Call / WhatsApp +255755949413

Oct 29, 2014

DSTV PACKAGES | VIFURUSHI VYA DSTV

Lengo la kuwa na vifurushi tofauti ni kutoa fulsa kwa kila mdau kuweza kununua na kufanya malipo ya mwezi kutokana na uwezo wake. Hivi ndivyo vifurushi vya DStv,idadi ya channel na bei kwa ujumla:- 1-DSTV BOMBA PACKAGE Ina channel 65+ bora Bei mpya ni Tsh 19,000 Bofya...
Share:

Oct 27, 2014

VING'AMUZI VISIVYO NA MALIPO

Nilichogundua ni kwamba watanzania wengi wanapenda ving'amuzi rahisi,rahisi kwenye kununua na katika ulipaji wa kila mwezi na pindi linapotokea swala la kutokuwa na malipo ya mwezi inakuwa ndio unafuu zaidi,kwasababu wanzania wengi wenzangu na mie... DIGITEK Hiki hakina...
Share:

Oct 26, 2014

UNATAKA AZAM TV? | TUNAKUFATA | UNALIPIA | UNAFUNGIWA PAPO HAPO!

Hapa tunazungumzia malipo ya mwezi ni Tsh 12500/= Unapata jumla ya channel 60. Ukitaka kuzijua bofya hapa Huduma hii inaweza kukufata popote ulipo ndani ya dar es salaam na malipo ukafanyia nyumbani ama mahali ulipo kabla ya kufungiwa king'amuzi chako. Hii itakurahisishia...
Share:

Oct 16, 2014

NAWALETEA CONTINENTAL YA DISH

Hatimae marejeo yamekuwa mazuri,ambapo sasa macho ya watanzania na wadau wa ving'amuzi kwa ujumla yameelekezwa kwa Digitek kuona yakuwa nao watatoa dish baada ya Continental kutoa Dish! Hii inamaanisha leo ukihitaji king'amuzi cha Continental nitakachokuuliza cha kwanza.. unataka...
Share:

UWEZO BINAFSI

Ijapokuwa imepita miezi ipatayo 10 ila hili ni moja kati ya niyakumbukayo na ya kujivunia pia na sababu napokea simu mpaka wakati mwengine naona imepitiliza ila kwakuwa ndo kazi yangu sinabudi kumaliza shida za wadau wangu... Nakumbuka ni maeneo ya sinza pale kumekucha...
Share:

Oct 13, 2014

HII SIO SAWA KABISA

...nilipoona Dish hii ya DStv wala sikushangaa sana na badala yake ndipo nikaamua kupiga picha ili alau kile ambacho nilichokuwa sijawahi hata kukumbusha tukumbushane kwa pande zote mbili.. Mafundi wenzangu na wateja wetu pia wote wa ving'amuzi kwa ujumla hasa vile vya kutumia...
Share:

Oct 12, 2014

KING'AMUZI CHA BEI RAHISI KULIKO VYOTE TANZANIA

Swali? Je unahitaji urahisi wa kulipa malipo ya mwezi ama kununua..!? Limekuwa kama tatizo hivi kwa nchi yetu toka lilipokuja swala la udigital kuingia na kulazimika kila aliye Tanzania ili uangalie tv ni lazima king'amuzi kihusike! Issue inakuwa hapa kuhusu king'amuzi!! Kipi...
Share:

Oct 11, 2014

STARTIMES YA DISH

King'amuzi ambacho kilipoanza kilipokelewa vizuri sana,watanzania wengi walinunua ila baadae kidogo kulitokea tatizo,tatizo ambalo liliwaweka wakati mgumu sana hasa katika kupata wateja wapya na wale wa zamani kutafuta namna ya kuondokana na tatizo hilo.. Tatizo la signal...
Share:

Oct 10, 2014

KIFURUSHI CHA ZUKU PREMIUM | ZUKU PREMIUM PACKAGE | TSH 25,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku premium:- Kuna jumla ya channel 98 TV channel 55 radio Zuku Zone Guest Channel Citizen KTN NTV K24 Kiss (KE) EBRU QTV Kass tv UBC 3Stone tv NBS Uganda Channel 10 TBC1 Clouds tv WBS ITV MBC tv Njata tv Wholesome tv Zuku Entertainment EATV Zuku...
Share:

Oct 9, 2014

SIKU KAMA YA LEO MIAKA YA NYUMA...!

Tarehe 10 mwezi wa 10 miaka kadhaa nyuma.. Mustapha Hanya nikazaliwa kwa kichache nilichonacho Mustapha MaDish ukitiita hivyo inatosha.. Ah siwezi sema najua kila kitu ila nashukuru kwa umri wangu nimejua mengi sana.. Hakuna wa kumshukuru zaidi ya Allah muweza wa yote! Kama...
Share:

Oct 8, 2014

KIFURUSHI CHA ZUKU ASIA | ZUKU ASIA PACKAGE | TSH 24,000

Jumla ya channel zote zilizopo kwenye kifurushi maalum cha asia:- Kuna jumla ya channel 27. Zoom Star Plus Life OK Colors SAB B4U Movies B4U Music Star Gold Star jalsh Zee Punjabi Zee Cinema Zee News Zee Khana Khazana Zing MTV India ET Now Times Now ARY...
Share:

Oct 7, 2014

STAR TV KWENYE AZAM TV

Swali limekuwa nawezaje kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv!!?? Na hii imetokana na baadhi ya wengine kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv.. Je star tv wameungana na azam tv!!?? Jibu ninaloweza kuwapa ni kwamba star tv haijaungana na azam tv,badala yake...
Share:

Oct 5, 2014

TUNAWATAKIA EID MUBARAKA..!!

Leo ni sikukuu..ina maana kubwa sana kwa waislam..lakini hii haina maana kuwa inawahusu waislam tu.. Kwakulijua hili tunachukua nafasi hii kuwatakia sikukuu njema watanzania wote na dunia kwa ujumla.. Yeyote atakayepata bahati ya kupitia blog yetu hii salamu hizi zinamuhusu! Mapumziko...
Share:

KIFURUSHI CHA ZUKU CLASSIC | ZUKU CLASSIC PACKAGE | TSH 18,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku classic:- Kuna jumla ya channel 69 tv Channel 55 radio Zuku Zone Guest Channel Citizen KTN NTV K24 Kiss (KE) EBRU QTV Kass tv UBC 3Stone tv NBS Uganda Channel 10 TBC1 Clouds tv WBS ITV MBC tv Njata tv Wholesome tv Zuku Entertainment EATV Zuku...
Share:

Oct 3, 2014

BEIN SPORTS KWA TANZANIA

Awali kulikuwa na Abudhab baadae swala la kabumbu likahamia kwa Aljazeera,ambapo sasa ni nafasi ya Bein Sports mfumo wa ulipaji ukiwa ni ule ule na Decoder zitumikazo ni zile zile tofauti yake ni card tu! Tanzania ni nchi mojawapo kati ya nchi kadhaa walizokuwa wanaangalia...
Share:

Oct 1, 2014

DSTV BOMBA PACKAGE | CHANNELS 65+ | TSH 19,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Bomba FTA KBC CITIZEN TBC STAR TV CHANNEL 10 ITV Clouds Tv KTN News K24 Bukedde Tv WBS NBS Tv e Tv Africa Dish MICHEZO SuperSport Blitz SuperSport Select1 SuperSport 2Select SINEMA Movie Zone Africa Magic...
Share:

DSTV TANZANIA YATOA OFFER TSH 99000/=

      Kwa wateja wapya hii ni habari njema kwako,ambapo sasa unaweza kuunganishwa kwa tsh 99000 tu! Hii inaanza leo tarehe 1/10/2014 mpaka kuisha kwa strock ya offer! Kukurahisishia unaweza ukalipia gharama ya usafiri kutokana na umbali uliopo...
Share:

KIFURUSHI CHA ZUKU POA | ZUKU POA PACKAGE | TSH 13,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku poa:- Kuna jumla ya channel 53 Zuku Zone Guest Channel Citizen KTN NTV K24 Kiss (KE) EBRU QTV Kass tv UBC 3Stone tv NBS Uganda Channel 10 TBC1 Clouds tv WBS ITV MBC tv Njata tv Wholesome tv Zuku Entertainment EATV Zuku Max Zuku...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413