Call / WhatsApp +255673378129

Aug 31, 2015

SPORT PLUS | TSH 14,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha ziada cha Sport plus:-
Kuna channel 4!



SPORT ARENA
SPORT PREMIUM
SPORT LIFE
WORLD FOOTBALL


MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 24, 2015

STARTIMES CHANNELS | KIFURUSHI CHA SUPER TSH 36,000

Malipo: Kwa mwezi Tsh 36,000
Kwa wiki Tsh 12,000
Kwa siku Tsh 3,600
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Super:-
Kuna zaidi ya channel 95!



Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama
ST One
St Yoruba
AMC Series
AMC Movies
ST Africa 2
ST Novela E1
St Novela E Plus
St Nollywood Plus
ST Series E1
ST Movies 1
St Movies Plus
ST Gold
ST Bollywood Africa
ST Bollywood
Z Cinema
FOX Life
FOX
Star Life
Star Gold
E. Stars
Mambo Tv

Burudani
ST Kung fu
St Rise
St Sino Drama
St Africa
Glow Tv
Colors
Magic 1 HD
E.tv
Startimes Real Time

Burudani za Kiafrika
 Citizen tv
 St Dadin Kowa
TBC 2
NTV Uga.
NTA Ke.
NBS
Silverbird
Sanyuka Tv
Orisun
Farin Wata
K24
Bukedde 2
KTN
Ebony Life
Wap Tv
ST Swahili

Michezo
ST Sports Arena
ST Sports Focus
FOX Sports
FOX Sports 2
FOX Sports Life
ST Sports Premium HD
ST World Football HD
Eurosports News
ESPN
ESPN 2
Fuel Tv

Habari
CGTN
BBC World News
Al jazeera
France 24
NTA News 24
CGN F
Telesur Africa
CCTV 4
Bloomberg Tv
TVC News
CNC World
MSNBC
FOX News


Makala
 Safari tv
Animaux
CGTN Documentary
Nat Geo Wild
Viasat History
Nat Geo Channel
Discovery Family
Discovery Science
Viasat Explore
ID
Love Nature
Smith Sonia

Watoto
Smile of a child
Mindset learn
Nickelodeon
JimJam
Baby Tv
Bloomberg Tv
St Kids
Da Vinci

Chaneli za Nyumbani
 TBC 1
Channel Ten
Safari Tv
Wasafi Tv
Clouds Tv
EATv
ITV
STAR TV
TV E

Dini
Tumaini Tv
Emanuel Tv
ST Gospel
Gospel Music Tv
Dove Tv
Iqraa Tv
Upendo Tv
EWTN
Madani Channel
Salam Tv

Muziki
ST SA Music
Trace Mziki
Clouds Tv
Nigezie
St Naija
Wasafi Tv
ST Soul
Classica

Staili za Maisha
Fine Living
Fashion One
E! Eng.
Real - Time

ZINGATIA:Washa Kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Instagram natumia @mustaphamadish
MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES 
Call / Whatsapp +255789476655
 
Share:

Aug 17, 2015

STARTIMES CHINESE PACKAGE | KIFURUSHI CHA WACHINA | TSH 43000

  Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Chinese:-
Kuna zaidi ya channel 84 zikijumuisha na channel zote zilizopo kwenye kifurushi cha Smart!
 
 
samahani post hii haijakamilika..
itakamilika hivi punde....
 
 
 
 
KWA HUDUMA |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 13, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM SPORT | AZAM SPORTS PACKAGE | TSH 15,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam sports HD:-
Kuna jumla ya channel 4 kwa sasa 
  1. Azam sports HD
  2. Liverpool tv
  3. Real Madrid tv
  4. Manchester tv 

Share:

Aug 12, 2015

AINA YA DECODER ZA CONTINENTAL





MODEL TYPE: HIGH DEFINITION H 264 T2 SET TOP BOX
MODEL NUMBER : TT2-5173
PRICE: 95,000/=
ACCESSORIES: FREE INDOOR ANTENNA

FEATURES:

  • MPEG2/MPEG4/H.264 High Definition resolution
  • Fully DVB –T2/T/C compliant
  • Record live TV to USB 2.0 through flash disk or external hard disk
  • Pause/resume live TV ( timeshift)
  • Instant recording
  • Scheduled recording via EPG
  • 7 Day electronic program guide ( EPG)
  • HDMI/Component/Composite Outputs
  • S/PDIF Output
  • Aspect ratio adjustment 4:3/16:9
  • Subtitle and teletext
  • Parental lock function
  • Create favorite channels list
  • Upgrade software by air.



MODEL TYPE: DVB ( DIGITAL VIDEO BROADCASTING )
MODEL NUMBER: CDM O3
PRICE: 105,000/= WITHOUT DISH
150,000/= WITH 60CM DISH AND 155,000/= WITH 75CM DISH

FEATURES:

  • SD MPEG -/HD H.264 & fully DVB – T compliant
  • Automatic PAL/NTSC conversion
  • 400 channels TV and Radio programmable
  • 4 different favorite groups selection
  • On screen display with multi-language
  • Fully support to 7 days Electronic Program Guide ( EPG)
  • PICTURE IN GRAPHICS ( PIG) support
  • 256 colors On screen display
  • Channel search in automatic and manual search
  • Various channel editing functions ( favorite, move, lock, rename and sort)
  • Parental control for channels
  • Ease to use Menu system
  • Software upgrades though USB port
  • Time set by GMT offset automatic and manual, summer time support
  • Automatic turn on/off by timer setting ( multiple options)
  • Subtitle support DVB EN300743 and EBU
  • Teletext support DVB ETS300472 by VBI and OSD
  • Automatic save for last channel
  • Support logic channel number ( LCN)
  • Teris, Othello, Sudoku
  • Support FAT16/FAT32/FAT12,NTFS ( Option)
  • MP3/JPEG/BMP/OGG files
  • Default 2 hours, user can setting the end time (Support subtitle), record scramble program and descramble program.
  • Lock/Delete/Rename, Preview playback, Browse record files information
  • Play/Pause/Stop/Step
  • Fast forward/fast backward 2/4/8/16/24,
  • Slow forward/slow backward 1/2,1/4,1/8
  • Bookmark set/Bookmark jump





MODEL TYPE: CDM-03 HYBRID DTT
PRICE: TZS. 105,000

Specifications:

  • High Definition.
  • USB PVR function.
  • EPG.
  • Digital Display.
  • HDMI output / RCA output.
  • Menu Functions.
  • Standard accessories: Remote control, RCA cable, Manual.
  • Remote control batteries, Indoor antenna*
  • One year warranty.
* S2 works with KU Band dish antenna size 65 cm & above.






MODEL TYPE : CDM 04
PRICE : 95,000/= without dish
145,000/= with 60 cm dish
150,000/= with 75cm dish

FEATURES:

  • DVB-S/S2
  • Record Live TV to USB 2.0 External Devices
  • Pause/Resume Live TV( Time shift )
  • Instant recording
  • Record from the EPG
  • 1080p High Definition Resolution
  • 8 Day Electronic Program Guide ( EPG)
  • HDMI/Composite Outputs
  • Aspect Ratio Adjustment 4:3/16:9
  • Subtitles
  • Parental Lock
  • Create favorite channels list.
KUJUA CHANNEL ZILIZOPO bofya hapa
 
 TECHNICAL SUPPORT +255789476655
Share:

Aug 10, 2015

STARTIMES INDIAN PACKAGE | KIFURUSHI CHA KIHINDI | TSH 18000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 8!


BOLLYWOOD HD
STAR GOLD
STAR PLUS
ZOOM
TIMES NOW
ST PLUS
ZEE CINEMA
ZEE TAMIL

MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 9, 2015

EPUKA USUMBUFU | ILI USIJUTE KIFURUSHI ULICHOLIPIA


KUTOKA KWANGU KUJA KWENU:
Imezoeleka hii tabia hasa kwa wateja wa DStv na Azam tv wale ambao wenzangu na mie yaani wachumi sanaa! Ambao sijajua vizuri kuwa wanajua sana thamani ya pesa zao ama ni nini!?
Ila hii nadhani uswahili pia unahusika katika hili!
WATEJA WA AZAM TV:
                         Utakuta kama hakuna mpira mtu haangaiki kulipia king'amuzi chake anangoja inapofikia either kuna mechi kubwa ama ligi inaanza ndipo anataka kulipia hii siwezi kusema si sahihi kwakuwa pengine mapenzi ya mteja ni mpira tuu na ndo maana hakuna malipo ya ziada hata kama hujalipia miezi mingapi ila wanachoanguka wengi ni kushindwa kujua wanapaswa kulipia wakati gani!?
Kama ligi ama mechi unayotaka kuangalia inaanza leo inakupasa ulipia alau siku mbili kabla ya leo ili kuondoa usumbufu kama haitakuwa imefunguka katika kufatilia ili ufunguliwe lakini wengi wenu mnachofanya kama ni mechi leo saa 8 mchana wenyewe mnalipia leo hii hii tena saa 6 mchana kwa kutegemea saa 8 mchana itakuwa imeshafunguka,matokeo yake hakuna ambacho utapata zaidi ya karaha na kujikuta unazungumza maneno yote unamaliza na kuponda huduma za azam tv kwa nguvu zote kumbe uzembe ni wako mwenyewe.
Pengine uliwahi kulipia kwa mtindo huo na ikafunguka si wakati wote itafunguka wakati mwengine system inashindwa kufanya kazi ipasavyo na muda huo simu zote zinakuwa zipo bize kutokana na idadi ya wateja wengi wanafanya ambacho wewe umefanya.
WATEJA WA DSTV:
                         Mfano wa jana tu,simu zangu zote zilikuwa bize kwakuombwa kutoa msaada wa kuwafungulia wateja wa dstv ambao wamelipia lakini hakuna wanachoona,wengine walitoa ya moyoni kuwa tayari wameshajaza wateja kwenye sehemu zao wanazoonyesha mpira lakini bado hakuna kinachoonekana matokeo yake wanalalama watapigwa watu wameshatoa pesa zao!
Hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa kuonyesha mpira kwanini usilipie kabla ya siku ya mpira ili kuondoa usumbufu!? Hivi unajua ukiwa mbabaishaji unapoteza hao wateja wako?
Pia kama unahama kifurushi ni lazima ulipia kifurushi unachotaka then unapiga simu ili ubadilishwe hicho kifurushi unachokitaka lakini nawe unangoja siku ya mpira ndo ufanye hivyo!
ANGALIZO:
                Hakuna siku ambayo kampuni za ving'amuzi si DStv si Azam zinakuwa bize kama siku za kuanza kwa mpira,hii si kwenye simu zao hata kwenye ofisi zao na wakati mwengine hata system inaelemewa.
USHAURI WANGU KWAKO:
                                   Lipia king'amuzi chako siku mbili kabla ya mechi ama tukio unalokusudia kuangalia hii itapelekea kuondokana na usumbufu,bila kufanya hivyo utaona huduma za king'amuzi husika hazifai kumbe wewe ndiye hufai.
WhatsApp+255658046655|+255784378129

Share:

Aug 2, 2015

STARTIMES CHANNELS | KIFURUSHI CHA SMART TSH 21,000

Malipo:Kwa mwezi ni Tsh 21,000
Kwa wiki ni Tsh 8,000
Kwa siku ni Tsh 2,100
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Smart:-
Kuna zaidi ya channel 65!



Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama
AMC Series
AMC Movies
ST Novela E1
ST Bollywood Africa
Z Cinema
FOX Life
Mambo Tv
Star Life
E Stars
St Yoruba

Burudani
ST Kung fu
St Rise
Magic 1 HD
E.tv
Startimes Real Time

Burudani za Kiafrika
St Swahili
St Dadin Kowa
TBC 2
NTv Uga.
NBS
Silverbird
Sanyuka Tv
Orisun
Farin wata
K24
Bukedde 2
KTN
NTv Ken.
 Citizen tv
 Wap Tv

Michezo
ST Sports Arena HD
ST Sports Focus
ESPN 1

Habari
CGTN
BBC World News
Al jazeera
France 24
TVC News
CNC World
Africa News
NTA News 24
CGNT F
Telesur Africa

Makala
 Safari tv
Animaux
CGTN Documentary
Nat Geo Wild
Love Nature

Watoto
St Kids
Smile of a child
Mindset learn
Nickelodeon
JimJam
Da Vinci

Habari na Burudani
 TBC
Tv 1
Clouds Tv
EATv
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E

Dini
Tumaini Tv
EWTN
Salam Tv
Emanuel Tv
ST Gospel
Gospel Music Tv
Madani Channel
Dove Tv
Iqraa Tv
Upendo Tv

Muziki
ST Music
Nigezie
St Naija
Trace Mziki
Wasafi Tv
Clouds Tv

Staili za Maisha
Fine Living
Fashion One
Face Tv
E! Eng


ZINGATIA:Washa Kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Instagram natumia @mustaphamadish
MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES 
Call / Whatsapp +255789476655
Share:

Aug 1, 2015

MAWAKALA WA AZAM TV MIKOANI


AZAM TV ARUSHA:
BENSON&COMPANY
Sokoine rd
0272548447

LEO INVESTMENT
Sokoine rd
0754278787

GADGE TRONIX
Block 1,Seth Benjamin rd
0712007170

AZAM TV BAGAMOYO:

AZAM TV BUKOBA:
MEHTA&COMPANY
Bukoba mjini,Market/Sokoni str.
0764818181

AZAM TV DODOMA:
F&N TECHNOLOGIES CO. LTD
Dodoma kuu str opp mkuu wa mkoa zamani.
0719750454

ILONGAZALA ELECTRICAL
Kongwa bus stand,Kongwa district
0787711177

AZAM TV GEITA:

AZAM TV IRINGA:

AZAM TV KAHAMA:

AZAM TV KIGOMA:

AZAM TV LINDI:

AZAM TV MBEYA:

AZAM TV MOSHI:

AZAM TV MOROGORO:

AZAM TV MTWARA:

AZAM TV MUSOMA:

AZAM TV MWANZA:

AZAM TV NJOMBE:

AZAM TV SHINYANGA:

AZAM TV SINGIDA:

AZAM TV SONGEA:

AZAM TV SUMBAWANGA:

AZAM TV TANGA:

AZAM TV ZANZIBAR:
     JUDAS
Ahmed Karama
Mlandege near Quality Supermarket
0772838353

    LUNINGA
J.L PONCET-MONTAGE
Kilimani rd,Airport rd
0777414505

MIKOA MENGINE NITAWALETA CONTACT ZAO PUNDE KWA MAELEZO ZAIDI
PIGA +255789476655

Share:

TUMERAHISISHA | THAMINI UWEPO WETU | ZINGATIA MUDA


TUMERAHISISHA..
                         Upatikanaji wa taarifa na huduma kwa ujumla kuhusu ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania na nje ya Tanzania,baadhi ya ving'amuzi ni;-
                          DStv,Azam tv,Zuku tv,Startimes,Digitek,Continental,Ting,n.k
Tunajua kiundani kuhusu ving'amuzi vyote,hivyo huwa tunatoa ushauri wa kina kuhusu king'amuzi gani kizuri kwa mapenzi ya channel utakazo tukizingatia ubora wa huduma na king'amuzi husika!
Ambacho tunajivunia hakuna aliyepitia kwetu akajuta kwakuwa huwa tunasimamia ukweli na ubora katika kumshauri mtu kufanya maamuzi ya kununua king'amuzi.
THAMINI UWEPO WETU..
                         Ingawaje tupo kazini ila kwa 70% tunachokifanya ni kukurahisishia wewe na ukizingatia ni mapenzi yetu kwa ukanda huu hivyo basi inakupasa uthamini uwepo wetu kama ambavyo tunathamini uwepo wenu.Wapo mnaodhani tupo kwa ajili ya kupata pesa tu lakini ukizama utajua ninachomaanisha,leo hii tuna base kubwa si Tanzania tu wala Africa,sizungumzii Africa mashariki pekee tupo na wadau mpaka state wanajua Mustapha Madish anafanya nini na team kazi yake,Napata simu toka kwa wadau toka ndani ya Dar es salaam,nje ya Dar na nje ya Tanzania pia si kila anayenipigia simu anataka kununua king'amuzi ama si kila anayetembelea blog yetu anataka king'amuzi,wapo wanaotaka kupata ushauri,wapo wanaotaka kujifunza zaidi,wapo ambao wanatoa pongezi ila pia wapo wanaotaka huduma pia,tumeshafanya kazi na wadau wakiwa nje ya Tanzania kiunganishi ikiwa hii blog.Hakuna kampuni ya king'amuzi kwa hapa Tanzania kinachofanya tunachofanya..
Kupiga simu ukiwa ulipo kuchagua king'amuzi kuja kufungiwa na malipo unafanya ukiwa hapo hapo ulipo baada ya huduma
Kupewa msaada wa awali kujisaidia mwenyewe kabla ya fundi kuja kwako kufanya kazi ili umlipe.
Kupewa service bure ndani ya miezi mitatu bila malipo yeyote baada ya kufanyiwa Installation/Repair na Mustapha MaDish

ZINGATIA MUDA..
                      Hapa kunaleta shida kidogo naomba nitilie mkazo sana,namba zote zinazoonekana kwenye blog unaweza ukapiga na ukapata msaada ama ukitaka lazima uongee na Mustapha MaDish omba kufanya hivyo na utaunganishwa nae kama ikiwa aliyepokea si Mustapha MaDish.
Piga simu kuanzia saa mbili kamili asubuhi ( 08:00 ) hadi saa mbili kamili usiku ( 20:00 ).
SMS...
        Ikiwa unahitaji msaada wa aina yeyote/huduma yeyote jitahidi usitume sms badala yake upige simu,sms iwe whatsapp ama ya kawaida.Isipokuwa kama itatokea umepiga na tukakutumia sms kama utume sms ama upige baada ya muda hapo unaweza ukajibiwa text zako izingatiwe tu si kwa wakati wote,hii inatokana na ukweli kwamba tunapokea text nyingi sana hivyo sizote tunazoweza kujibu hasa kwa wakati,ukihitaji huduma kwa wakati piga simu.
EMAIL..
        Zinapokelewa na kujibiwa pia kwa wakati hivyo unaweza kutuma bila shaka.

PIGA SIMU SASA +255714973797
Share:

Jul 22, 2015

HOTEL TV SYSTEM INSTALLATION

TV INSTALLATION
Mapendekezo ni ya mteja kwa maana mmiliki wa hotel/sehemu yeyote husika 
kwamba tv zikae ukutani ama mezani,kazi yetu ni kutoa ushauri kwa jinsi mazingira yalivyo,je muonekano mzuri ni upi tv kukaa mezani ama ukutani? ingawaje mara nyingi tv kukaa ukutani ndo huwa zinapendeza na salama pia.

CHANNELS INSTALLATION
Tunatoa nafasi kwa muhusika kusema channel anazotaka ambazo angependa kuziona zinapatikana,pia tunatoa ushauri kwa channel atakazo kama zimejitosheleza ama kuna umuhimu wa kupunguza ama kuongeza kutokana na uzoefu tulionao tunajua mapenzi ya wateja wengi wa hotel/office n.k. kwa channel zinazopendwa sana!
- Control room
Hapa tunahifadhi channel zote tunazohitaji,kisha tunazisambaza kwenye tv zote zilizopo kwa ubora mmoja nikiwa na maana quality ya picha ni moja kwa tv zote hata zikiwa 100.

- Remote Control
Kwa kila tv iliyopo kwa kila chumba itajitegemea kubadili channel kwa kupitia Remote ya tv husika bila kumbugudhi anayeangalia tv nyengine.

PROJECTOR INSTALLATION
Kama ilikuwa hujui Projector inatengenezwa kwa masaa maalum,nikiwa na maana ya kuwa mathalani projector imetengezwa  itumike kwa masaa matano ( 5 ) yakitimia masaa matano hakuna njia ya kurenew yale masaa kwa lugha nyepesi itakulazimu ununue projector nyengine.Tupo kwa ajili ya kutoa ushauri na kukufungia pia popote panapostahili.

REPAILING
Inapotokea unakutana na ujumbe mmojawapo kati ya hii ifuatayo jua ya kuwa fundi anahitajika,inaweza kuwa kiushauri ama kiufundi zaidi kwa fundi kufika eneo husika.Ila kwa ushauri wa awali angalia cable yako ipo sawa? angalia je connector yako imekaa sawa? kwa upande wa Receiver/Decoder/tv ama kutoka kwenye Dish ama chanzo chochote cha channel!
- Bad Signal
- Signal Weak
- No Signal
- No Channel
- No Program
- No Service
- Searching for Signal

BAADHI YA KAZI ZA HOTEL TULIZOFANYA:-
- Bahari Lodge
- JB Belmont
- Geraffe View Hotel
- Transit Motel

UZOEFU:-
Yapata miaka nane ( 8 ) Mustapha MaDish nimejikita ukanda huu,nafunga Dish Antenna aina zote kwa channel za bure na kulipia,nadeal na receiver/decoder aina zote,nina team kazi yenye vijana wenye uzoefu unaozidi miaka miwili kwenye taaluma ya ufundi.
Nimefundisha vijana wapatao 17 ambao kwa sasa wanaendesha maisha yao kupitia taaluma hii wengine wakiwa wameajiriwa Multichoice Tanzania ( DStv ) na wengine makampuni mengine.
Najua kiundani kuhusu ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania.


UNA SWALI..?
UNAHITAJI HUDUMA..?
MSAADA ZAIDI..!
PIGA SIMU +255 784378129

Share:

Jul 21, 2015

MBUYU TWITE | AZAM TV & DSTV


Baraka za mikono salama,kazi nzuri kwa wengine imefanya nifike kwa huyu jamaa tegemezi la timu ya young African Mbuyu Twite,tumefunga DSTV na AZAM TV pia!


+255789476655
Share:

Jul 18, 2015

UPO FACEBOOK !!!???



Je blog yetu imekusaidia kwa kiasi fulani,kwa kukupatia maelezo kwa wakati na kwa kina kuhusu ving'amuzi bila kuchagua ama je blog yetu imekusaidia kukuwezesha kupata huduma ya kununua na kufungiwa king'amuzi kwa wakati? Ama imekusaidia kupata mafundi wa kukufungia king'amuzi chako kwa ubora stahiki!
Una maoni yeyote ili tu tuweze kufanya vizuri zaidi ama una la kutukosoa pale tulipoteleza!?
Tupo hapa kupokea yote bila kubagua lolote kwetu ni msaada wa kutufikisha tunapofikiri!
Swali langu je upo FACEBOOK !? kama ndivyo Bofaya Hapa kisha like page yetu ili uweze kuwa miongoni mwa wadau wetu watakaopata chochote kipya kuhusu king'amuzi kwa wakati ama pia waweza kutuandikia chochote na tukakifanyia kazi kwa wakati hata kama haitakuwa umepiga simu.

Share:

Jul 15, 2015

KING'AMUZI KITAKACHOONYESHA KOMBE LA KAGAME 2015

Ni kiu ya wapenzi wengi na maswali yakiwa yanazidi kila kukicha ya kuwa ni king'amuzi gani na kifurushi gani kitaonyesha CECAFA 2015 kombe la Kagame.
Wala nisikupotezee muda jibu ni DStv.
Kama utalipia kifurushi cha Compact Plus utaweza kuona hizi mechi kwa raha bila kukosa hata moja ikiwa live bila chenga!
Na hii ndio ratiba ya mechi:-

Date:18-Jul-15
APR vs Shandy
13:30
SS9 / Select 2

Date:18-Jul-15
Yanga vs Gor Mahia
15:55
SS9 / Select 2

Date:19-Jul-15
Adam City vs Malakia
13:30
SS9 / Select 2

Date:19-Jul-15
Azam FC vs KCCA
15:55
SS9 / Select 2

Date:20-Jul-15
Telecom vs Khartoum-N
13:30
SS9E / Select

Date:20-Jul-15
Gor Mahia vs KMKM
15:55
SS9E / Select

Date:21-Jul-15
Shandy vs LLB AFC
13:30
SS9E / Select

Date:21-Jul-15
Hegaan FC vs APR
15:55
SS9E / Select

Date:22-Jul-15
KCCA vs Adam City
13:30
SS9E / Select

Date:22-Jul-15
Telecom vs Yanga
15:55
SS9E / Select

Date:23-Jul-15
Hegaan FC vs Shandy
13:30
SS9E / Select

Date:23-Jul-15
APR vs LLB FC
15:55
SS9E / Select

Date:24-Jul-15
Khartoum-N vs Gor Mahia
13:30
SS9E / Select

Date:24-Jul-15
KMKM vs Yanga
15:55
SS9E / Select

Date:25-Jul-15
KCCA vs Malakia
13:30
SS9 / Select 2

Date:25-Jul-15
Adam City vs Azam
15:55
SS9E / Select 2

Date 26-Jul-15
Gor Mahia vs Telecom
13:30
SS9E / Select 2

Date 26-Jul-15
Yanga vs Khatoum-N
15:55
SS9E / Select 2

Date 28-Jul-15
Q/Final 1 (B1 vs A3)
13:30
SS9E / Select

Date 28-Jul-15
Q/Final 2 (A1 vs Best Qualifier)
15:55
SS9E / Select

29-Jul-15
Q/Final 3 B2 vs C2
13:30
SS9E / Select

29-Jul-15
Q/Final 4 C1 vs A2
15:55
SS9E / Select

31-Jul-15
S/Final 1 (w-qf3 vs w-qf4)
13:30
SS9E / Select

31-Jul-15
S/Final 2 (w-qf1 vs w-qf2)
15:55
SS9E / Select

02-Aug-15
3rd and 4th Play-off
13:30
SS9E / Select

02-Aug-15
Final:
15:55
SS9E / Select

Mechi zote zitaonyeshwa live!

MSAADA +255789476655
ZINGATIA:muda wa kupiga simu ni saa 08:00 asubuhi - saa 20:00 usiku.
Share:

Jul 1, 2015

DSTV IMESHUKA TSH 79,000= BILA UFUNDI!


Kwa wateja wapya hii inawahusu sana,muda ambao mamlaka ya mapato tanzania imepandisha bei ya kodi kwenye $,jambo lililopelekea pia kupanda kwa gharama za malipo ya mwezi ya vifushi vya ving'amuzi vyote.
Kwa kulizingatia hilo Multichoice Tanzania imeonelea ipunguze gharama za kununua king'amuzi,kwa tsh 79,000 tu unapata Vifaa vyote ikiwa kama Dish,Decoder,cable,n.k. bei hii inakuwa haina ufundi wala kifurushi.
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000,pesa hiyo licha ya kufungiwa pia itakulinda kwa muda wa miezi mitatu kama litatokea lolote la kiufundi,fundi atakuja kwako kuangalia tatizo bila malipo yeyote.
Baada ya hapo unachagua vifurushi kati ya vifuatavyo kisha unalipia ili uweze kupata channel zilizo bora kabisa!

1-DSTV BOMBA PACKAGE
Ina channel 65+ bora
Bei mpya ni Tsh 19,950
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-DSTV FAMILY PACKAGE
Ina channel 70+ bora
Bei mpya ni Tsh 42,900
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-DSTV COMPACT PACKAGE
Ina channel 85+ bora
Bei mpya ni Tsh 82,250
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-DSTV COMPACT PLUS PACKAGE
Ina channel 90+ bora
Bei mpya ni Tsh 122,500
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-DSTV PREMIUM PACKAGE
Ina channel 120+ bora
Bei mpya ni Tsh 184,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

KAMA UNA TATIZO LA KIUFUNDI AMA HUDUMA KWA WATEJA Bofya hapa

ZINGATIA:Muda wa kupiga simu ni saa 08:00 asubuhi - 20:00 usiku.

PIGA SIMU +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com


Share:

Jun 26, 2015

AZAM TV BEI MPYA TSH 135,000/= BILA UFUNDI!


Ingawaje mikoani na sehemu nyingi tu bado wanauza bei wanazojua wao ila bei elekezi ni tsh 135,000 tu,hii inakuwa bila kifurushi wala ufundi!
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000 tu,ambao itakulinda kwa muda wa miezi mitatu na ikitokea ikasumbua fundi atakuja kumaliza tatizo bila gharama yeyote.
Bei ya zamani ya offer ilikuwa tsh 99,000/= ambapo sasa haipo tena.
Bei mpya ni Tsh 135000 utapata Dish,Decoder,Cable,n.k
baada ya kununua ili uweze kuona itakulazimu kuchagua na kulipia moja ya vifurushi vifuatavyo:-
1.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 25+ bora
Bei mpya tsh 12,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 50+
Bei mpya tsh 20,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

3.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 80+
Bei mpya tsh 25,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM SPORTS Add-On 
Ina channel 4 tu.
Bei tsh 15,000/=

5.INDIAN Add-On
Ina channel 15+
Bei tsh 6,000/=

6.INDIAN Bouquet
Ina channel 23+
Bei tsh 16,000/=


ZINGATIA:Muda wa kupiga simu ni kuanzia saa 08:00 asubuhi - 20:00 usiku.
MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

Jun 19, 2015

RAMADHANI KAREEM


Tumeanza mwezi,mwezi ambao kwetu sisi waislamu una maana kubwa sana kwa haraka haraka tu huu ndio mwezi ambao quraan tukufu ndio ilishushwa mwezi huu na kwa uchache zaidi ndio mwezi ambao mwenyezi mungu anatusamehe dhambi zetu tulizonazo na tutakazokuwa nazo,ni mwezi ambao sio ombi bali ni lazima kwa kila aliyejaaliwa kufunga maana yake ni kwamba kama huna tatizo lolote kiafya litakalokufanya ushindwe kufunga ni lazima kufunga..
Mwezi huu unatukumbusha kuacha yale yote ambayo mwenyezi mungu ametukataza kama kuzini,kusengenya,kuongopa,kuiba,nk pia tunakumbushwa kwa nguvu zote kufanya yale tunayostahili kufanya kwa imani zetu kama kuswali,kutoa sadaka na kwenda hija kwa walio na uwezo..
Tunafundishwa kufunga na kuswali,kufunga bila ya kuswali sawa na hakuna funga..
Kuna mengi ya kufanya ili funga zetu zikubalike ijapokuwa vijana wana misemo yao kuwa swaumu za mjini zina kazi ila ukitia nia unafunga bila wasi na kumuachia mungu ndiye mwenye kujua umefunga ukiwa sahihi ama lakini kwa kuzingatia misingi yote ya funga.
Ugumu wa vijana wengi katika mwezi huu ni kutamani,sio kula laa kwakuwa katika maisha ya kawaida ya watanzania wengi ni swaumu,ila linawashinda la kuatamani kufanya ngono.
Kuona ndoa nyiingi inapofikia kipindi cha kuelekea mwezi mtukufu ni jibu tosha la nini ambacho namaanisha,sasa kwa ninyi msiooa ama kuolewa swaumu kwenu zikoje!!???
Zaidi ya yote funga njema wapendwa mkumbuke kuswali na kutoa swadaka!

Share:

Jun 18, 2015

LOADING...


Nilichogundua karibu ving'amuzi vyote vina mapungufu na hii inatokana na kujisahau,wafanyakazi kufanyakazi bila juhudi binafsi wanafanya ile bora liende mwisho wa mwezi tukinge,pia makampuni yenyewe husika hayajajipanga katika baadhi ya mambo ili kukabiliana na ushindani uliopo.
Kwa kulitambua hilo tunakuja kuwa mfano kwa makampuni yote ya ving'amuzi ili kuleta changamoto kwa makampuni yaliyolala kuweza kuamka na kutoa huduma stahiki kwa wateja wao..
Tunakuja...
Kaa tayari kutupokea..
Share:

Jun 16, 2015

BEI MPYA YA MALIPO YA MWEZI AZAM TV


Burudani kwa wote..
Kwa mujibu wa Azam tv bei za vifurushi zimepanda kutokana na ungezeko la kodi,
hivyo kile kifurushi cha tsh 10,000/= kimekuwa tsh 12,000/=
kifurushi cha 15,000/= kimekuwa tsh 20,000/=
na kifurushi cha 20,000/= kimekuwa tsh 30,000/=
Pia siku za usoni kinakuja kifurushi kipya ambacho kitakuwa na channels za india tu,
hivyo ili uzione channel za india itakulazimu ulipie kifurushi hicho kipya lakini kwa kipindi hiki ni bure mpaka hapo ambapo itatangazwa.
Kujua channel zilizopo Bofya Hapa
Mambo yote ya kiufundi Azam tv piga : +255789476655

Share:

Jun 10, 2015

VIFURUSHI VYA TING | TING PACKAGES


Hivi ndivyo vifurushi vilivyopo na bei zake kwenye king'amuzi cha Ting kwenye Antenna na kwenye Dish!
1.REGULAR PACKAGE
Inachannel 12+ safi
Malipo ni Tsh 11,000/=
Kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
Package hii ni kwenye Antenna tu!
2.CLASSIC PACKAGE
Ina channel 30+ safi
Malipo ni Tsh 22,000/=
Kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
Package hii ni kwenye Antennatu!
1A.REGULAR PACKAGE
Ina channel 25+ safi!
Malipo ni Tsh 16,000/=
Kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
Package hii ni kwenye Dish tu!
2A.CLASSIC PACKAGE
Ina channel 50+ safi!
Malipo ni Tsh 24,000/=
Kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
Package hii ni kwenye Dish tu!
Kwa maelezo Zaidi piga +255789476655

Share:

Jun 9, 2015

KUNUNUA KING'AMUZI CHA ZUKU TV TANZANIA

Remote ya Zuku
Ili kutoa fulsa ya kila mtu aweze kununua kinga'amuzi cha Zuku Tv imeonelea kushusha bei,ambapo sasa ili kununua zuku itakulazimu kulipia Tsh 88,000 tu,badala ya Tsh 95,000/= ila hii inakuwa bila ufundi.
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia Tsh 30,000 tu,pesa hii itakulinda ndani ya miezi mitatu kwa lolote likitokea fundi atahusika bila gharama yeyote ya ziada.
Baada ya hapo unachagua Kifurushi kati ya vifurushi vifuatavyo,ingawaje kwa mwezi wa kwanza unapata kifurushi bure!

1-ZUKU SMART PACK PACKAGE
Ina channel 36 safi.
Malipo ni Tsh 8,999
kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-ZUKU SMART PLUS PACKAGE
Ina channel 40 safi.
Malipo ni Tsh 13,000
 kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
3-ZUKU CLASSIC PACKAGE
Ina channel 69 safi.
Malipo ni Tsh 18,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-ZUKU PREMIUM PACKAGE
Ina channel 98 safi.
Malipo ni Tsh 25,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-ZUKU ASIA PACKAGE
Ina channel 26 safi.
Malipo ni Tsh 24,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!
ZINGATIA:Muda wakupiga simu ni saa 08:00 - saa 20:00 usiku.

Ili Kununua | Kupata Mafundi | Msaada 
Piga +255714973797
Share:

May 18, 2015

KWANINI TUMELAZIMIKA KUIGIA DIGITAL NA KUACHANA NA ANALOGUE?


Mabadiliko katika mfumo wa utangazaji kutoka mfumo wa analojia kwenda katika mfumo wa dijitali ni utaratibu ambao unaendelea ulimwenguni kote. Mabadiliko haya yanatokana na makubaliano ya nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa lenye dhamana ya masuala ya mawasiliano yaani International Telecommucations Union yaliyofanyika mwaka 2005 huko Geneva, Uswisi. Makubaliano ya nchi wanachama ni kuzima kabisa matangazo katika mfumo wa analojia na kutumia mfumo wa utangazaji wa dijitali ifikapo tarehe 17 Juni 2015. 

Ili kuhakikisha mabadiliko haya yanafanyika kwa ufanisi, tija na pia kutoa muda wa kutosha wa kutekeleza mabadiliko haya, mwaka 2005 Serikali ilianza mchakato wa uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda dijitali ambao ulihusisha wadau wote, wakiwemo wamiliki wa vyombo vya habari na vituo vya utangazaji wa televisheni, hatua kwa hatua, hadi kuridhia ratiba nzima ya uzimaji wa mitambo ya analojia. Kwa kifupi mchakato wa uhamaji ulipitia hatua zifuatazo:

Mwaka 2005:   Waraka wa kwanza wa mashauriano (consultative document) kuhusu umuhimu na faida za kuhama kutoka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda dijitali ulitayarishwa na kusambazwa kwa wadau wote;

Mwaka 2006:   Waraka wa pili wa mashauriano na mapendekezo ya muundo wa leseni kwenye mfumo wa utangazaji wa teknolojia ya dijitali ulitayarishwa na kusambazwa kwa wadau wote;

Mwaka 2007:   Kamati ya kiufundi inayoshughulikia uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda dijitali iliundwa;

Mwaka 2007:   Mkutano mkuu uliojumuisha vituo vyote vya utangazaji nchini ulifanyika Bagamoyo kupitisha maazimio ya mfumo wa leseni za utangazaji utakaotumika kwenye mfumo wa dijitali;

Mwaka 2010:   Kampuni tatu (3) zilipewa leseni za ujenzi wa miundombinu ya utangazaji ya dijitali. Kampuni tatu zilizopewa leseni za kusambaza matangazo ya dijitali ni Agape Associates Limited, Basic Transmission Limited, na Star Media (T) Limited. Kampuni hizo zilipewa leseni baada ya kuthibitisha kuwa zina uwezo wa kujenga miundombinu ya kurushia matangazo katika mfumo wa dijitali;

Mwaka 2010:   Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu Mabadiliko ya Utangazaji toka mfumo wa analojia kwenda dijitali iliundwa. Kamati hii hukutana kila baada ya miezi mitatu kutathmini maendeleo ya ubadilishaji wa mfumo wa utangazaji;

Mwaka 2011:   Kampeni ya Kitaifa ya kuelimisha umma kuhusu mabadiliko ya mfumo wa utangazaji ilizinduliwa rasmi na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa Tanzania rasmi nchi nzima mwisho wa kutumia mfumo wa Analogue ni tarehe 31/12/2014 saa 23;59.
Tukahamia mfumo wa Digital,ambao huu wa ving'amuzi tulionao ijapokuwa ilikuwa mwisho ni tarehe 17/06/2015,kuhama mapema ni namna ya kuangalia je kuna changamoto gani na vipi wahusika wanakabiliana nazo.

+255789476655
Share:

May 11, 2015

VING'AMUZI VINAVYOCHUANA | AZAM TV & DSTV | KIPI NI ZAIDI!?


Dstv ni wakongwe hii haina ubishi,ila ukongwe wa dstv haina maana kuwa hakuna king'amuzi ambacho kinaweza kuja na kufanya vizuri zaidi yake,hii inatokana na kwanza kujua mahitaji ya watazamaji kwa ujumla na kuwatimizia kile wanachokihitaji,unafuu wa bei ukizingatiwa.
Azam tv ni king'amuzi kipya kati ya vyote unavyoviona ila ndio king'amuzi kinachokimbizana na wakongwe,kwanini? kwasababu wameangalia watazamaji wanataka nini na kwa unafuu pia..Ingawaje Azam tv haijakidhi mahitaji wa wadau kwa 100% lakini alau wameweza kwa ukubwa.
Wadau wengi ni wapenzi wa mpira hivyo Azam tv wamefanikiwa kwa mpira wa Tanzania na Dstv bado anang'ang'ania ukongwe wake kwa mpira wa nje.
Ving'amuzi hivi vina mapungufu yake na kinachowakera wengi ni haya hapa:-

MAPUNGUFU YA DSTV
-Kubwa linalolalamikiwa na watanzania wengi ni bei kuwa juu,nikimaanisha malipo ya mwezi na hii inachangia na mtindo unaotumika wa kutumia $ badala ya Tsh.
Madhara ya kuwa bei juu kumefanya wadau watafute kila aina ya njia kuona wanapata uhondo wa dstv ila kwa njia isiyo rasmi,na hii inapelekea kupunguza walipaji halali wa malipo ya mwezi.
-Wana local channel,lakini malipo ya mwezi yanapokata hawaziachi zikawa bure.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Dstv.

MAPUNGUFU YA AZAM TV
-System wanayotumia kushindwa kutambua malipo ya mwezi wanayolipia wateja na kufunguka badala yake ukilipia kifurushi ukipendacho mpaka upige simu,hii imekuwa kero kwa wateja wengi wa azam tv,mteja anakaa mpaka wiki mbili na ikitokea hapigi simu unapita mwezi pasi kuona kile kifurushi alicholipia.
-Mawakala na wauzaji wengine wasio mawakala kuuza bei tofauti na bei sahihi.Hii sio tu mikoani ijapokuwa mikoani lawama hizi ni kubwa lakini hata hapa Dar es salaam wapo wanaouza bei juu tofauti na matangazo yalivyo.
-Picha kupotea kipindi cha mvua,king'amuzi ambacho kinaongoza kwa kupotea signal wakati wa mvua ndogo tu,hii ni kero nyengine kubwa kwa wateja wa Azam tv,kitaalamu hii inatokana na signal kuwa chini hivyo ni jukumu la Azam tv kuongeza signal badala ya 60 zifike alau 80 lakini kinachotakiwa mfikishe 100.
Hayo ni mapungufu makubwa kwa Azam tv.
TOFAUTI KUBWA KATI YA DSTV & AZAM TV
Dstv ana huduma zaidi ya moja kama:-
Extra view-Inakuwezesha kuona channel mbili tofauti kwa tv mbili tofauti kwa a/c moja.
Explora-Inakupa fulsa ya kurecodi saa 150 na mengineyo.
Umiliki na utofauti wa channel.
Dstv inaonyesha mpira wa nje na Azam tv mpira wa ndani.

MUSTAPHA MADISH | +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com
Share:

May 1, 2015

STAR TV | AZAM TV | PAMOJA SASA

Awali ilikuwa ili kupata Star tv kwenye king'amuzi cha Azam ilikuwa ni fundi na ufundi wetu tu,kwani ilikuwa tunafunga satellite mbili kwa wakati mmoja ila baadae wenye mali yao hapo Satellite ya Amos 5 wakafanya ya kufanya.
Baada ya vuta nikuvute hatimae sasa Star tv imeungana na Azam tv,hivyo jambo hili limepelekea kila mmiliki wa king'amuzi cha Azam alipokee kwa furaha,huku wale ambao walikuwa wanasita kujiunga na Azam kwasababu hakuna Star tv huu ndo wakati wenu labda mseme lengine.

+255789476655 | HUDUMA ZA AZAM TV
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita