
Hii itakuwa ni habari nzuri kwa wateja wa DStv wapya na wale wa zamani Kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kulifanya hili lililokuwa linawaumiza wengi kama sio kuwakimbiza!
Kuanzia terhe 1/11/2016 bei ya Vifurushi vya DStv itashuka na kuwa kama ifatavyo:-
DStv Premium...