Swali?
Je unahitaji urahisi wa kulipa malipo ya mwezi ama kununua..!?
Limekuwa kama tatizo hivi kwa nchi yetu toka lilipokuja swala la udigital kuingia na kulazimika kila aliye Tanzania ili uangalie tv ni lazima king'amuzi kihusike!
Issue inakuwa hapa kuhusu king'amuzi!!
Kipi ni bei rahisi na kizuri kinachomfaa mtanzania na hata asiye mtanzania kwa ujumla!
Je unahitaji urahisi wa kulipa malipo ya mwezi ama kununua..!?
Limekuwa kama tatizo hivi kwa nchi yetu toka lilipokuja swala la udigital kuingia na kulazimika kila aliye Tanzania ili uangalie tv ni lazima king'amuzi kihusike!
Issue inakuwa hapa kuhusu king'amuzi!!
Kipi ni bei rahisi na kizuri kinachomfaa mtanzania na hata asiye mtanzania kwa ujumla!
Kipi ni king'amuzi bei rahisi swali la jibu hilo unaweza ukawa nalo wewe ila mimi wajibu wangu ni kukuletea bei za ving'amuzi vyote kisha wewe ndio mchaguzi kutokana na kipato chako na upenzi wa channel kwa king'amuzi husika..
Hii sio bei ya siku zote,bei hii ni maalum kwa offer tu na pindi offer itakapoisha bei kamili nitawaletea!
Baada ya hapo unachagua kifurushi ili ulipie uweze kuona Bofya hapa
Angalizo:Malipo ya mwezi yanapanda ama kupungua kutokana na dollar.
ZUKU TV TSH 75000/= BILA UFUNDI
Ambapo ukinunua unapata na mwezi mmoja bure!
Baada ya mwezi wa offer kuisha unachagua kifurushi ili uendelee kuona Bofya hapa
Kwasasa bei ya Azam tv ni tsh 135000 bila kufungiwa wala kifurushi.
Kufungiwa ni tsh 30,000/=
Vifurushi ni:- Bofya hapa
STARTIMES TSH DISH
STARTIMES TSH ANTENNA
Hivi karibuni kimeanza cha dish,lakini hii haina maana kuwa cha antenna hakifanyi kazi kipo kama kawaida.
Vifurushi vya startimes ni:- Bofya hapa
DIGITEK TSH
Hii haina malipo ya mwezi ukinunua inakuwa ndio umenunua!
Lakini kutoka hapa kwangu na mtazamo wangu nitakuja kuzungumza kuhusu ving'amuzi visivyokuwa na malipo ya mwezi.
CONTINENTAL TSH 145000/=
Hiki nacho hakina malipo ya mwezi ukinunua umenunua.
Kujua channel zilizopo Bofya hapa
EASY TV TSH
Hiki kwa mwezi ni tsh 10,000/=
TING TSH 125000 DISH
Tsh 20000/= ch100
TING TSH 60000 ANTENNA
Vifurushi tsh 8000/= ch18+
16000 ch40+
Post hii itaboreshwa......
+ 255 789 47 66 55
Kufungiwa ni tsh 30,000/=
Vifurushi ni:- Bofya hapa
STARTIMES TSH DISH
STARTIMES TSH ANTENNA
Hivi karibuni kimeanza cha dish,lakini hii haina maana kuwa cha antenna hakifanyi kazi kipo kama kawaida.
Vifurushi vya startimes ni:- Bofya hapa
DIGITEK TSH
Hii haina malipo ya mwezi ukinunua inakuwa ndio umenunua!
Lakini kutoka hapa kwangu na mtazamo wangu nitakuja kuzungumza kuhusu ving'amuzi visivyokuwa na malipo ya mwezi.
CONTINENTAL TSH 145000/=
Hiki nacho hakina malipo ya mwezi ukinunua umenunua.
Kujua channel zilizopo Bofya hapa
EASY TV TSH
Hiki kwa mwezi ni tsh 10,000/=
TING TSH 125000 DISH
Tsh 20000/= ch100
TING TSH 60000 ANTENNA
Vifurushi tsh 8000/= ch18+
16000 ch40+
Post hii itaboreshwa......
+ 255 789 47 66 55