNGA DSTV HOTELINI | DSTV INSTALLATION IN HOTEL

Pengine umeshahi kwenda kwenye Hotel ( nyumba za wageni ) na ukakuta kwenye tv ya chumbani kwako kuna channel za dstv zaidi ya moja na unabadili kupitia remote ya tv husika bila kuona king’amuzi kilipo,mfumo ambao wadau wengi waliutamani uwezekane hata majumbani wanapoishi…!!
Unajenga ama umeshajenga Hotel, Lodge ama Guest na ungependa kufunga king’amuzi cha DStv na kuweza kupata mfumo sahihi kwa wateja wako.. Fuata utaratibu huu:-

  • ·         Piga simu +255789476655 na ujieleze kuhusu jengo lako ili uweze kupata utaratibu  wa awali ( Mf:Kupata wataalamu wa kuja ku survey/Kupata Mafundi,n.k )
  • ·         Unachagua unataka channel ngapi/gani? Idadi ya channel utakazo unazigeuza kuwa Decoder ( Mf: unataka channel 10, unapaswa kununua decoder 10 )
  • ·         Unalipa kutokana na idadi ya tv/room
  • ·         Vifaa muhimu vinavyotakiwa
o   Coaxial Cable
o   Dish pic 1
o   Decoder idadi ya channel utakazo
o   Lnb pic 1
o   Multiswitch
o   Splitter
o   F connectors
o   Male Connector idadi ya tv
o   Signal Amplifier
  • ·         Lazima utenge chumba ( Control room ) ambapo ndipo decoder zote zitafungwa hapo.



Kujua chochote kinachohusu jinsi ya kufunga DStv kwenye Hotel/Lodge/Guest/n.k Tupigie +255789476655


Share:

Jul 1, 2017

ELECTRIC FENCE

Electric Fence kiwandani.

 Electric Fence kwenye Makazi.
Ni katika kuhakikisha sehemu yako na mali zako kiujumla zinabaki salama kwa kuweka ulinzi na mfumo wa ulinzi mmojawapo ni huu wa uzio wa umeme!
Electric fence unaweza ukafunga kwa kutumia aina tatu ya vyanzo vya umeme:-
  • Kwa kutumia Solar
  • Kwa kutumia Betry
  • Kwa kutumia umeme wa kawaida
Siku za usoni nitawafafanulia kwa kila njia na njia ipi ni nzuri zaidi ili uweze kujilinda na kulinda mali zako kiujumla!

Kwa Mahitaji ya kufungiwa Electric Fence, CCTV Cameras na TV System popote ulipo wewe kwa mkoa wowote Tanzania!
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

OFFER ZA VING'AMUZI MSIMU WA SABA SABA


Kwa wale ambao mpaka leo hamjanunua bado Ving'amuzi,tumeingia msimu mwengine wa Offer ili tu kukuwezesha wewe usie na king'amuzi mpaka leo uweze kununu!
  • Bei ya Azam tv Bofya Hapa
  • Bei ya Continental Bofya Hapa
  • Bei ya DStv Bofya Hapa
  • Bei ya Digitek Bofya Hapa
  • Bei ya StarTimes Bofya Hapa
  • Bei ya Zuku tv Bofya Hapa

NB:Offer hii ni kama utanunua kwenye viwanja vya sabasaba pekee!
+255789476655
Share:

Jun 26, 2017

ONDOKANA NA WINGI HUU WA MADISH..!

 Hapa ni kwenye jengo la Dar Free Market. 
Hizi ni baadhi tu ya dishi zilizopo hapa,kutokana na taaluma tuliyonayo haikupaswa kufungwa dishi zote hizi...!
Awali ilikuwa Antenna zile za kawaida zilikuwa zinaonekana kama uchafu pindi zikaapo nyingi jengo moja,pia na jinsi zilivyofungwa kutokana na kila mtu na ufundi wake na aina ya Antenna yake..!!
Leo picha ile imehamia kwenye madishi.. si tu kuonekana kama uchafu kwenye jengo moja yanapofungwa madish zaidi ya kumi na mbaya zaidi yote yanaweza kuwa ya kampuni moja..
Na ukija kwenye swala la kiufundi ndipo mwenye jengo ukipata bahati ya kutembelea yalipofungwa hayo madishi utatamani kutoa katazo yasifungwe tena madishi na yaliyokuwepo yatolewe maana wasije wakakuangushi jengo lako....Maana mafundi kina sie tukipewa uwanja wa kujichagulia pa kufunga dishi wee...!!
Sasa solution sisi tunayo ambayo itaondosha wingi ama uchafu wa madishi katika jengo lako..
Tunachofanya ni kufunga dishi moja ambalo litabeba ving'amuzi vya jengo zima..kama ni wapangaji wako watakachopaswa kufanya wao ni kuja na ving'amuzi vyao tu na wanapohama wanahama na ving'amuzi vyao tu...
Hii unaionaje..!?
Kwa maelezo zaidi tupigie:
+255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita