Call / WhatsApp +255755949413

Jun 9, 2018

MKOA GANI UNAIKOSA OFFER YA DSTV!!??

#DStvnimoto #Kamasiodstvpotezea Niambie upo mkoa gani na je unaikosa offer mpya ya DStv!!?? Imekuwa kawaida kwa baadhi ya mikoa kuuza visimbuzi kwa bei juu na huku sababu zikiwa nyingi, hii hapa ni nafasi ya pekee kwakon niambie upo mkoa gani na unauziwa bei gani dstv. Offer...
Share:

May 18, 2018

ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!

  Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii.. Michuano hii inahusisha dunia hivyo wapenzi wa mpira duniani imeelekeza macho na masikikio kwenye michuano hii... Hapa kwa Tanzania kuna habari njema kutoka...
Share:

Apr 17, 2018

MAFUNDI WA DSTV

 Unapata ujumbe wa E48 kwenye kisimbuzi chako cha DStv!? Hilo ni tatizo la signal na jinsi la kulitatua, cha kwanza angalia cable inayotoka kwenye dish na kuingia kwenye dish sehemu iliyoandikwa LNB IN ipo sawa haijachomoka!? Kama ipo sawa shida itakuwa kwenye dish hivyo...
Share:

Apr 5, 2018

DSTV Tsh 79,000/= | KIFURUSHI BURE | TUNAKULETEA BURE

Baada ya ile Offer kubwa iliyodumu kwa muda mrefu kumalizika..!! Bado Multichoice Tanzania imeona kuna kila sababu ya kuangalia namna ya kuwatafutia punguzo lengine ili muweze kufurahia huduma za DStv na sasa ni hii hapa kwa Tsh 79,000 tu unapata vifaa vyote pamoja na kufungiwa...
Share:

Mar 30, 2018

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati naomba tusameheane kwa kuwa majukumu nayo yamekuwa meengi na sio muda wote napitia hii blog, hivyo naomba niwape njia nyepesi ambayo nitakuwa...
Share:

Mar 28, 2018

STARTIMES CHANNEL 5 BURE HATA USIPOLIPIA

Startimes ni moja kati ya ving'amuzi ambavyo vinapaswa kuacha channels za Tanzania uzione bure hata kama malipo yako yameisha.. Hii ni kwa Startimes ya Dish na Antanna..! Je wewe ni mtumiaji wa Startimes na je unapata channel za tanzania bure hata usipolipia!? Kwa maelezo...
Share:

Mar 12, 2018

OFFER MPYA YA DSTV INAKUFATA ULIPO!

Popote ulipo kwa Dar es salaam ikiwa unahitaji kisimbuzi ( Decoder ) ya dstv unachopaswa kufanya ni kupiga tu simu namba 0789476655 kisha kwa Tsh 79,000 tu unaletewa mpaka ulipo na kufungiwa! - Utapata vifaa vyote kama:- Dish LNB Decoder HD HDMI cable AV cable Adapter Remote...
Share:

Feb 22, 2018

CHANNEL ZA TANZANIA NI BURE KWENYE VING'AMUZI

Imekuwa kuna kuulizwa kila siku na watumiaji wa ving'amuzi ni kwanini local channel hazibaki kwenye ving'amuzi baada ya kifurushi alicholipia kuisha, wakati huo huo ving'amuzi vyengine channels za local zinabaki! Ni kwamba channels zinazotakiwa kubaki hata kama kifurushi chako...
Share:

Feb 15, 2018

Follow page yetu Instagram @mustaphamadish

Follow @mustaphamadish Kwa habari zote za ving'amuzi ( Visimbuzi ) vya Tanzania kama:- Azamtv  Continental  DStv  Digitek  Startimes  Zukutv  Ting n.k vya bure na kulipia.. Kujua:- Bei Offer zilizopo Vifurushi Msaada kiufundi Kununua Ushauri...
Share:

KING'AMUZI KITAKACHOONYESHA AFCON 2019 MECHI ZOTE

Ikiwa tunaelekea kwenye mashindano ya mataifa ya Africa AFCON kuna jambo la muhimu ambalo unapaswa kulijua ni king'amuzi gani kitaonyesha mechi zote live kutoka Egypt...!!?? King'amuzi kilicho na idhini ya kuonyesha mechi zote ni kimoja tu DStv! Kama tayari...
Share:

Jan 21, 2018

STARTIMES KUWEKA CHANNEL ZA DSTV NA AZAM TV

Niliwahi kupata swali kama hili na nilishawahi kuona matangazo sehemu kadhaa mitandaoni ya kuwa kama unatumia king'amuzi cha Startimes tunaingiza channel za Azam tv na DStv na tangazo lengine kama unatumia king'amuzi cha azam tv unaingiziwa channel za DStv na Startimes pia.... Matangazo...
Share:

Jan 7, 2018

CHEAP CCTV CAMERAS INSTALLATION

  Dunia imebadilika siku hizi ukiachilia umuhimu wa cctv cameras ni kupata ulinzi pia inakujuza kwa urahisi kinachoendelea muda ambapo wewe haupo na zuri zaidi unaweza ukapata kuona kinachoendea hata ukiwa nje ya nchi.. Tupo dar es salaam isipokuwa popote ulipo tanzania...
Share:

Jan 3, 2018

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2018!?

Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:- Azam tv inauzwa Tsh 135,000/= Hii bila kifurushi wala Ufundi! Ila ina Offer katika...
Share:

Jan 2, 2018

BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI

Leo nakuletea bei ya orodha ya ving'amuzi ( Visimbuzi ) vyote Tanzania, pia utapata kujua idadi ya channels kwa kila kifurushi, naamini hii itakusaidia kujua kifurushi kipi ili ufanye malipo, ambacho naweza kukwambia liwe kama angalizo wakati unafanya malipo washa kwanza...
Share:

Jan 1, 2018

JE KOPO LINASAIDIA KIPINDI CHA MVUA!?

"Kwenye Kisimbuzi ( King'amuzi ) kinachotumia Dish kufunika lnb kwa KOPO hakusaidii chochote katika kufanya Kisimbuzi chako kisisumbue wakati wa MVUA..." Tukirejea nyuma kidogo hata waliotengeneza SET ya dish waliangalia kama maisha ya dish ni ya kukutana na mvua na...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413