Call / WhatsApp +255755949413

Dec 6, 2015

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI DSTV

Wateja wengi wa DStv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi! Kwanza vijue vifurushi vya Dstv kwa Kubofya Hapa Ikitokea umelipia kifurushi cha DStv...
Share:

Dec 5, 2015

EMANUEL TV | TB JOSHUA

 Ni mkristo gani ambaye ni muangaliaji wa tv na haijui Emmanuel tv? ama hamjui TB Joshua? Pastol wa kanisa la mataifa yote.. Emmanuel tv ni tv ambayo ina wapenzi karibu dunia nzima,ni tv kubwa sana ya dini ambayo makao makuu...
Share:

Dec 3, 2015

FUNDI DISH HUJISIKII VIBAYA | KWA UCHAFU HUU!?

 Lawama zimekuwa ni nyingi kuhusu Ving'amuzi kusumbua,ambapo Ving'amuzi vinavyolalamikiwa wala havina usumbufu huo,katika kuchunguza nimegundua ya kuwa mafundi husababisha Ving'amuzi vionekane vinasumbua hata kama havina sifa hiyo ijapokuwa kweli kuna Baadhi...
Share:

Dec 1, 2015

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI AZAM TV

Wateja wengi wa Azam tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi! Kwanza vijue Vifurushi vya Azam tv kwa kubofya Hapa Ikitokea umelipia kifurushi...
Share:

Nov 26, 2015

RATIBA YA AZAM TV

Ilikupata ratiba ya king'amuzi chako cha Azam tv:- Chukua remote yako,bonyeza 1- menu.. 2- Digital TV    3- Programme Guide  4- Chagua channel unayotaka kupata ratiba yake ya wiki nzima kama inavyoonekana hapo juu!    5- Ikiwa maelezo...
Share:

Nov 25, 2015

KUZIMIKA KWA VING'AMUZI BILA TAARIFA KWA WATEJA!

Idadi ya simu ninazopokea kwa takribani wiki tatu mpaka leo hii ni wateja wa baadhi ya ving'amuzi ambavyo vimekata matangazo yao bila taarifa yeyote kwa wateja wao na kitu kibaya zaidi ushirikiano unakuwa sio mzuri kwa mujibu wa wateja wanaonipigia mimi! Ving'amuzi vilivyokata...
Share:

Nov 19, 2015

UNATAKA KUJUA NINI KUHUSU DIGITAL TV ?

Yapo mengi ambayo siwezi kuyamaliza kwa siku moja na pia siwezi kuyamaliza ikiwa sijajua ambacho wewe ungependa kujua kuhusu ulimwengu huu wa Digital tv na hata ukihitaji kujua yale ya Analogue tv nipo tayari kukujuza kwa kina kabisa! Ni nini ambacho ungependa kukijua...
Share:

Nov 16, 2015

DSTV HUDUMA KWA WATEJA NA KUPATA MAFUNDI WA DSTV

Je unatumia DStv? ama unahitaji kujiunga na DSTV?  Karibu kwa kufata utaratibu huu:- IKIWA UNATUMIA DSTV: Umelipia na bado hupati channel? Picha inakatakata ama haionyeshi kabisa Unataka kuhama toka nyumba moja kwenda nyengine Unahitaji kuongeza Decoder nyengine...
Share:

Nov 1, 2015

VIFURUSHI NA CHANEL ZA STARTIMES

Ni moja kati ya makampuni ambayo yanamiliki ving'amuzi aina mbili tofauti kimasafa,nikiwa na maana ya kuwa kuna aina mbili ya Decoder za startimes: StarTimes ya Antenna StarTime ya Dish Kwa kukurahisishia startimes wakati wanaanza hapa nchini walianza na mfumo wa...
Share:

KING'AMUZI GANI BORA TANZANIA!?

Swali ambalo kila kukicha nakutana nalo kutoka kwenu.. Kwa kuanzia nikwambie ving'amuzi vilivyopo Tanzania ili niweze kukwambia kilicho bora.. Azam tv  Continental Coconut Digital tv DStv Digitek Easy tv Startimes Ting Zuku tv Kwa kuanzia nikwambie ving'amuzi...
Share:

Oct 18, 2015

OCTOBER 25 | FANYA KWELI

NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA Popote nitasimama na kujivunia kuwa mtanzania mzawa,najivunia lugha yetu kiswahili najivunia na mengi mazuri yaliyopo nchini mwangu,nchi huru ambayo najisikia kufanya chochote wakati wowote pasi tu kuvunja sheria... AMANI  IMESABABISHWA NA UPENDO Ni...
Share:

Oct 15, 2015

ZUKU TV TANZANIA VIFURUSHI NA BEI MPYA

 Tsh 75000/= Unapata king'amuzi kikiwa na muda wa kuona wa mwezi mmoja. Inakuwa na vifaa vyote kama:Dish,Decoder,LNB,Cable na stendi. HII INAKUWA BILA UFUNDI  Kwa sasa kuna vifurushi vinne tu navyo ni kama ifatavyo:- ZUKU CLASSIC TSH 15,500 Per Month - Channels...
Share:

Oct 13, 2015

MIEZI MITATU BURE | TUKIKUHUDUMIA

Ikitokea umekuwa mteja wetu kwa mara ya kwanza tumekufungia king'amuzi chochote kile kati ya hivi:- DSTV STARTIMES ZUKU TV AZAM TV CONTINENTAL Tatizo lolote la kiufundi likitokea ndani ya miezi mitatu tutahusika kwa kukuhudumia pasi kulipia malipo ya ziada ikiwa halijasababishwa...
Share:

Oct 10, 2015

NUNUA KING'AMUZI UKIWA KWAKO

PIGA SIMU +255789476655 Jitambulishe na mahali ulipo. Chagua king'amuzi chochote kwa matakwa yako. Tutakushauri kabla hujanunua king'amuzi ulichokusudia na vyengine kama utapenda. Tutakapofika muafaka unaletewa king'amuzi ulipo. Na fundi anakufungia papohapo kama ukihitaji...
Share:

Sep 29, 2015

CHANNEL ZA LOCAL BURE | VING'AMUZI VYOTE

Utatumia king'amuzi gani!!?? Swali la kwanza ambalo naweza kukuuliza.. Najua kwa mapenzi ya king'amuzi ulichokichagua na kukinunua ukiachilia mapenzi yako ila umehitaji kuona na Local Channel maana yake uone mambo yanayoendelea nyumbani kwako ikiwemo taarifa...
Share:

Sep 6, 2015

KIFURUSHI CHA NYOTA TSH 9,000 | TSH 11,000

Kifurushi hichi kinapatikana kwenye kisimbuzi cha Dish na Anntena, ambapo kwenye Dish ni Tsh 11,000 na kwenye Antenna ni Tsh 9,000 Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:- Kuna zaidi ya channel 30! Channels za Dish:- Filamu na Tamthilia ST Zone AMC Movies Burudani ST...
Share:

Sep 3, 2015

TV 1 | IMEKUJA VIZURI SANA

  Hii ni tv ya kitanzania iliyoanzishwa mwanzoni mwa mwaka jana,ambayo imejikita zaidi kwenye burudani nami nimekuwa nikiifatilia niseme tu ukweli ni tv 1 kweli kwa ambacho wanakifanya! Inamilikiwa na kampuni ya sweden iitwayo ( MTG ) Modern Times Group. Usiniambia...
Share:

Sep 1, 2015

WAPENZI WA SOKA WAZIDI KULIA

Kwa siku kama nne hivi nimepokea simu nyingi sana zinazouliza kama kuna namna nyengine ya kuangalia mpira wa ligi za nje tofauti na dstv,sababu nikiuliza ni nini jibu jepesi sana ni kutokana na licha ya wadau kulalamika malipo ya mwezi yapo juu imeongeza tena toka leo hii...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645291

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413