Call / WhatsApp +255755949413

Dec 26, 2016

TUNAAGA 2016 | KWA KUJITUMA ZAIDI

Mafanikio hayana njia ya mkato,ukipata kauli za wengi wa liofanikiwa watakwambia njia walipitia na kamwe hakuna njia ya mkato.. nimejifunza kutokutamani mafanikio ya mtu bila kuwa tayari kupitia hatua za kufikia mafaniko.. Mafanikio yanahitaji:- Kupenda unachofanya Kukijua...
Share:

Dec 2, 2016

TV E TANZANIA | KWENYE KING'AMUZI CHAKO

Siku zote ili ufanye vizuri ni lazima upate mpinzani na ndicho kinachotokea hapa.. Historia inaonyesha Clouds Fm ilifanikiwa kuzipoteza radio ambazo alizikuta katika swala la burudani na kupelekea kuunyanyua kwa kiasi kikubwa music wa Bongo Flavour,mpaka ikafikia hatua...
Share:

Dec 1, 2016

KING'AMUZI NI NINI..??

Swali ambalo pengine hata wewe unajiuliza! King'amuzi ni nini!? - King;amuzi ni kifaa kinachotumika kupokea matangazo yanayorushwa kwa mfumo wa Digital ili yaonekane na kusikika hata kwenye tv za Analogue Zingatia:Kuna king'amuzi kinachotumia Antenna na King'amuzi kinachotumia...
Share:

Nov 18, 2016

MGAHAWA WA CITY SQUARE | POSTA | #FundiMakini

Javio Felix moja kati ya Ile team Mustapha MaDish vile vichwa vichache ninavyoviaminia... hofu ilinitoka baada ya kumpa safari moja ya kikazi Zanzibar na kurejea akiwa na mrejesho mzuri tu huku akiwa anacheka cheka mpaka jino la mwisho sijui alikaribishwa na urojoo!! Ingawaje...
Share:

Oct 30, 2016

FLAT SCREEN INSTALLATION #FundiMakini

    Baadhi ya ile team #FundiMakini mikono salama ya Mustapha MaDish na TeamKazi ikiwa inafanya Installation ya Flat Screen sehemu tofauti tofauti! Si kila mtu anaweza kufanya tunachofanya! Je unahitaji...
Share:

MAANDALIZI YA SIGNAL QUALITY #FundiMakini

Kitu kizuri kwenye ulimwengu wa Digital Tv hususani kwa Tanzania kinakuja.. Lengo ni kusaidia watanzania wote kwa ukaribu zaidi kuhusu ulimwengu wa Ving'amuzi.. Kuna udhaifu mkubwa katika kutoa habari,msaada,ushauri nk. kwa jamii kuhusu ulimwengu wa Digital...
Share:

Oct 28, 2016

OFFER YA X MASS | ZUKU TV 2016

Kuelekea kumaliza mwaka Zuku inakuja na Offer hii kwenye msimu huu wa sikukuu ya x mass na mwaka mpya !! Tsh 88,000/= Kununua Badala ya Tsh 95,000/= Hii unapata Vifaa vyote ( Dish,Decoder,Lnb na Cable ) Ndani yake unapata kifurshi cha Smart Pack kwa miezi mitatu buree!! Hii...
Share:

Oct 25, 2016

MAFUNDI WA VING'AMUZI TANZANIA

Mafundi wa uhakika wa king'amuzi chako unachotumia limekuwa tatizo kubwa hasa kwa baadhi ya maeneo,hii imepelekea baadhi ya wateja kuona yakwamba king'amuzi anachotumia ni tatizo kwakuwa hakupata Fundi makini ambaye angeweza kumfungia ama kumrekebishia ipasavyo.....
Share:

Oct 24, 2016

MAFUNDI WA AZAM TV

 Azam tv iliyofungwa na fundi kalipua ndo hiyo ya kwanza hapo na Azam tv inafungwa na Fundi makini ndo hiyo hapo inamaliziwa na mikono salama ya Chidy kuelekea Signal Quality Tv! Kupata Moja ya Mafundi Makini wa Azam Tv Piga +255789476655 Achana na akina Fundi kalipua...
Share:

Oct 9, 2016

MAFUNDI WA STARTIMES

Wewe ni mteja wa Zuku tv!? Una tatizo la kiufundi ama unahitaji Ushauri wa kiufundi? Kupata mawasiliano ya Mafundi wa uhakika..  Je unataka kujiunga na Zuku Tv? Unataka kupata Mafundi wa uhakika na wazoefu? Piga +255789476655 Ukifungiwa nasi:- Unapata...
Share:

Oct 6, 2016

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI ZUKU TV

Wateja wengi wa Zuku tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi! Kwanza vijue Vifurushi vya Zuku tv kwa Kubofya Hapa Ikitokea umelipia kifurushi...
Share:

Oct 1, 2016

MSIMU WA OFFER 2016 | VING'AMUZI TANZANIA

  Tunaelekea kumaliza mwaka 2016 na kutokana na ushindani uliopo katika ukanda wa Digital tv,makampuni ya Ving'amuzi yanajitahidi kutafuta namna ya kushawishi wateja wapya na kujiunga na ving'amuzi vyao huku wakiwafanya wateja walionao kutowapoteza kwa kuboresha huduma...
Share:

Sep 28, 2016

DSTV YASHUSHA BEI ZA VIFURUSHI 1 Nov 2016!!

Hii itakuwa ni habari nzuri kwa wateja wa DStv wapya na wale wa zamani Kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kulifanya hili lililokuwa linawaumiza wengi kama sio kuwakimbiza! Kuanzia terhe 1/11/2016 bei ya Vifurushi vya DStv itashuka na kuwa kama ifatavyo:- DStv Premium...
Share:

Sep 25, 2016

OFFER YA AZAM TV 2016

Lipia kifurushi cha Azam Play Tsh 28,000/= kwa miezi 12 ( Mwaka mmoja ) ambapo ni Tsh , utapata Vifaa na Kufungiwa bureee!!! Hii itakufanya uokoe Tsh 165,000/= Offer hii iawahusu wateja wapya tu! Kujua vifurushi na channels zilizopo kwenye Azam Tv Bofya Hapa Kupata mafundi...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645291

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413