Call / WhatsApp +255673378129

Oct 25, 2016

MAFUNDI WA VING'AMUZI TANZANIA


Mafundi wa uhakika wa king'amuzi chako unachotumia limekuwa tatizo kubwa hasa kwa baadhi ya maeneo,hii imepelekea baadhi ya wateja kuona yakwamba king'amuzi anachotumia ni tatizo kwakuwa hakupata Fundi makini ambaye angeweza kumfungia ama kumrekebishia ipasavyo.. Matokeo yake picha kuganda ganda ama kupotea ni jambo la kawaida sana..
Fundi Makini anapaswa kuwa na vifaa vilivyo kamilika ukiachilia spana zote muhimu pia anapaswa kuwa na Drill machine kwa ajili ya kutombolea na kingine anapaswa kuwa na kifaa cha kutafutia Signal ambacho kinaitwa Signal Finder!!
Fundi Makini akikufungia ama kukurekebishia atakupa uhakika wa miezi mitatu,maana yake ndani ya miezi mitatu baada ya kukitibu king'amuzi chako kikisumbua atakuja na kukurekebishia bure pasipo malizo yeyote!
Fundi Makini ni mwepesi kuja pale unapomuhitaji,tofauti na akina Fundi Kalipua ambao huwa ni ngumu sana kurudi ambapo ameshafanya kazi chafu!
Unatumia King'amuzi gani!!??
Kutana na Fundi wako hapo chini:-
Msaada zaidi wasiliana nasi:- Call  0784378129
                                                  Whatsapp / Call 0658046655
Share:

Oct 24, 2016

MAFUNDI WA AZAM TV

 Azam tv iliyofungwa na fundi kalipua ndo hiyo ya kwanza hapo na Azam tv inafungwa na Fundi makini ndo hiyo hapo inamaliziwa na mikono salama ya Chidy kuelekea Signal Quality Tv!
Kupata Moja ya Mafundi Makini wa Azam Tv Piga +255789476655
Achana na akina Fundi kalipua sehemu ya kudril wao wanapiga misumari,matokeo yake Signal inakuwa haina uhai ukija upepo picha inakatakata!
Ukifungiwa na sisi utapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua utarekebishiwa pasipo kutoa gharama yeyote!

Mapicha Picha Imo!!

MusTapha MaDish
Share:

Oct 9, 2016

MAFUNDI WA STARTIMES

Wewe ni mteja wa Zuku tv!?
Una tatizo la kiufundi ama unahitaji Ushauri wa kiufundi?
Kupata mawasiliano ya Mafundi wa uhakika..
 Je unataka kujiunga na Zuku Tv?
Unataka kupata Mafundi wa uhakika na wazoefu?
Piga +255789476655
Ukifungiwa nasi:-

  • Unapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua
  • Unapata ushauri wa kiufundi kabla hujahudumiwa
  • Unapata Fundi Makini na mwenye vifaa vyote muhimu
   Ziada kutoka kwetu:-
Share:

Oct 6, 2016

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI ZUKU TV

Wateja wengi wa Zuku tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue Vifurushi vya Zuku tv kwa Kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi cha Zuku Smart Pack Tsh 8,999 na mwezi umeshaisha unataka kulipia kifurushi cha Zuku Classic Tsh 18,000 unaweza kufanya hivyo kwa kufata utaratibi huu:-
 Lipia kwanza Tsh 18,000 kisha chukua simu yako piga namba +255768984200 atakayepokea mwambie umelipia Tsh 18,000 kwa lengo la kutaka kuhama kifurushi hivyo akuhamishe.
Zoezi hili uhakikishe king'amuzi chako umekiwasha kisha ndipo unafanya zoezi hili na inachukua dk 5 mpaka 30 kubadilik!
Kwa uchache huu nadhani nimekusaidia kitu!
+255789476655
Share:

Oct 1, 2016

MSIMU WA OFFER 2016 | VING'AMUZI TANZANIA

 

Tunaelekea kumaliza mwaka 2016 na kutokana na ushindani uliopo katika ukanda wa Digital tv,makampuni ya Ving'amuzi yanajitahidi kutafuta namna ya kushawishi wateja wapya na kujiunga na ving'amuzi vyao huku wakiwafanya wateja walionao kutowapoteza kwa kuboresha huduma zao na kutoa OFFER!!
Vijue Ving'amuzi vilivyo na OFFER na Offer zao kwasasa:-
  1. Azam Tv
  2. DStv
  3. StarTimes
  4. Zuku Tv
Kwa msaada kiufundi na maelezo zaidi kuhusu King'amuzi chako piga:-
+255789476655 Kuanzia saa 08:30 - 18:00 Kila siku.
Share:

Sep 28, 2016

DSTV YASHUSHA BEI ZA VIFURUSHI 1 Nov 2016!!


Hii itakuwa ni habari nzuri kwa wateja wa DStv wapya na wale wa zamani Kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kulifanya hili lililokuwa linawaumiza wengi kama sio kuwakimbiza!
Kuanzia terhe 1/11/2016 bei ya Vifurushi vya DStv itashuka na kuwa kama ifatavyo:-
DStv Premium Package Ni Tsh 219,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 184,000
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Plus Package Ni Tsh 147,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 122,500 
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Compact Package Ni Tsh 84,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 82,250
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Family Package Ni Tsh 51,000
Bei mpya itakuwa ni Tsh 42,900
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

DStv Bomba Package Ni Tsh 23,500
Bei mpya itakuwa ni Tsh 19,950
Bofya Hapa Kujua channel zilizopo na bei mpya 2017

Kupata msaada kiufundi na Mafundi wa DStv Bofya Hapa
Kujua OFFER ya DStv Bofya Hapa
Kununua DStv Bofya Hapa
Jinsi ya kuhama Kifurushi Bofya Hapa
Kwa Maelezo zaidi
+255789476655
 
Share:

Sep 25, 2016

OFFER YA AZAM TV 2016

Lipia kifurushi cha Azam Play Tsh 28,000/= kwa miezi 12 ( Mwaka mmoja ) ambapo ni Tsh , utapata Vifaa na Kufungiwa bureee!!!
Hii itakufanya uokoe Tsh 165,000/=
Offer hii iawahusu wateja wapya tu!
Kujua vifurushi na channels zilizopo kwenye Azam Tv Bofya Hapa
Kupata mafundi wa Azam TV Bofya Hapa 
Kununua King'amuzi cha Azam Tv Bofya Hapa
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

Sep 8, 2016

OFFER YA DSTV 2016


Ile kununua kwa Tsh 79,000/= bado inaendelea ingawaje kwa sasa hakuna ile kupata na kifurushi cha Compact badala yake kuanzia Tarehe 1/11/2016 Vifurushi vyote vya DStv vitapungua bei..
 Ili kujua bei mpya Bofya Hapa
Vifaa ni Tsh 79,000/= Unapata Dish,Decoder HD,Lnb pamoja na Cable! Hii ni bila ya Ufundi!!
Ufundi ni Tsh 30,000/=
Baada ya hapo unachagua Kifurushi kati ya Vifurushi vifatavyo Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Share:

Sep 7, 2016

KUTANA NA MAFUNDI WA DSTV #fundimakini



Wewe ni mteja wa DStv!?
Una tatizo la kiufundi ama unahitaji Ushauri wa kiufundi?
Kupata mawasiliano ya Mafundi wa uhakika..

 Je unataka kujiunga na DStv?
Unataka kupata Mafundi wa uhakika na wazoefu?
Piga +255789476655
Ukifungiwa nasi:-
  • Unapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua
  • Unapata ushauri wa kiufundi kabla hujahudumiwa
  • Unapata Fundi Makini na mwenye vifaa vyote muhimu
Share:

Sep 4, 2016

MAFUNDI WA ZUKU TV

 Wewe ni mteja wa Zuku tv!?
Una tatizo la kiufundi ama unahitaji Ushauri wa kiufundi?
Kupata mawasiliano ya Mafundi wa uhakika..
 Je unataka kujiunga na Zuku Tv?
Unataka kupata Mafundi wa uhakika na wazoefu?
Piga +255789476655
Ukifungiwa nasi:-

  • Unapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua
  • Unapata ushauri wa kiufundi kabla hujahudumiwa
  • Unapata Fundi Makini na mwenye vifaa vyote muhimu
Ziada kutoka kwetu:-
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita