Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo!
Hivi ndivyo vifurushi vya...
Mar 27, 2015
Mar 20, 2015
BEI ZA VING'AMUZI NJE YA DAR ES SALAAM

Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusu bei za ving'amuzi katika mikoa yote ukiacha dar es salaam ijapokuwa baadhi ya wauzaji wa dar es salaam hili linawahusu!
Hapa nazungumzia ving'amuzi vyote vilivyopo tanzania,kampuni husika wanatoa bei elekezi ambapo bei hiyo inapaswa...
Mar 1, 2015
BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=
Mustapha MaDish10:59 PMazam media, azam tv bei mpya, azam tv channels, azam tv decoder, mafundi wa azam tv
6 comments

Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi!
Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:-
VIFAA tsh 135,000/=
Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart...
BEI MPYA YA DSTV TSH 99,000/= BILA UFUNDI

Baada ya ile offer ya tsh 99,000/=
Hii inajumuisha vifaa bila ufundi!
Kisha unachagua kifurushi ukipendacho kati ya hivi:-
1.Bomba package bofya hapa kujua channel zilizopo na bei
2.Family package bofya hapa kujua channel zilizopo na bei
3.Compact package bofya...