Call / WhatsApp +255755949413

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES

Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo! Hivi ndivyo vifurushi vya...
Share:

Mar 20, 2015

BEI ZA VING'AMUZI NJE YA DAR ES SALAAM

Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusu bei za ving'amuzi katika mikoa yote ukiacha dar es salaam ijapokuwa baadhi ya wauzaji wa dar es salaam hili linawahusu! Hapa nazungumzia ving'amuzi vyote vilivyopo tanzania,kampuni husika wanatoa bei elekezi ambapo bei hiyo inapaswa...
Share:

Mar 1, 2015

BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=

Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi! Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:- VIFAA tsh 135,000/= Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart...
Share:

BEI MPYA YA DSTV TSH 99,000/= BILA UFUNDI

Baada ya ile offer ya tsh 99,000/= Hii inajumuisha vifaa bila ufundi! Kisha unachagua kifurushi ukipendacho kati ya hivi:- 1.Bomba package bofya hapa kujua channel zilizopo na bei 2.Family package bofya hapa kujua channel zilizopo na bei 3.Compact package bofya...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413