Call / WhatsApp +255755949413

Dec 31, 2017

LNB NI NINI...??

Kwenye Technology kuna vifaa ambavyo kuvitafutia lugha ya kiswahili moja kwa moja hakuna ila nitakachojitahidi kufanya ni kukupa urahisi ili uelewe pasi kutoka nje ya maana yenyewe. LNB ni nini? LNB ama kwa kirefu chake ni Low Noise Block downconverter, ni kidubwana,kifaa...
Share:

Dec 21, 2017

KUTUMIA KING'AMUZI KIMOJA KWA TV ZAIDI YA 1

Ving'amuzi vyote unavyovijua wewe iwe vya bure ama vya kulipia, nikiwa na maana vyenye kulipia malipo ya mwezi na visivyo na malipo ya mwezi, unaweza kutumia king'amuzi kimoja kwa tv zaidi ya moja, kwa kutumia king'amuzi kimoja unaweza kugawa picha kwa tv hata zikiwa 100. Hii...
Share:

Dec 15, 2017

TELEVISION AU RUNINGA NI NINI!?

 Tv ya kijerumani ya mwaka 1956 Neno "televisheni" linatokana na maneno mawili: tele (kutoka Kigiriki: kwa mbali sana) na visio (kutoka Kilatini: mwono; kwa pamoja yanaunda neno la Kiingereza television lililotoholewa katika Kiswahili televisheni. Televisheni - TV...
Share:

Dec 14, 2017

UTAJUAJE KAMA TV YAKO INA KING'AMUZI NDANI?

Swali la wengi kwasasa ni hili kutokana na ukweli kwamba uondoshwaji wa local channels kwa baadhi ya Visimbuzi imekuwa kama janga hivi.. Sasa niwape namna ya kujua jinsi gani ya kupata local channels kupitia tv ikiwa ina kisimbuzi ndani, inaweza ukatumia Antenna ama Dish...
Share:

Dec 13, 2017

UNALIPIA LAKINI INAKATA KABLA MWEZI KUISHA

Hii inaweza kutokea kwenye ving'amuzi vyote na hutokea makosa ya mtandao ama kama kifurushi ulichopo sio sahihi hivyo hakiwezi kufika mwezi kwa baadhi ya ving'amuzi! Mara chache mno hutokea kwa ving'amuzi kama cha Azam tv,DStv,Zuku, n.k. na huwa mara zote ni kufail kwa system...
Share:

Dec 2, 2017

KING'AMUZI KISICHO NA MALIPO YA MWEZI

Awali tulikuwa na ving'amuzi viwili ambavyo havikuwa na malipo ya mwezi, kulikuwa na Digitek na Continental, baadae Continental wakaanza mfumo wa kulipia na kuwa na Vifurushi pia kutaka kujua zaidi kuhusu Continental decoder bofya hapa, tukabaki na Digitek ambapo ni king'amuzi...
Share:

Nov 27, 2017

ZIJUE OFFER ZA VING'AMUZI 2017 KUELEKEA 2018

Tunaelekea katika kumaliza mwaka 2017 na tunategemea kuingia mwaka 2018, yapo mengi ambayo kupitia blog hii umefaidika kwa hali yeyote ile kama ndivyo tunashukuru kwakuwa ndio lengo letu, lakini pia nadhani yapo yaliyokukera kupitia blog hii kama ndivyo tunasikitika na kukuomba...
Share:

Nov 23, 2017

DISH 3 | DECODER & RECEIVER 18 | CHANNELS 18 | KWA KILA TV

Hotel - Tv system installation:-  Hii ni hotel ina flow zipatazo tano ina zaidi ya room 50, ina ukumbi wa mikutano,sherehe, ina restaurant, ina bar na kuna sehemu ya Disco pia. Hapa tulichofanya ni kufunga tv ambazo ni zaidi ya 60 tv ambazo kila moja inapokea channels...
Share:

Nov 11, 2017

TUNATENGENEZA UTOFAUTI NA WENGINE

Mwaka unaishia yapo yaliyoenda sawa na yapo ambayo yamezidi kwenda kombo, hapa nazungumzia ulimwengu mzima wa Digital tv, ulimwengu ambao umekuja na fursa kwa namba kubwa kwetu sisi vijana lakini pia kuna changamoto ambhata ambazo zinawakabili wote wanaohusika na mulimwengu...
Share:

WAKATI MWENGINE TUNAZUNGUMZIA KAZI KWA SURA NYENGINE

 Eneo ni Hotel ya Sea Cliff ndani ya mgahawa wa Karambezi, robo 3 ya wateja wa mgahawa huu ni ngozi nyeupe na lugha itumikayo kwa wengi wa wateja wa hapa ni kiingereza na hivyo hata mazingira huwa kama sio Tanzania hivi... Kwa mwezi wa 10 imekuwa ni sehemu ambayo nimetembelea...
Share:

Nov 5, 2017

OFFER YA STARTIMES 2017 KUELEKEA 2018

MFALME WA BURUDANI ZA FAMILIA Offer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:- Kwa Tsh 78,000 StarTimes ya Dish - Unapata vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja. Kwa Tsh 34,000 Decoder ya Antenna. Ufundi Tsh 30,000 Startimes ya Dish. Ufundi Tsh 20,000 Startimes ya Antenna. Vifurushi...
Share:

Nov 1, 2017

OFFER YA ZUKU TV

Katika kumbukumbu yangu ilikuwa ili umiliki king'amuzi cha Zuku tv ni lazima ilikuwa uwe na Tsh150,000/= Bei ikashuka ikawa Tsh 105,000/=! Ikashuka tena kwa Tsh 95,000/= Kwa sasa OFFER iliyopo ni tsh 88,000/= unapata Dish,Decoder,Kufungiwa na miezi mitatu bure! Bei...
Share:

Oct 31, 2017

TUMEFUNGA TV 15 | DISH 1 | MUHIMBILI HOSPITAL

Ilikuwa ni kazi ya siku moja ama 2 ila kutokana na mazingira yalivyo imetuchukua wiki 2 ama 3.. hii ni sehemu ambayo haitakiwi kelele na inapotokea idadi ya wagonjwa ni kubwa hakuna nafasi ya kina sie kufanya tulichokifanya hivyo ikawa tunachagua siku maalumu katika wiki...
Share:

Oct 30, 2017

STARTIMES UNALIPIA KIFURUSHI HAKIFIKI MWEZI!?

Jinsi inavyokuwa:- Kuna aina tofauti ya vifurushi kwa king'amuzi cha Antenna na Dish pia Watumiaji wengi wa king'amuzi cha StarTimes hulipia pengine 9,000 ama 6,000 na kutegemea kifurushi alicholipia kiishi kwa muda wa mwezi mmoja,matokeo yake kinaenda wiki moja ama hata...
Share:

Oct 29, 2017

KWENYE NYUMBA 1 | TUMIA DISH 1 KWA WAPANGAJI WOTE

Imezoeleka kufanyika kwenye Aparment kubwa,ambapo gharama na hata mfumo wake huwa expensive ila leo nikupe siri, mfumo huu unaweza kuwa rahisi na bora kwako hata wewe ambaye unamiliki nyumba ambayo sio apartment kuubwa, hata nyumba ya kawaida ambayo ina wapangaji ama mnaishi...
Share:

Oct 15, 2017

CABLE SNAKE BUNNINGS

Hiki ni kifaa maalum ambacho kinatumika katika kuvuta wire unaopita kwenye Conduit, hutumika pale inapotokea ugumu katika kupitisha cable ili uweze kufika kwenye point husika.. Cable Snake mara nyingi hutumika pale tunapofanya Installation kwenye Apartment, Hotel, n.k Naseer...
Share:

Oct 14, 2017

TUNAKUFANYIA KILICHO BORA KWA KIPATO ULICHONACHO!

Niliwahi kusikia na watu wengi huamini hivyo ya kuwa ili upate kilicho bora ni lazima uwe na salio la kutosha imani ambayo sisi #MaDishTechnology tunapingana nayo na tunakuhakikishia wewe mdau wetu ya kuwa hata kwa kipato chako kidogo unaweza kupata kitu kilicho bora!  Ubunifu...
Share:

Oct 11, 2017

DISH 1 YA DSTV DECODER 91 ROOM 168

  APARTMENT INSTALLATION: Jengo la Apatment husika  Mustapha MaDish  Kinachofanyika hapa kinawezekana hata kwenye nyumba yako ya kawaida ambayo ina room 3 ama zaidi, Hostel n.k. Inawezekanaje !? Hii ni Apartment ina jumla ya nyumba 91 na ina vyumba...
Share:

Oct 3, 2017

OFFER YA AZAM TV 2017 KUELEKEA 2018

King'amuzi ambacho ni mpinzani pekee wa DStv kwa Tanzania na ni kweli kinafanya vizuri sana hasa bila kumung'unya maneno..! Siku za usoni nitakuja kuwajuza sababu ya king'amuzi cha azam tv kufanya vizuri na kuchuana na mkongwe wa Digital Tanzania DStv ili wanaowasindikiza...
Share:

Oct 2, 2017

OFFER YA DSTV 2017 KUELEKEA 2018

FUNGA MWAKA NA DSTV Offer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:-  Kwa Tsh 79,000/= Unapata Vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja ( Bomba Tsh 19,000 ) Ufundi Tsh 30,000/= Vifurushi vya DStv Bofya Hapa DStv ni king'amuzi ambacho naweza nikasema kwa offer kinaongoza...
Share:

Sep 7, 2017

PENDA UNACHOFANYA..

ILI UFANIKIWE...  NIMEJIFUNZA KUZINGATIA MOJA KATI YA VITU MUHIMU.. NI KUPENDA UNACHOFANYA.. ..... Hapa siangalii sana napata bei gani ingawaje pesa ndio ambayo hasa tunaitafuta.. Nna mengi ya kuzungumza hapa ila leo somo liwe moja tu kwa Vijana wenzangu na wote ambao...
Share:

Sep 3, 2017

BEI & VIFURUSHI VIPYA AZAM TV

  AZAM LITE Tsh 10,000/= Channels 55+ Kujua Channel zilizopo Bofya Hapa AZAM PURE Tsh 18,000/= Channels 60+ Kujua channel zilizopo Bofya Hapa AZAM PLUS Tsh 23,000/= Channels 90+ Kujua channel zilizopo Bofya Hapa AZAM PLAY Tsh 28,000 Channels 105+ Kujua channels zilizopo...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645291

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413