Call / WhatsApp +255673378129

Oct 3, 2017

OFFER YA AZAM TV 2017 KUELEKEA 2018

King'amuzi ambacho ni mpinzani pekee wa DStv kwa Tanzania na ni kweli kinafanya vizuri sana hasa bila kumung'unya maneno..!
Siku za usoni nitakuja kuwajuza sababu ya king'amuzi cha azam tv kufanya vizuri na kuchuana na mkongwe wa Digital Tanzania DStv ili wanaowasindikiza wengine wapate kujifunza!
Bei ya Azam tv ni kama ifatavyo:-
  • Vifaa Tsh 135,000/=
  • Ufundi ( Kufungiwa ) Tsh 30,000/=
  • Vifurushi kwa wiki kuna Tsh 5,000/= na Tsh 7,000/=
  • Vifurushi vya mwezi Bofya Hapa
Kwa mchakato huu Azam tv hawana offer ya kumalizia mwaka na kama itatokea tutapeana taarifa! 
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

Oct 2, 2017

OFFER YA DSTV 2017 KUELEKEA 2018


FUNGA MWAKA NA DSTV
Offer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:- 
  • Kwa Tsh 79,000/= Unapata Vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja ( Bomba Tsh 19,000 )
  • Ufundi Tsh 30,000/=
  • Vifurushi vya DStv Bofya Hapa
DStv ni king'amuzi ambacho naweza nikasema kwa offer kinaongoza na licha tu ya mara kwa mara kutoa offer hata sokoni pia ina base kubwa sana ya watumiaji, ukiachilia mbali yote hayo kwa ukongwe hiki ndicho king'amuzi kikongwe

Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

Sep 7, 2017

PENDA UNACHOFANYA..


ILI UFANIKIWE...  NIMEJIFUNZA KUZINGATIA MOJA KATI YA VITU MUHIMU.. NI KUPENDA UNACHOFANYA..
..... Hapa siangalii sana napata bei gani ingawaje pesa ndio ambayo hasa tunaitafuta.. Nna mengi ya kuzungumza hapa ila leo somo liwe moja tu kwa Vijana wenzangu na wote ambao mnataka kupata mafanikio katika kile mkifanyacho... Mpende mnachokifanya.. Ukipenda unachokifanya utakifanya kwa juhudi zako zote na wala hautaangalia wanaokukwamisha wanazidi kila kukicha.. Nilipoanza ilikuwa kama utani isipokuwa kwakuwa nilikuwa na mapenzi ya dhati na kazi yangu hivyo wala sikukata tamaa.. nilisimamia ninachokiamini na kujifunza zaidi.. mpaka leo hii idadi ya wanafunzi nilionao wala hakuna ulazima wa mimi kwenda site tena kufunga hata kadishi kamoja.. ningewatuma na bado kupitia wao ningeingiza pesa... Lakini katika vitu nisivyovipenda ni kukaa ofisini... mimi napenda muda wote kuwa site na ndo sababu mpaka leo hii utakapopata wasaa wa kutembelea office yetu ni mara chache sana kunikuta kwa Office nimekaa!
Share:

Sep 3, 2017

BEI & VIFURUSHI VIPYA AZAM TV

 

AZAM LITE
Tsh 10,000/=
Channels 55+
Kujua Channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PURE
Tsh 18,000/=
Channels 60+
Kujua channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PLUS
Tsh 23,000/=
Channels 90+
Kujua channel zilizopo Bofya Hapa

AZAM PLAY
Tsh 28,000
Channels 105+
Kujua channels zilizopo Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi
Insta @mustaphamadish
+255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

Aug 29, 2017

DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI 2018


Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Hii ni bei ilianza tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei ambayo ni kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:-
1.Premium kutoka 184000 mpaka 169000/= tu!
2.Compact Plus kutoka 122500/= mpaka 109000/= tu!
3.Compact kutoka 82,500/= mpaka 69,000/= tu!
4. Family kutoka 42,900/= mpaka 39,000/= tu!
5.Bomba kutoka 19,975/= mpaka 19,000/= tu!
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

UZIO WA UMEME KWA ULINZI


Tukikuhudumia unapata faida gani!?
  • Jengo na mali zako kiujumla kuwa salama
  • Bei nafuu ambayo mtanzania ni rahisi kuimudu
  • Tunakupa ushauri kabla ya kukuuzia huduma 
  • Tunafanya kazi ndani ya muda
  • Miezi 12 ( mwaka mmoja ) unapata repairing bure
  • Tunapita kufanya check up kila baada ya miezi mitatu
  • Tupo karibu na wewe saa 24.
  • Ni rahisi kutufikia
Tupigie kwa namba +255789476655 ama Whatsapp+255784378129
Tupo Dar es salaam
Popote Tanzania tunafika!
Share:

Aug 26, 2017

KWANINI USILIPIE MAPEMA | KING'AMUZI CHAKO!?


Nimejaribu kufatilia kwa ukaribu sana utaratibu wa kufanya malipo ya king'amuzi kati ya watumiaji wageni nikimaanisha wenzetu rangi nyeupe na sisi ngozi nyeusi ijapokuwa si wote isipokuwa wengi wetu tuna utaratibu mmbovu sana wa kufanya malipo ya ving'amuzi tunavyotumia...!!
Mfano ukute mzungu/ama muhindi utaratibu wake wa kulipia, mfano amelipia king'amuzi anachotumia tarehe 10 mwezi wa 11, atalipia tena siku mbili ama tatu nyuma kwa mwezi unaofata, anaweza akalipia terehe 7 ama 8 ama 9 mwezi wa 12 ambapo hukuti anapata usumbufu kuhusu malipo na uzuri zaidi ving'amuzi karibu vyote vina utaratibu wa kukutumia ujumbe tena kwenye king'amuzi chako ya kwamba kifurushi chako karibu kinaisha hivyo ufanye malipo mapema!
Wengi wetu sie kina ngozi nyeusi kama nimelipia tarehe 10 mwezi wa 11, sitafanya malipo mpaka kifurushi kitakapokata kabisa matokeo yake unatokea usumbufu wa hali ya juu.. wakati mwengine inaweza ikawa kipato hilo ni sawa siwezi lipinga ila hupaswi kungoja mpaka siku ya mpira ndipo ufanye malipo kwa maana mara zote siku za mipira sio Azam sio DStv huwa system zao zina elemewa na matokeo yake unapata maudhi usiyoyategema ambapo ungelipia siku moja ama mbili kabla ya mpira unaotaka kuangalia usingepata usumbufu hata kidogo!
Tujitahidi kubadilika wadau wa ulimwengu huu wa Digital tv... Kwa hili naomba niwe mkweli  ikiwa utalipia siku ya mpira na ukatafuta msaada umekosa hata mimi na managment yangu hatutakuwa na msaada ila kama utalipia siku 2 ama 1 kabla ya mpira msaada utaupata toka kwetu kwa king'amuzi chochote kile.
Kwa maelezo zaidi.....
 +255789476655 
Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 25, 2017

KIFURUSHI CHA AZAM LITE | AZAM LITE PACKAGE | TSH 10,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam lite:-
Kuna zaidi ya channel 55
 Kwa wiki ni Tsh 3,000/= na kwa mwezi ni Tsh 10,000/=

  • Universal TV
  • BBS TV
  • Royal TV Rwanda
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • KASS TV
  • ABS TV
  • DELTA TV
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • RAI Italia
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Star TV
  • Azam Two
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • TV West
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • African Movie Channel
  • MBC 3
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • Al Jazeera English
  • Fix & Foxi
  • Colors
  • MBC Bollywood
  • MTV India
  • ITV
  • Clouds TV
  • ZBC
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655 Whatsapp+255784378129
Share:

Aug 19, 2017

TUPE RUKSA YA KUZILINDA MALI ZAKO!

Moja kati ya Hiden Camera ambazo hazionekani, hii ni kwenye Office.
Tuna njia mbili za kuomba ruksa yako tuzilinde ama tuzifanye mali zako kuwa salama muda wote, ama kukufanya kana kwamba upo eneo la tukio hali ya kuwa pengine upo ne ya nchi lakini bado ukiendelea kuona kila kinachoendelea iwe nyumbani, Ofisini, ama eneo lako lolote ambalo ungependa tukusaidie kulipa ulinzi..
Tuna njia ya kwanza ya CCTV CAMERAS SYSTEM INSTALLATION.
  • CCTV Cameras system installation inakupa uwezo wa kushuhudia kwa macho pasi kuambiwa na mtu kile kinachoendelea pale ambapo unahitaji kufungiwa hizo camera! Camera zipo zenye kuonekana ili anayetaka kufanya tukio aone kabisa anachotaka kukifanya kinaonekana ama pia zipo ambazo hazionekani kwa maana hizi ni ngumu kwa mtu kuona kama eneo hilo kuna camera zinazomuona! Pia zipo camera zenye uwezo wa kuchua na sauti na zipo zisizo na uwezo huo na la kuongezea zaidi kuna zile HD ambazo mtu ama kitu unakiona katika muonekano wa HD..
  • ELECTRIC FENCE INSTALLATION hii ni njia nyengine nzuri kwa kukomesha wezi! Mara nyingi inakuwa tunafanya kwenye uzio, yaweza kuwa wa nyumbani, yard, hotel, n.k

Tunapatikana Dar es salaam, ingawaje ulipo wewe Tanzania ukituhitaji kukufikia ndio wajibu wetu na zisikutishe gharama unafuu wa gharama zetu ni moja kati ya huduma zetu bora kwako ambazo haitatokea wa kuzishindwa ikiwa tu upo tayari kupata huduma zetu!  
Kwa maelezo zaidi chukua simu yako kisha tupigie!
+255789476655
Whatsapp+255784378129
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita